The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

KAGERE

Pablo Aanza na Kagere, Mugalu

SHAUKU ya kupata mabao ya Kocha Mkuu wa Simba raia wa Hispania, Pablo Franco, imemfanya aanze kuitengeneza safu ya ushambuliaji kati ya Meddie Kagere na Chris Mugalu, ili waweze kucheza kwa pamoja katika mechi yao dhidi ya Prisons…

Gomes atamba na Kagere Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Didier Gomes kwa mara nyingine tena ameibuka na kutoa kauli ya kibabe kumpandisha straika wake hatari raia wa Rwanda, Meddie Kagere, kutoka nyota mbili hadi tano kwa kuahidi kumtumia mechi nyingi za Ligi Kuu Bara.…

Kagere Afunga Mabao 58 Bongo

MSHAMBULIAJI namba tatu ndani ya Simba kwa msimu wa 2020/21, Meddie Kagere ametupia jumla ya mabao 58 ndani ya ardhi ya Bongo kwenye Ligi Kuu Bara. Raia huyo wa Rwanda amekuwa na ushkaji mkubwa wa kucheka na nyavu pale anapopata…

Kagere Bado Anawaza Kiatu Chake

MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba, amesema bado anaamini ataendelea kufunga mabao kila atakapopata nafasi ili aweze kutimiza ndoto yake ya kuwa mfungaji bora msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikiwa ataweza kuwa mfungaji…

Kagere Awapania AS Vita Kwao

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere amefunguka kuwa wanakwenda kucheza na AS Vita ambao wanawajua vizuri hivyo hawatokuwa wanyonge kwa kuwa wanataka matokeo mazuri. Februari 12, mwaka huu Simba itacheza mchezo…

Kagere Amkataa ‘Baba Yake’

MSHAMBULIAJI wa Simba, raia wa Rwanda, Meddie Kagere, ameibuka na kusema kuwa, yeye si Mtanzania na hamtambui mzee anayesema ni baba yake. Hivi karibuni, mzee Vedasto Katologi, aliliambia Championi kuwa, Kagere ni mwanawe…

Kisa Kagere, Mo Amvaa Sven

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na mwekezaji wa timu hiyo, Mohamed Dewji ‘Mo’, amesema licha ya timu yake kufanikiwa kutinga hatua ya awali wa Ligi ya Mabingwa Afrika, hajafurahishwa na ubutu wa safu ya ushambuliaji na kusema…

Siri Iliyopo Kati ya Kagere na Kocha Simba

Kocha wa Klabu ya Simba, Sven Vandebroeck amesema kinachoendelea juu yake na mshambuliaji Meddie Kagere ni siri yake hawezi kuiweka hadharani. Sven amedai kuwa kumuanzisha benchi mfungaji bora aliyefunga magoli zaidi ya…

Timu Tano Zamfuata Kagere Simba

WAKALAwa mchezaji Meddie Kagere wa Simba, Patrick Gakumba, amesema kuwa amepokea ofa tano za mteja wake huyo na kama hataendelea kupata nafasi ya kucheza ndani ya timu hiyo, basi itabidi ahame mara baada ya kumaliza mkataba wake.…

Morrison Amfunika Tena Kagere

BERNARD Morrison siyo mtu mzuri kabisa, hivyo ndivyo unavyoweza kusema. Achana na lile bao aliloifunga Simba katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Jumapili iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Imebainika kuwa mchezaji…