Babu Seya Alivyopigwa Butwaa Kifo cha Magufuli
NGULI wa muziki wa Dansi Tanzania, Nguza Viking ‘Babu Seya’ amesema alipigwa na butwaa baada ya kusikia kwamba aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli amefariki dunia; siku ile ya Machi 17, mwaka huu.
Akizungumza na safu…
