MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia Makini, Sesilia Mmanga ametinga na msafara wa bajaji katika Ofisi yaTume ya Taifa ya...
READ MOREWAPELELEZI wamepata visanduku vyeusi vya ndege iliyoanguka katika uwanja wa ndege jimbo la Kusini mwa India Kerala na kusababisha vifo...
READ MORETaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), imekamilisha uchunguzi wake na kugundua kuwapo ubadhirifu na migongano ya kimaslahi...
READ MOREKatika Mkutano wa Baraza kuu la umoja wa vijana UVCCM, uliofanyika leo Agosti 8, 2020, zoezi la upigaji kura...
READ MOREMwanajeshi wa Kikosi cha Jeshi namba 833 Oljoro Arusha, Tete Mwaipaya, amemshukuru Mkuu wa Majeshi nchini Venance Mabeyo kwa kumpa...
READ MOREMSIKITI mkubwa wa kisasa wa ghorofa mbili ambao utakuwa Msikiti wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani unatarajiwa kugharimu zaidi ya...
READ MOREMkurugenzi Mkuu wa kampuni ya mawasiliano ya Tigo, Bw. Simon Karikari ametembelea katika maonesho ya Nane Nane katika viwanja vya...
READ MOREWAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza mawaziri wanaohusika na sekta za kilimo na fedha nchini kuhakikisha huduma mbalimbali za kifedha ambazo...
READ MOREKUMEKUWA na mwitikio mkubwa kwa waajiri waliofika kwenye banda la Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kutaka kujua jinsi...
READ MORENaibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Abdallah Ulega (kushoto) akimkabidhi kombe la ushindi wa kwanza kwa makampuni ya Mawasiliano Mkuu wa...
READ MOREWAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Mifugo na Uvuvi ihakikishe inaboresha utoaji wa elimu ya ufugaji bora kwa wafugaji...
READ MOREMwanafunzi wa sekondari umri wa miaka 17 Rannia Nasser amezindua maonesho ya picha maarufu kama ‘WATU WA TANZANIA’...
READ MOREKatika maadhimisho ya Nane Nane kitaifa yaliyofanyika viwanja vya Nyakabindi Mkoa wa Simiyu, Benki ya NMB imewahakikishia wakulima kuwa...
READ MOREMATUKIO ya watu sehemu mbalimbali nchini kudaiwa kufa na baadaye kupatikana wakiwa hai ‘kufufuka’, yanazidi kuzua utata miongoni mwa jamii,...
READ MOREWAKATI vikao vya mchujo vikiendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la kupata jina moja la mgombea atakayepeperusha...
READ MOREMGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amekabidhiwa fomu za kuwania urais katika uchaguzi...
READ MORESERIKALI ya Lebanon imesema kuwa mlipuko mkubwa ulioharibu maeneo kadhaa ya mji wa Beirut umesababishwa na tani 2,750 za kemikali...
READ MOREWAZIRI wa Kilimo, Japhet Hasunga amezindua rasmi huduma maalum ya kuhakiki pembejeo inayofahamika kwa jina la ‘T-hakiki’. T-Hakiki ni...
READ MORENDEGE ya abiria ya Shirika la Air India aina ya Boeing 737 iliyokuwa na watu 190 imeanguka katika uwanja wa...
READ MOREWaziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, leo Agosti 8,2020 ametembelea banda la Mamlaka ya Kudhibiti Ununuzi wa Umma...
READ MOREAsasi ya Vodacom Tanzania Foundation imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi 57,881,360 kwa ajili ya watoto wanaozaliwa...
READ MOREMWANZA: Wakati mchakato wa kupitisha majina ya wagombea ubunge kupitia CCM ukizidi kushika kasi, ‘watu wasiojulikana’ wanadaiwa kumteka na kumuua...
READ MOREVYAMA viwili vya upinzani nchini Uganda vimeingia katika mzozo juu ya haki ya kutumia rangi nyekundu huku kila chama kikidai...
READ MOREMAHAKAMA Kuu Kanda ya Bukoba imemuhukumu kunyongwa hadi kufa Melchedes Burchard (30) mkazi wa Kiluluma mkoani Kagera kwa kukutwa na...
READ MOREMTABIRI na mtaalamu wa visomo na dua, Sheikh Sharrif Majini, amemtaka mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...
READ MOREZAIDI ya watu milioni moja wameambukizwa virusi vya Corona barani Afrika. Kwa mujibu wa takwimu za shirika la habari...
READ MOREVYAMA vya siasa nchini Tanzania vimeendelea kupitisha majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 28, 2020, hatua ambayo...
READ MOREBAADHI ya wananchi wa Rwanda wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kupewa adhabu ya kukaa saa kadhaa na kusikiliza hotuba,...
READ MOREMWILI wa mrembo Jemima Oresha aliyetumbukia katika maporomoko ya Thompson Falls Nyahururu nchini Kenya, umeopolewa juzi Jumatano, Agosti 5, 2020...
READ MOREMSEMAJI Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas leo Agosti 7, 2020, ame pato la taifa limekua kwa kasi kutokana na shughuli...
READ MOREMWAKA 1998, Agosti 7, majira ya saa 4 asubuhi, siku ya Ijumaa katika mitaa ya Dar es Salaam na viunga...
READ MOREMAREKANI imetahadharisha kuwa makundi ya wanamgambo yameendelea na operesheni zake nchini Msumbiji katika eneo la Kaskazini la Cabo Delgado...
READ MORERAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa “Joe Biden anakwenda kinyume na Mungu”. Trump ameyasema hayo kufuatia kauli ya Biden ...
READ MOREMAMLAKA ya bandari nchini Msumbiji imekanusha madai kwamba meli yake ilikuwa imebeba mzigo uliosababisha mlipuko wa Beirut, kwa mujibu wa...
READ MOREWAANDAMANAJI katika mji wa Beirut nchini Lebanon walikabiliana na vikosi vya usalama vya nchini humo wakipinga serikali siku ya Alhamisi....
READ MOREKUTOKANA na kukithiri kwa matukio ya fisi kushambulia wakazi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga hususan watoto wadogo, serikali imeunda...
READ MOREWaziri wa Viwanda Innocent Bushungwa ameipongeza Benki ya CRDB kwa kuwa mstari wa mbele katika kusaidia jitihada za Serikali katika...
READ MOREJamaa ameibuka kutoka katika kijiji cha Mpeta Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma akiwawakilisha wananchi sita wakimuomba Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...
READ MOREMAJAMBAZI yaliyomvamia mfanyabiashara mmoja, Mkombozi Mjaila (32) wilayani Handeni, mkoani Tanga na kumjeruhi kichwani, yamemponza kigogo wa polisi ambaye ni...
READ MOREMISUKOSUKO imeendelea kumwandama mtoto (jina linafichwa) ambaye aliopolewa kwenye shimo la choo cha Shule ya msingi Murganza iliyoko wilayani Ngara...
READ MORE