×

Habari

Karia: Huniambii kitu kwa Ninja…

RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Wallace Karia amefunguka kuwa timu za Simba na Yanga ndizo zinampa heshima kubwa...

READ MORE

Yanga Yaweka Mtego kwa Meddie Kagere

YANGA imeiwekea mtego kwa Simba ambao kama ukifyatuka basi itanufaika kwa kuipata saini ya mshambuliaji Mnyarwanda, Meddie Kagere.Mnyarwanda huyo hivi...

READ MORE

Tanzia: Mwanasiasa Mkongwe Mizindakaya Afariki Dunia

MWANASIASA mkongwe nchini Dkt. Chrisant Majiyatanga Mzindakaya amefariki dunia leo  jioni Juni 7, katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili mkoani...

READ MORE

Padri Akamatwa kwa Kusali, Kupinga Utoaji Mimba

WATU wanne wamekamatwa nchini Marekani akiwamo Padre Fidelis Moscinski kutoka Shirika la Wakatoliki la Wafransiska –CFR baada ya kuandamana kuelekea...

READ MORE

Prof.Ndalichako Akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia

Waziri Wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, leo Juni 7, 2021 Jijini Dodoma amekutana na Mkurugenzi Mtendaji wa...

READ MORE

HESLB Kufungua Dirisha la Maombi ya Mikopo Ya Wanafunzi Elimu ya Juu Julai Mosi

  BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kuwa dirisha la maombi ya mikopo kwa wanafunzi...

READ MORE

Waziri Ndalichako Atoa Onyo Kali

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amesema ni marufuku kumfukuza mwanafunzi shule wakati wa utekelezaji wa waraka...

READ MORE

Fahamu Utajiri wa T.B Joshua

  ULIMWENGU wa kiroho umegubikwa na simanzi kufuatia kifo cha aliyekuwa mhubiri wa kimataifa, T. B Joshua, kubwa zaidi linalozungumzwa...

READ MORE

Watu 30 Wafariki kwa Ajali ya Treni

TRENI mbili za abiria zimegongana nchini Pakistan  na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 30, huku wengine zaidi ya 100...

READ MORE

Rais Museveni Atangaza kufunga Shule na Magulio

RAIS wa Uganda Yoweri Museveni jana Juni 6, ametangaza viziuzi vipya vya kupambanana na ugonjwa wa corona kwa siku 42,...

READ MORE

Mrithi wa Carlinhos Aanza Kusakwa Yanga

UONGOZI wa Yanga, umeweka wazi kuwa, utaingia chimbo kumtafuta mbadala wa nyota wao, Carlos Carlinhos, raia wa Angola ambaye hivi...

READ MORE

Benki ya Dunia Kuipa Tanzania Mkopo wa Tril. 2

BODI ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia imeidhinisha mikopo minne yenye masharti nafuu yenye jumla ya dola za Marekani bilioni...

READ MORE

Pambano la Mayweather, Logan Hakuna Mshindi

PAMBANO kati ya  Floyd Mayweather na Logan Paul 26   limemaliza roundi zote nane na hakuna mshindi, kwa kuwa pambano hilo...

READ MORE

Tanzia: Mmiliki Wa Songoro Merine Afariki Dunia

Mmiliki wa Kampuni ya Songoro Marine Ilemela ya jijini Mwanza, Saleh Songoro, amefariki dunia jioni ya Juni 6, 2021 jijini...

READ MORE

NMB, NHIF Kuwawezesha Wakulima Nchini Kujiunga na Bima ya Afya

Benki ya NMB na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wameingia makubaliano rasmi ya kuwawezesha wakulima walioko ndani...

READ MORE

Korosho Za Mtwara, Lindi Na Ruvuma Kusafirishwa

  Waziri Mkuu amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan ameagiza korosho zote zinazozalishwa...

READ MORE

Tb Joshua Miezi 15 Tumboni

WAKATI simanzi ikiwa imetawala kufuatia kifo cha Mhubiri wa Kimataifa wa Nigeria, T.B Joshua, taarifa ikufikie kwamba miongoni mwa stori...

READ MORE

Rais Samia Kuzungumza na Wanawake Dodoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzungumza na wanawake zaidi ya 10,000 mkoani Dodoma...

READ MORE

Injinia: Yanga Tunafanya Usajili Mkubwa

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetamba kuwa, upo kwenye mipango mizito ya kukisuka upya kikosi chao kitakachofanya vizuri na kuandika...

READ MORE

Watu 138 Wauwawa

KATIBU mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesikitishwa na mauwaji ya raia kaskazini mwa Burkina Faso, maafisa wa Burkina...

READ MORE

Kampuni ya vifaa vya umeme wa jua ya DLight yafungua duka mjini Moshi

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu (wa pili toka kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa duka la...

