
Browsing Category
Mahaba
Kwa Nini Penzi Lenu Halina Raha Kama Mwanzo? Chanzo Kipo Hapa
NI wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana tena kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima buheri wa afya na unaendelea vyema na shughuli zako za kila siku kama kawaida. Mimi namshukuru Mungu ambaye amenipa uwezo wa kuandika makala haya…
Usipojiangalia, haya yataivunja ndoa yako!
KILA kukicha napata ujumbe kutoka kwa wanandoa ambao hulalamika kuwa hawawaelewi wenza wao kwani wamebadilika lakini malalamiko mengi yanaelekezwa kwenye tabia hizi ambazo nitakueleza hapa na kama zinakuhusu, kabla ndoa yako…
Hizi Hapa Sababu za Kwa Nini Mpenzi Wako Hakuonei Wivu?
MAPENZI yananoga wivu unapokuwa ndani yake. Ukitathimini kwa harakaharaka, unaweza kusema kama hakuna wivu, hakuna mapenzi. Inapotokea mpenzi wako, hata ufanye nini hakuonei wivu, bila shaka hata wewe utahisi kuna tatizo.
Unatamani…
Utajuaje Kama Uliyenaye Ni Mtu Sahihi Kwako? Soma Hapa
UNAPOANZISHA uhusiano mpya, bila shaka unakuwa na matarajio makubwa ndani ya moyo wako kuhusu yale unayotarajia mwenzi wako atakufanyia au atakuonesha. Hata hivyo, mara nyingi watu wengi husukumwa zaidi na matarajio yao bila kuzingatia…
Usikubali udhaifu wa umpendaye, hamuwezi kudumu!
Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko poa, nakukaribisha kwa mara nyingine katika safu yetu hii ambapo tunajuzana mambo mbalimbali kuhusu mapenzi na uhusiano.
Leo nataka tujadili kuhusu suala la kukubali udhaifu wa mwenza wako na…
Mambo Wasiyopenda Wanaume Kwa Wanawake
KUPITIA safu hii nimekuwa nikipata malalamiko mengi kutoka kwa wanawake. Kilio chao kikubwa ni kukimbiwa na wanaume au kuachwa. Leo anakuwa na mwanaume huyu, baada ya muda mfupi kunatokea chokochoko, mwanaume anatimka zake.
Jamaa…
Maswali 10 Unayotakiwa Kumuuliza Mtu Unayetaka ‘Kudate’ Naye!
WIKI hii nitazungumzia maswali 10 ambayo unatakiwa kumuuliza mtu unayetaka kudate naye ili majibu yake yakupe mwanga wa kinachoweza kutokea ndani ya uhusiano wako.
UPO SINGLE AU NI MTALAKA?
Unapoanza uhusiano mpya na mtu, moja ya…
Fanya Hivi Kama Unaona Mpenzi Wako Hamuendani!
NI Jumatatu nyingine tunakutana kwenye eneo letu la kupeana elimu ya uhusiano. Ulimwengu huu ni mzuri kama utampata mtu sahihi. Mtu ambaye mnapendana kwa dhati na hakuna hata mmoja wenu ambaye anamsumbua au kumyanyasa mwenzake. Kizazi…
Mjali Mwenza Wako, Naye Atakujali!
RAFIKI yangu, katika kipindi hiki ambacho kuna sintofahamu nyingi, kutiliana shaka na hata kutengana, ni muhimu kujenga hulka ya kujaliana pia.Iwapo umewahi kupenda au unapendana na mchumba, mpenzi au mume wako na mko katika uhusiano wa…
Hizi Hapa Mbinu Za Kukabiliana Na Maumivu Ya Mapenzi
KARIBU jamvini mdau. Ni Jumatatu nyingine tumekutana kupeana maujanja ya mapenzi na maisha kwa jumla. Unachopaswa kujua ni kwamba kila kitu kinastahili kulindwa na penzi lako linahitaji zaidi ya ulinzi. Hata kama unaona mambo ni…
Sababu Zinazowafanya Wanawake Wasiolewe Zipo Hapa
IJUMAA nyingine tunakutana kwenye kilinge chetu cha kupeana mambo mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano. Ili uishi vizuri na mwenzi wako ni vizuri kujitathimini, kujisahihisha pale unapoona unakosea.
