×

Habari

14 Mbaroni kwa Kuiba Korosho za mil 160/=

POLISI  mkoani Mtwara inawashikilia watu 14 kwa tuhuma za kula njama, kuvunja ghala la korosho na kuiba gunia za korosho...

READ MORE

Rais Trump Arejeshewa Akaunti Yake ya Twitter

Rais wa Marekani, Donald Trump ameruhusiwa kuendelea kutuma ujumbe katika mtandao wa Twitter baada ya kufungiwa katika akaunti yake kwa...

READ MORE

Bezos Aondolewa Nafasi ya Bilionea wa Kwanza Duniani

ELON MUSK amekuwa tajiri wa kwanza duniani huku thamani yake ikipita dola bilioni 185 (Tsh trilioni 428.83). Mfanyabiashara huyo ambaye...

READ MORE

Shigongo Aiomba Tamisemi Kuongeza Walimu Buchosa – Video

MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amekutana na Naibu Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Get Mweli pamoja na Mkurugenzi...

READ MORE

Rais Aapishwa Ghana Baada ya Ghasia Bungeni

NANA Akufo-Addo ameapishwa kuwa rais wa Ghana kwa muhula wa pili, siku moja baada ya ghasia kutokea bungeni. Askari waliagizwa...

READ MORE

China Yachangia Mil 358 Ujenzi Veta Chato – Video

CHINA itatoa ‘yen’ milioni moja  ambazo ni sawa na takriban sh. milioni 358 za Tanzania kwa ajili ya ujenzi wa...

READ MORE

Polisi 4 Wafukuzwa Kazi Arusha – Video

  POLISI  mkoani Arusha imesema kuwa polisi William Joseph, aliyekutwa na gongo, viroba, misokoto 20 ya bangi na kujiunganishia umeme...

READ MORE

Hawa Nd’o Wanawanake 5 Hatari Zaidi Duniani

MAKALA mpya ya shirika la utangazaji la Uingereza (BBC) inayofahamika kama “Killing Eve” ambayo inasimulia mateso wanayopitia wahusika kama vile...

READ MORE

Mamia ya Madaktari Wafukuzwa Kazi Kenya

MAMLAKA mjini Mombasa nchini Kenya imewafukuza mamia ya madaktari akiwemo mwenyekiti wa umoja wa madaktari katika kaunti hiyo.   Kwa...

READ MORE

Una SmartPhone? Soma Hapa Uteleze Tuuu!

  Mapema leo timu ya Maofisa Masoko wa Kampuni ya Global Group wameingia katika viunga mbalimbali vya jiji la Dar...

READ MORE

Uganda: Msafara wa Mgombea Urais Washambuliwa kwa Risasi

Polisi mmoja nchini Uganda anazuiliwa katika kituo cha polisi kwa sababu ya kuupiga risasi msafara wa mgombea wa urais, Patrick...

READ MORE

Hatimaye: Trump Akubali Kukabidhi Madaraka

Rais wa Marekani, Donald Trump amekubali kukabidhi madaraka kwa mrithi wake, Joe Bideo baada ya kushindwa katika uchaguzi mkuu wa...

READ MORE

Twitter, Facebook za Trump Zafutwa

AKAUNTI za Twitter na Facebook za Rais wa Marekani, Donald Trump, zimefutwa kwa muda baada ya kutuma ujumbe kwa wafuasi...

READ MORE

Waziri Mambo ya Nje China Kutua Chato Leo

WAZIRI wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania leo Alhamisi, Januari 7, 2020, kwa ziara...

READ MORE

Breaking: Bunge Lathibitisha Biden Rais Mteule Marekani

BUNGE  la Congress nchini Marekani limemuidhinisha Joe Biden kuwa rais mteule wa Marekani na Kamala Hariss kuwa makamu wa rais....

READ MORE

Video za Ngono Zamwondoa Uhai Mrembo Huyu

PENGINE  haikuchukua muda mrefu kwa Tiziana Cantone kuanza mfululizo wa matukio ambayo yalisababisha kujikatisha uhai.   Mwezi Aprili mwaka 2015,...

READ MORE

Kim Jong-Un Akiri Mpango wa Korea Kaskazini Umefeli

KIONGOZI wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un, amekubali kuwa mpango wake wa kiuchumi wa miaka mitano kwa nchi hiyo ambayo imejitenga,...

READ MORE

Marekani: Trump Apigwa Kotekote

CHAMA cha Democratic cha rais mteule, Joe Biden, sasa kina udhibiti wa mabunge yote mawili ya Marekani baada ya kuibuka...

READ MORE

Marekani: Wafuasi wa Trump Wavamia Bunge, Wanne Wauawa

WATU wanne wamefariki dunia akiwemo mwanamke mmoja aliyepigwa risasi kufuatia vurugu zilizoibuka baada ya wafuasi wa Rais wa Marekani, Donald...

READ MORE

Wananchi Wasema Viongozi Wamekopeshana Saruji ya Zahanati Buchosa – Video

WANANCHI wa Kijiji cha Kasheka, Kata ya Bangwe katika Jimbo la Buchosa, Wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza,  wamecharuka baada ya...