READ MORE

TB Joshua Afariki Dunia – Video

MHUBIRI maarufu nchini Nigeria, Barani Afrika na Duniani kote, Nabii Temitope Balogun Joshua maarufu kama TB Joshua ambahe ni mwanzilishi...

READ MORE

Wanahisa wa NMB Waidhinisha Gawio la Bil 68.5 Kwa Mwaka 2020

  Katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 21 uliofanyika Juni 4, 2021, wanahisa wa benki ya NMB, waliidhinisha gawio la...

READ MORE

Serikali Yaibukia ‘Sabuni za Sumu Bongo’

JAMANI kumekucha! Ile skendo ya mjasiriamali, Andrew Mpambazi kuwa anatengeneza na kusambaza sababu za sumu imezidi kuwa nzito.   Taarifa...

READ MORE

Wasichana Watatu Wagonganishwa Mtandaoni

KWANI mitandao ya kijamii nayo imekuwa gurio la ngono? Ukibisha utakuwa hujui kubisha. Jamaa mmoja ametumia mtandao wa Twitter kutongoza...

READ MORE

Getere: Mabucha ya Nyama ya Ngedere Yafunguliwe

Mbunge wa Bunda Vijini Mwita Getere, ameiomba Wizara ya Maliasili na Utalii itoe kibali na ifungue mabucha ya nyama ya...

READ MORE

Anaswa Live Akipakua Asali ya Jirani Yake Aamrishwa Achangie Mahari

JAMAA mmoja kutoka eneo la Seme, Kisumu nchini Kenya amejikuta pabaya na kulazimishwa kuchangia mahari baada ya kunaswa peupe akipakua...

READ MORE

Miradi Yote Aliyoiacha Magufuli Inatekelezwa – Video

  SERIKALI imesema miradi yote ya kimkakati iliyoachwa na hayati Dkt. John Magufuli inaendelea kutekelezwa katika chini Rais Samia Suluhu....

READ MORE

Video: Tandale Kama Ulaya, Magufuli Atakumbukwa, Watu Wafunguka

 Kipindi cha Mtaa kwa Mtaa hii leo kimefanyika Tandale kwa Mtogole Jijini Dar es salaam ambapo Wananchi wamefunguka juu...

READ MORE

Mwanafunzi Aliyevaa Mabango Akigomea Kuchaguliwa ECA, Ataka PCM

Mwanafunzi Josephat John aliyekuwa anasoma kidato cha nne shule ya Sekondari Kom iliyopo kwenye Manispaa ya Shinyanga alizua taharuki baada...

READ MORE

Guardiola Ashinda Tuzo ya Kocha Bora wa Epl

KOCHA wa Manchester City Pep Guardiola ametwaa tuzo ya kocha bora wa msimu wa 2020/21, baada ya kuiwezesha timu hiyo...

READ MORE

Serikali Haijatoa Maamuzi Kuhusu Chanjo ya Corona – Video

SERIKALI imesema maamuzi kuhusu chanjo ya virusi vya corona hapa nchini hayajafikiwa kama baadhi ya watu wanavyodai kutokana na kauli...

READ MORE

Mafuriko Jangwani Mwisho 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu amemuagiza Msimami wa Mradi...

READ MORE

Benki ya Exim Yaibika Kinara Uhifadhi Mazingira

Benki ya Exim imeibuka kinara wa kutunza na kuhifadhi mazingira miongoni mwa taasisi za kifedha jijini Dar es Salaam na...

READ MORE

Mchezaji wa PSG Atua Serengeti

MSHAMBULIAJI  wa Klabu ya PSG na timu ya Taifa ya Argentina Mauro Icardi na mke wake Wanda Nara Icardi wametembelea...

READ MORE

Barabara ya Chato Kujengwa Upya

TAASISI ya Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imemrejesha kujenga upya barabara ya Makurugusi kwenda Musasa wilayani Chato yenye...

READ MORE

Panya Magawa Mtegua Mabomu Astaafu

PANYA dume kutoka Tanzania, maarufu kwa jina la Magawa ambaye mwaka jana alitunukiwa nishani ya kimataifa ya dhahabu kutokana na...

READ MORE

Video: Dkt Mpango Aongoza Maadhimisho ya Siku ya Mazingira

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka wafanyabiashara hasa wa gesi ya kupikia majumbani kubuni mbinu za kuwasaidia wananchi wenye...

READ MORE

Mbunge Ataka Bunge Kujadili Mauaji ya Wivu wa Mapenzi

MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Munde Tambwe ameomba mwongozo wa Spika wa Bunge akitaka chombo hicho cha kutunga sheria kujadili...

READ MORE

Gambo: Twambieni Hifadhi ya Burigi Chato Imeingiza Kiasi Gani? – Video

  MBUNGE wa Arusha Mjini, Mrisho Mashaka gambo ameitaka Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kufanya ukaguzi wa Hifadhi...

READ MORE