MSANII nguli wa Bongo Movies, Wastara Juma,ameshindwa kuvumilia na kuamua kumtolea uvivu mama wa aliyekuwa msanii namba moja wa Bongo Movies, marehemu Steven Charles Kanumba, akisema mama huyo anapaswa sasa kumuacha Lulu…
FLORA MUTEGOA, mama wa aliyekuwa mwigizaji Steven Kanumba, jana amehitimisha siku ya 40 ya kifo cha mwanaye Seth Bosco ambaye alikuwa mdogo wa mwigizaji marehemu Kanumba,
Mutegoa pia alitumia fursa hiyo kufanya kile kilichoitwa kukata…
IKIWA ni ni takribani wiki mbili zimepita tangu aliyekuwa mdogo wa marehemu Steven Kanumba, anayeitwa Seth Bosco, afariki dunia na kuzikwa jijini Dar es Salaam, Global TV Online imemtembelea mama Kanumba, nyumbani kwake kumjulia hali yake…
DAR: Kama ni kumbukumbu mbaya, hakika namba 7 itabaki kuwa pigo kila atakapokuwa anaikumbuka mama mzazi wa marehemu Steven Charles Kanumba, Flora Mtegoa, kufuatia kuwapoteza wanawe wawili kwa nyakati tofauti katika siku inayofanana, Gazeti…
Msanii mkongwe wa filamu nchini, Blandina Chagula maarufu kama Johari, amefika nyumabani kwa mama Kanumba Kimra - Temboni jijini Dar es Salaam baada ya kifo cha Mdogo wake Kanumba Seth Bosco kilichotokea usiku wa kuamkia Desemaba 7,…
SETH BOSCO, mdogo wa aliyekuwa staa wa Bongo Movie, marehemu Steven Kanumba, aliyefariki usiku wa kuamkia leo, Desemba 7, 2019, baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwao Kimara-Temboni, jijini Dar es Salaam alipokuwa akiuguzwa kwa muda …
MDOGO wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo Desemba 7, 2019, baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba, Kimara Temboni jjini Dar es Salaam alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya kufanyiwa…
HIVI karibuni kumekuwepo na taarifa za ugonjwa wa mdogo wa marehemu Steven Kanumba, aitwaye Seth Bosco, ambaye mpaka sasa amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, wodi ya Mwaisela.
‘Sina uwezo wa kumbeba na tayari Seth…
WAKATI ni miaka saba imekatika tangu tasnia ya filamu Bongo na taifa zima kwa jumla lipate pigo la kuondokewa na aliyekuwa nguli wa uigizaji nchini, marehemu Steven Kanumba, +255 Global Radio imezungumza na mama wa msanii huyo, Bi. Florah…
MAMA wa aliyekuwa staa wa Bongo Movie, marehemu Steven Kanumba, Bi. Flora Mtegoa, amesema anatamani kukutana na malkia wa tasnia hiyo, Wema Sepetu, ili amshauri baadhi ya mambo kuhusu maadili, kumrudia Mungu na aachane na mambo ya…
MAMA wa aliyekuwa staa wa Bongo Movie, marehemu Steven Kanumba, Bi. Flora Mtegoa, amesema hakuwahi kuolewa na baba wa mtoto wake huyo (mzee Charles Kanumba) badala yake alikuwa mchepuko wake tu kwani tayari baba huyo alikuwa na mkewe na…
MAMA wa aliyekuwa muigizaji wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba, Bi. Flora Mtegoa, amefunguka kuhusu uhusiano wake kwa sasa na waliokuwa maafiki wa mwanaye wakiwemo ni Vincent Kigosi 'Ray' na Elizabeth Michael 'Lulu'.