Hakuna sababu ya kujifanya…
Wanawake wenye vyeo, Madaraka hawafai kuolewa?
Mwaka huu ulipanga kufanya nini na mwenzi wako? Nini ambacho hakijakamilika? Kwa sababu gani hamjakamilisha? Mkishajua wapi mmekwama, basi ni suala la msingi sana ili kuweza kufikia ndoto zenu ambazo mlizianza siku za nyuma.
Muhimu…
Zijue Tabia za Mke Mwema Katika Mahusiano Ya Ndoa… Soma Hapa
Maisha halisi ya mwanamke anayetarajia kuwa mke/ mke tayari hii ni kumaanisha kuwa wanawake mashujaa tunapaswa kuishi maisha ambayo yanatutambulisha kama mfano wa kuigwa ili tunapozungumza na kufundisha mabadiliko tuwe tunazungumza…
Ukiingia Kwenye Ndoa na Mwenye Sifa Hizi, Huwezi Kujuta!
NI mwaka wa 2018, tunakutana tena kupitia ukurasa huu ambao nazungumzia mambo mbalimbali yanayogusa maisha yetu ya kila siku. Ni matumaini yangu kwamba u-mzima na unaendelea kupambania maisha yako.
Mpenzi msomaji wangu, kuna wakati…
Chukua Hatua Hizi Kama Unampenda Halafu Hakuelewi
ASIKWAMBIE mtu, maumivu ya kumpenda mtu halafu yeye akawa hakuelewi huwa yanauma sana. Unateseka kisaikolojia, unafanya kila unalotakiwa kufanya ili aweze kuelewa lakini mwenzako wapi. Ni kama vile unampigia mbuzi gitaa, hachezi yeye…
Mambo ya Kuzingatia Kabla Hujaamua Kumtoa ‘out’ Umpendaye
Shukrani za kipekee zimuendee Mungu kwa kutuwezesha kuiona salama siku ya leo, ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu uko vizuri na unaendelea kulisongesha mbele gurudumu la maendeleo, leo utakuwa nami Baby Madaha.
Wataalamu wengi…
Mambo ya Kufuata ili Kumsahau Mpenzi wa Zamani
Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu upo freshi kabisa! Nakukaribisha kwa moyo mkunjufu jamvini, wiki iliyopita tulianza kujadiliana kuhusu mada hii kama inavyojieleza.
Tulipata nafasi ya kusikia ushuhuda wa dada yetu ambaye licha…
Suluhisho Kwa Wapenzi Wanaogombana Kila Mara, Soma Hapa
SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida. Watu wanagombana kwelikweli. Utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila kugombana na mpenzi wake. Anampenda, hayupo tayari kumpoteza lakini maisha yao kila siku ni ugomvi.…
Changamoto Za Kuchanganya Mapenzi Na Kazi
NI wiki nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu kwenye ukurasa huu, mada tunayoendelea nayo ni ile tuliyoianza wiki iliyopita, ya namna ya kukabiliana na changamoto za kuchanganya mapenzi na kazi.
Jambo la msingi unalopaswa…
Mambo ya Kufanya Ikitokea Mpenzi Wako Kachepuka!