READ MORE

DStv Yatambulisha Tamthilia Mpya za Bongo

Mambo ni bandika – bandua, paukwa – pakawa ndani ya chaneli maarufu ya Maisha Magic Bongo (MMB) ambapo imetangaza rasmi...

READ MORE

Arise B.V  Inamiliki 34.9% ya Hisa zilizokuwa za Rabobank katika Benki ya NMB  

Arise B.V inayo furaha kuwatangazia wadau wake wote kuwa inamiliki 34.9% ya hisa za Benki ya NMB ambayo imeorodheshwa katika...

READ MORE

Serikali Yatangaza Awamu ya Pili Ya Ajira 5000 za Walimu

Serikali imetangaza Awamu ya Pili ya ajira kwa Walimu 5,000 ili kufikia idadi ya Walimu 13,000 kutokana na kibali kilichotolewa...

READ MORE

Waziri Awasimamisha Kazi Vigogo Wawili wa Ruwasa

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amewasimamisha kazi, Meneja wa Wakala wa Huduma za Maji Mjini na Vijijini Mkoa wa Mara...

READ MORE

Trump Apata Pigo Jingine Georgia

Mgombea wa wa chama cha Democratic Raphael Warnock ameibuka mshindi katika uchaguzi wa maseneta dhidi ya mgombea wa chama cha...

READ MORE

Uchaguzi Uganda: Museveni Ateua Mwanajeshi Kusimamia Usalama

Rais wa Uganda,Yoweri Kaguta Museveni, ameamua kumteua Brigedia Kayanja Muhanga, kusimamia masuala ya usalama wakati huu kuelekea uchaguzi mkuu nchini...

READ MORE

Wananchi Wafichua Manyanyaso ya Watumishi Kituo cha Afya Mwangika – Video

WANANCHI wa Kijiji cha Mwangika, Kata ya Bangwe, Jimbo la Buchosa, Mwanza, wamewalalamikia watumishi wa Kituo cha Afya Mwangika kwa...

READ MORE

Mbadala wa Mkude Apata Majanga Simba

IMEFAHAMIKA kuwa kiungo mkabaji wa Simba raia wa Uganda, Taddeo Lwanga, hataonekana uwanjani akivalia jezi nyekundu na nyeupe kutokana na...

READ MORE

Sheikh Mkuu Aomba Waumini Dini Zote Kuchangia Ujenzi wa Msikiti

SHEIKH Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi, Abdul Mpakate amewaomba waumini wa dini ya kiislamu na raia wote wenye...

READ MORE

Ajiua kwa Kunywa Sumu, Kisa Mumewe Kutoka Jela

JESCA SAMSON  (37) mkazi wa mtaa wa Katoma, Kayanga wilayani Karagwe mkoani Bukoba, anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu ya panya...

READ MORE

Magazeti ya Championi, SportXtra Yagawa Tiketi Mechi ya Simba vs Platnum

  Timu ya Masoko kutoka Kampuni ya Global Group kupitia magazeti ya Championi na spotiXtra imeingia mtaani na maeneo ya...

READ MORE

Mgombea Democrat Ashinda Marudio Useneta Georgia

MGOMBEA useneta wa chama cha Democratic nchini Marekani, Mchungaji Raphael Warnock, ameshinda katika kura za marudio dhidi ya mgombea wa...

READ MORE

Polisi Anaswa Kujiunganishia Umeme, Akutwa na Viroba…

  MKUU wa Wilaya ya Arusha, Kenani Kihongosi, amemkamata polisi ambaye alikuwa akiiba umeme wa TANESCO ambao alijiunganishia kinyume na...

READ MORE

Shigongo Amwambia Jafo: Barabara Hazipitiki, TARURA Hawana Fedha

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amefunguka mbele ya Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za...

READ MORE

Kina Mama Mwangika Walia na Ndoa Zao Kisa Maji – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amefanya mkutano wa hadhara na wananchi wa Kijiji cha Mwangika, Kata ya Bangwe, ambapo...

READ MORE

Kivuko Kipya Buchosa Kuanza Kujengwa Januari Hii – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo amekutana na Mkurugenzi wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA), Eng. Abdu Diganga, ambapo wamefanya...

READ MORE

Simba yaingilia kimafia usajili wa beki Yanga

HATIMAYE Simba wameingilia kati usajili wa beki wa kushoto wa Namungo, Edward Charles Manyama ambaye yupo katika mazungumzo na viongozi...

READ MORE

Kaze Akataa Bonge la Beki Yanga SC, Ataja Sababu

  UONGOZI wa Yanga umesitisha mipango ya kumsajili beki na nahodha wa Biashara United, Abdulmajid Mangaro aliyekuwemo kwenye mipango ya...

READ MORE

Mbunge wa Trump Aahidi Kuingia na Bunduki Bungeni

MBUNGE mmoja wa chama cha Trump (Repulican) ameahidi kutembea na bunduki wazi mitaani. Mbunge huyo mpya mwanamke ameahidi kutembea na...

READ MORE

Hatimaye Vitambulisho vya NIDA Vyapata Mwarobaini

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, amesema vitambulisho kutolewa kwa uchache kulitokana na mchakato wa manunuzi ndani ya serikali...

READ MORE