×

Habari

Game ya Kwanza ya Samatta Uingereza Leo, Wabongo Macho Kwake

MACHO yote ya Watanzania leo ni kwa Mbwana Samatta wakati atakaposhuka dimbani majira ya saa 4:45 usiku kuichezea timu yake...

READ MORE

Ndege Nyingine ya Kijeshi ya Marekani Yaangushwa Afghanistan

Jeshi la Marekani limekiri kuanguka kwa ndege yake moja ya kijeshi katika eneo la Deh Yak, jimbo la Ghazni huko...

READ MORE

Tamasha la KAN Lamalizika kwa Kishindo

MSIMU wa pili wa tamasha la Knowldge Art and Networking (KAN) umemalizika jana kwa kishindo na kuacha wapenzi wa burudani...

READ MORE

Kigoma: Mganga Ahukumiwa Kifungo cha Maisha

MAHAKAMA ya Wilaya ya Kigoma imemhukumu mganga wa kienyeji, Venance Edward, kwenda jela kifungo cha maisha baada ya kumkuta na...

READ MORE

Tanzia: Mwandishi Aliyekutwa Ndani Amefariki, Polisi Yaeleza

MWANDISHI  wa habari, Douglas David, amekutwa amefariki dunia chumbani kwake eneo la Vingunguti Mji Mpya, jijini Dar es Salaam, huku...

READ MORE

Jipange na Pepa Yawaamsha Wanafunzi Sekondari ya Makumbusho

Shangwe za nguvu zimetawala katika Shule ya Sekondari ya Makumbusho iliyopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam baada ya timu ya...

READ MORE

KMC Yawapa Wajeda Dili la Ujenzi wa Uwanja Wao – Video

MANISPAA ya Kinondoni leo Jumatatu, Januari 27, 2020, imetiliana saini na Jeshi la Wananchi kikosi cha 361 KJ kilichopo Lugalo...

READ MORE

Ubalozi wa Marekani Nchini Iraq Washambuliwa Tena

MAREKANI imeitolea mwito Iraq kulinda majengo yake ya kidiplomasia baada ya ubalozi wake mjini Baghdad kushambuliwa kwa maroketi matatu.  ...

READ MORE

Rais JPM Mgeni Rasmi Wiki ya Sheria Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Dkt. John Pombe Magufuli anatarajia kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Wiki...

READ MORE

Waziri Mkuu na Mkewe Wakabiliwa na Tuhuma za Mauaji

Waziri Mkuu wa Lesotho Thomas Thabane pamoja na mkewe, Maesaiah Thabane wanatakiwa kuhojiwa kuhusiana na mauaji yaliyotokea mwaka 2017 ya...

READ MORE

Rais JPM: Unanunua Drone Kwani Inazima Moto? – Video

Rais Dkt. John Pombe Magufuli, leo Jumatatu, Januari 27, 2020, amewaapisha, George Simbachawene kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mussa...

READ MORE

Corona: China Kujenga Hospitali Siku 6 Kuokoa Waathirika

MJI wa Wuhan nchini China unaharakisha kujenga hospitali mpya kusaidia kutibu wagonjwa waliokumbwa na virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu...

READ MORE

Kabendera Aendelea Kusota Mahabusu

  KESI ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera imeahirishwa baada ya Jamhuri kudai upelelezi bado...

READ MORE

Tanzia: Mtoto wa Mzee Kawawa Afariki Dunia

FAMILIA ya marehemu Rashid Mfaume Kawawa inasikitika kutangaza kifo cha kaka yao mkubwa, Alhaji Mfaume Rashid Kawawa, kilichotokea leo Jumatatu,...

READ MORE

Mwanamke Afariki Baada ya Kuruka Kwenye Ambulance

MWANAMKE Naiso Leslie (26) amefariki baada ya kuruka kutoka kwenye gari la wagonjwa baada ya mtoto wake Solomon Lesie (2)...

READ MORE

Waliofariki Ajali ya Kobe Bryant Waongezeka, Mawasiliano Yanaswa

TAARIFA za vyombo vya usalama nchini Marekani zinasema kuwa waliofariki mpaka sasa  katika ajali ya helikopta iliyotokea jana huko Los...

READ MORE

Ndege Yaanguka Barabarani

ZAIDI ya watu 100 wamenusurika kufa baada ya ndege ya abiria kuanguka katikati ya barabara katika mji wa Mahshahr nchini...

READ MORE

Breaking: Kobe Bryant Afariki Katika Ajali Ya Helikopta – Video

MCHEZAJI maarufu wa mpira wa kikapu kwenye Ligi ya NBA ya Marekani, Kobe Bryant (41),  amefariki katika ajali ya helikopta...

READ MORE

Iraq Wafanya Maandamano Makubwa Kuyaondoa Majeshi ya Marekani

MAMIA ya watu wameandamana katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad, wakidai vikosi vya Marekani viondoke Iraq. Kiongozi mwenye ushawishi wa...

READ MORE

Tetemeko la Ardhi Uturuki: Watu 19 Wafariki, 300 Wajeruhiwa

Watu 14 wafariki katika tetemeko la ardhi katika eneo la Mashariki mwa Uturuki. Tetemeko la ardhi ambalo lilikuwa na ukubwa...