MPENZI msomaji wangu, katika maisha ya kimapenzi hakuna kitu kinachouma kama kusalitiwa, tena kusalitiwa kunakouma zaidi ni pale unapobaini mpenzi wako kampa penzi mtu unayemjua halafu ukijilinganisha wewe na huyo aliyepewa…
Mambo Matano Yanayoumiza Wengi Katika Uhusiano
KUNA mambo mengi ambayo husababisha wenye uhusiano kuumia roho zao. Leo tuyayaeleza mambo hayo kama ifuatavyo:
KUFICHA MAMBO
Kuna jambo hata ukijaribu kulificha, ukweli wake utajulikana tu hususan kama utakuwa na…
Kama Haoni Umuhimu Wako, Muombee Aishi Miaka Mingi!
JUMATANO nyingine Mungu ametukutanisha. Kama ilivyo kawaida, hapa huwa tunajadili mambo mbalimbali yahusuyo masuala ya mahusiano. Ili uweze kuishi vizuri, binadamu unahitaji mahusiano mazuri na binadamu wenzako. Iwe ni rafiki wa…
Mbinu 5 za Kumbaini Mpenzi Mchepukaji
USALITI ni jambo baya katika uhusiano. Usaliti si ujanja japo wengi wanaowaza kusaliti huwa wanajiona wajanja. Wanajiona wamewini pale ambapo wanasaliti na wenzi wao kutogundua kama wanasalitiwa.
Siku zote anayesaliti huwa anajiona…
Ukiwa na Tabia Hizi, Mwanaume Lazima Akukimbie!
MUNGU ni mwema wapenzi wasomaji wa safu hii. Wikiendi nyingine tena tunakutana na kuweza kupeana darasa la uhusiano. Kujifunza ni muhimu, hakika ukifuatilia makala haya ya leo, utajifunza kitu. Twende pamoja!
Kupitia safu hii nimekuwa…
Mitandao Ya Kijamii Inaweza Kukupa Mume, Mke Mwema?
MITANDAO ya kijamii imerahisisha sana mambo. Wapo wanaoitumia vizuri na kuweza kufanikisha mambo mbalimbali ikiwemo biashara na fursa mbalimbali ikiwemo ajira na mambo mengine kadha wa kadha. Katika ulimwengu wa wapendanao, wapo pia…
Mbinu Mahususi za Kumpata Mke, Mume mwema!
NI Jumamosi nyingine Mungu ametujaalia pumzi ya kuendelea kuishi. Tunakutana kwenye eneo letu la kujidai, eneo la kupeana darasa la uhusiano. Tujifunze mambo mbalimbali ya uhusiano maana bila kujifunza wakati mwingine ni rahisi…
Faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli!
UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa kidogo ili mambo yaende. Wanaitumia hiyo kama silaha wakidai kwamba wanawake ni watu ambao wakijua kila…
Madhara ya mke kuwa muongeaji kupitiliza Yapa Hapa
USHAWAHI kukutana na mwanamke anaongea sana? Yaani yeye ni bandika bandua. Likiisha hili anaingiza hili, anajua kila kitu. Ana ujasiri wa kuzungumza kwelikweli hata kama waliomzunguka wote ni wanaume. Akianza kuongea jambo lake…
Mfanyie Haya Mpenzi Wako Penzi Lidumu
KATIKA mapenzi kuna vitu vingi unaweza kumfanyia mpenzi wako ukamfurahisha na kumfanya azidishe mapenzi kwako. Katika safu hii leo nitazungumzia mambo machache muhimu yatakayokusaidia kuboresha nakudumisha penzi lako kwa umpendaye.…
Achana Na ‘Siwezi Kuishi Bila Yeye’, Kuna Maisha Bila Yeye!
HAKUNA shaka tulio wengi tupo katika uhusiano wa kimapenzi wa mashaka. Hakuna hata mmoja wetu ambaye anaweza kujiaminisha kwa asilimia mia moja kwamba mpenzi wake aliye naye anampenda kwa dhati kabisa au anazuga. Hii inabaki kuwa siri…
Makosa Yanayosababisha Wanawake Wasiolewe Yapo Hapa!
WAHENGA huwa wana misemo yao ile kwamba sijui kuolewa ni bahati, kuolewa ni tabia na mingine mingi tu. Leo nataka tujadili juu ya makosa ambayo wanawake wengi wanayafanya na kujikuta wakishindwa kuolewa. Wanawake wengi wamekuwa…
Kauli Wanazopenda Wanaume Kuzisikia Kwa Wenza Wao, Zipo Hapa
HAKUNA kitu kizuri kwenye uhusiano kama kujua mwenzako anapenda nini. Unapomjua mwenzako anachokipenda, itakusaidia katika suala zima la kudumisha uhusiano. Ukimfanyia yale anayoyapenda, sio kwamba atafurahi tu bali unamtengenezea…
Unaweza Kupata Mwenza Sahihi Mitandaoni?
DUNIA ya sasa mambo yamekuwa rahisi. Teknolojia imefanya vitu vingi ambavyo vilikuwa vinachukua mlolongo mrefu kutendeka kwa muda mfupi tu. Waswahili wanasema ni kama vile kumsukuma mlevi jinsi ambavyo mambo yamekuwa rahisi.
Kama…
Namna Ya Kuishi Na Mpenzi Mwenye Mawazo Hasi, Soma Hapa
MTU mwenye mawazo, ni yule ambaye muda wote anayatazama mambo kwa ubaya, analalamika, analaumu wengine, anapenda kuwashambulia wengine kwa kauli za kuudhi na zisizo za kiungwana na muda wote anaamini kwamba yeye hakosei.
Mtu wa namna…
Jinsi Ya Kukwepa Kurubuniwa na Kumsaliti Mpenzi Wako.. Wanaume/Wanawake Soma Hapa
WAPO watu ambao wameoa au wana wapenzi walioahidiana kwa mambo mengi, lakini wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la kuvutwa kimahaba na watu wengine. Hali hii huwatokea wawapo masomoni, kazini, kwenye biashara, mbali au pengine hata karibu na…
Mbinu za Kumfanya Aamini Kama Kweli Unampenda kwa Vitendo
NENO ‘nakupenda’ ni dogo lakini lina maana kubwa sana kwa anayelitamka na anayetamkiwa. Kwa bahati mbaya sana, siku hizi neno hilo limekuwa kama mzaha, kila mtu analitamka, wakati mwingine hata mahali pasipostahili na wakati mwingine…
Kwa nini wachumba wanakupiga kibuti kila mara? Soma Hapa
UHUSIANO wa kimapenzi kwa vijana wengi hukumbwa na changamoto nyingi. Zipo sababu kadhaa zinazosababisha hilo, lakini kubwa zaidi ni ugeni wa mambo ya mapenzi na kutokupata elimu sahihi juu ya maisha ya urafiki na uchumba kabla ya ndoa.…
Sababu ya Ndoa za Sasa Kuvunjika Mapema
NAMSHUKURU Mungu kwa kunilinda, kuniongoza na kunijalia pumzi bure ili nizungumze nawe kupitia safu nzuri ya maisha na uhusiano ya XXLove. Mpenzi msomaji wimbi la kuvunjika kwa ndoa nyingi za zama hizi ni kubwa mno, tena wanandoa…
Ukiona Dalili Hizi, Mwenzako Anamchepuko
KILA mmoja atakubaliana na mimi kwamba mahusiano baina ya wapendanao kwa kawaida yanakusudia kuwa ya upendo, maelewano, kuaminiana na urafiki wa hali ya juu ingawa hali halisi siyo hiyo katika uhusiano wa wengi. Wengi wetu wameumizwa…
Vyakula Vya Kula Kwa Mgonjwa Wa Vidonda Vya Tumbo
LEO tutaangazia vyakula vya kuepukwa na wagonjwa wa vidonda vya tumbo lakini pia tutaeleza vyakula vinavyofaa kuliwa na hao wenye matatizo hayo. Ili kupunguza makali au kujiepusha kabisa na ugonjwa huo wa vidonda vya tumbo (ulcers),…