READ MORE

Kijana Ajisalimisha Polisi Baada ya Kumuua Baba’ke

MWANAFUNZI wa shule ya sekondari katika kaunti ya Kericho nchini Kenya amejisalimisha kwenye kituo cha polisi mara baada ya kumchoma...

READ MORE

Mtoto Aliyesombwa na Mafuriko, Siku ya 5 Hajapatikana

JESHI la Zimamoto na Uokoaji mkoani Manyara kwa siku ya tano sasa bado linaendelea kumtafuta mtoto Salimu Muhazar (12) aliyekuwa...

READ MORE

Virusi vya Corona Vyatua Ufaransa, Afrika Yaanza Kudhibiti

SERIKALI ya Ufaransa imetangaza visa vya maambukizi ya virusi vya corona vilivyoanzia nchini China ambapo watu watatu wamethibitishwa kuambukizwa virusi...

READ MORE

Bilionea Atafuta Mrembo wa Kwenda Naye Mwezini

BILIONEA wa Japan Yusaku Maezawa anamtafuta mwanamke atakayekuwa “mpenzi wa maisha” ili aongozane naye kutalii anga za mbali hadi mwezini....

READ MORE

Samaki Amrukia Kutoka Majini, Amtoboa Shigo

KIJANA Muhammad Idul (16) Raia wa Indonesia ameelezea kisa alichokumbana nacho kwa mara ya kwanza wakati alipokuwa anaogelea na ghafla...

READ MORE

Mwanamke Adai Kudhalilishwa; Kisa Ndevu

THERESIA MUMBI ni mama wa mtoto wa kiume mwenye miaka saba, yeye ana miaka 34 , kazi yake ni utingo...

READ MORE

Lugola: ‘Siwezi Kurudia’

IKIWA ni siku mbili baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, kuenguliwa kwenye wadhifa wake...

READ MORE

Mghana Yanga: Tulieni, Bado Sijachanganya

MSHAMBULIAJI wa Yanga raia wa Ghana, Bernard Morrison amewataka wapenzi na mashabiki wa Yanga kumvumilia kwani hapo ndipo kwanza anatafuta...

READ MORE

Kampuni Ya Madini Ya Twiga Yaundwa Kulinda Rasilimali Za Watanzania (Picha +Video)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli leo Januari 24, 2020 ameshuhudia utiaji saini wa makubaliano ya...

READ MORE

Tanzia: Mama Salma Kikwete Afiwa na Mama Yake Mzazi

  MAMA mzazi wa mama Salma Kikwete amefariki dunia leo Ijumaa, Januari 24, 2020, baada ya kuugua kwa muda. Taarifa...

READ MORE

Wabongo Waliozamia Sauzi Kinyemela Wahukumiwa Jela – Video

MAHAKAM ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu kwenda jela miezi sita bila faini washtakiwa 22 raia wa Tanzania baada ya kukutwa...

READ MORE

Kesi ya Mbowe: “Polisi Walinichukulia Sh 12,500, Nikabakiwa na Sh 200”

ALIYEWAHI kuwa Mwanachama wa chama cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2000 hadi 2014 na baadaye kuacha siasa na kujiunga na Chuo...

READ MORE

JPM Aagiza Makontena ya Makinikia Wapewe Twiga – Video

RAIS  John Magufuli ameagiza makontena ya makinikia yaliyokamatwa yauzwe kwa wateja na faida iende kwenye kampuni mpya ya Twiga, inayomilikiwa...

READ MORE

Rais JPM: Chama Kisikufatefate, Wewe Nani? Ondoka – Video

Rais na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo Januari 24, 2020 amekutana na viongozi...

READ MORE

Nkurunziza Kupata Bil. 1.15 Akistaafu, Kuwa Makamu wa Rais

BUNGE  la Burundi limepitisha sheria inatakayompa rais kitita cha Tsh. bilioni 1.15 atakapostaafu huku sheria hiyo ikiruhusu rais akistaafu atachukuliwa...

READ MORE

Simba Yazindua Tena Kadi ya Shabiki – Video

UONGOZI wa KIabu ya Simba kwa ushirikiano na Benki ya Equity umefanya uzinduzi wa pili wa kadi ya shabiki uliofanyika...

READ MORE

Polisi: Wafanyabiashara wa Mabasi Hawajahujumu Reli – Video

POLISI mkoani Kilimanjaro jana Alhamisi, Januari 23, 2020, ilisema imebaini kuwa hakuna miundombinu ya reli iliyoharibiwa au kuhujumiwa katika eneo...

READ MORE

Shirika la Ndege la Afrika Kusini Lafilisika

SHIRIKA la Ndege la Afrika Kusini (South African Airways) limesitisha jumla ya safari zake 38 za ndani na nje ya...

READ MORE

Rio aiponda Man United, mashabiki watimka

MASHABIKI wa Manchester United, juzi waliondoka karibia wote uwanjani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Burnley. Wakiwa...

READ MORE

Shime: Tutawafunga Nyingi Burundi Tena

KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya soka ya wasichana wa U17, Kilimanjaro Queens, Bakari Shime amesema kuwa watawafunga Burundi...

READ MORE