…
INAHUZUNISHA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mama mzazi wa aliyekuwa staa mkubwa wa filamu za Kibongo, Steven Charles Kanumba ‘The Great’, Flora Mtegoa kuzimia kwenye kaburi la mwanaye huyo alipokwenda kwenye misa ya kumbukumbu ya miaka…
Global Tv imekuletea list ya tabia za mama wa mastaa wa Bongo ambao hujumuisha Bongo Muvi, Bongo Fleva n.k. ambao baadhi yao wamemulikwa mara kadhaa na baadhi ya vyombo vya habari vya hapa nchini.
Uchambuzi huo umefanywa na gazeti la…
MAMA mzazi wa aliyekuwa msanii wa filamu za Bongo, marehemu Steven Kanumba, Bi. Frola Mtegoa ‘mama Kanumba’ amesema baada ya kifo cha mwanaye huyo alidhani huenda mtoto wake mwingine, Seth Bosco angeweza kuvaa viatu vya kaka yake lakini…
WAKATI maandalizi ya harusi ya mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ yakiwa yamepamba moto chini ya Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda, mama mzazi wa aliyekuwa mwigizaji maarufu wa Bongo Movies,…
MKALI wa Bongo Movies ambaye pia ni kiongozi wa wasanii wa filamu nchini, Steven Mengele 'Steve Nyerere' amevunja ukimya na kumlipua Mama Kanumba, Flora Mtegoa aliyedai hajaridhishwa na kubadilishiwa adhabu kwa msanii Elizabeth Michael…
MAMBO ni moto! Wakati chozi la furaha ya kupunguziwa adhabu likiwa bado halijamkauka muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’, mama wa aliyekuwa mchumba wa muigizaji huyo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amefungua kinywa chake na…
Baada ya Lulu kutolewa Gerezani na kuanza kutumikia kifungo cha nje, Mama Kanumba amefunguka kuwa hafahamu lolote wala hana taarifa zozote kuhusu Lulu kutoka kwake.
Mama Kanumba Afunguka Lulu Kuachiwa
MAMA mzazi wa aliyekuwa staa maarufu wa filamu Bongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa juzikati ametimkia nchini Burundi kwa mualiko maalum aliopewa na wasanii wa kule ili kujifunza juu ya kazi zao za filamu walizofanya.
…
BAADA ya hivi karibuni staa wa filamu, Wema Sepetu kueleza maneno aliyoelezwa na aliyekuwa msanii wa filamu, marehemu Steven Kanumba enzi za uhai wake kwamba hataki kabisa mama yake mzazi, Flora Mtegoa aigize, mzazi huyo ameibuka na…
WAMEMPOTEZEA? Ndivyo unavyoweza kujiuliza kufuatia mastaa wote wanaotamba mjini kushindwa kutokea kwenye hafla ya kumkumbuka ya miaka sita ya kifo cha aliyekuwa nguli wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba (Kanumba Day) na kumwacha mama…
KUTOKANA na hali ngumu ya maisha hivi sasa, mama mzazi wa aliyekuwa mwigizaji mahiri wa Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amemwangukia mwanadada mwenye asili ya kizungu aitwaye Mouna ili amsaidia kwenye shughuli ya kumbukumbu ya…
MAMA wa aliyekuwa mwigizaji kinara wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, kama kawaida yake ameangua kilio cha nguvu kwenye Stendi ya Mabasi ya Segerea jijini Dar, baada ya kuona bango kubwa la mwanaye huyo kwenye duka…
MAMA wa aliyekuwa mwigizaji mahiri wa Bongo Movies, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amefungukia cheko alilolitoa mahakamani wakati wa hukumu ya mwigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’.
Mama Kanumba aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa,…
MAMA wa staa wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Frola Mtegoa amesema kuwa, kutokana na matatizo yaliyompata staa wa filamu Bongo Elizabeth Michael ‘Lulu’ baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili, amekuwa akimuonea huruma na…
MAMA wa aliyekuwa muigizaji nguli wa filamu nchini, Steven Kanumba, Flora Mtegoa, amesema kuwa ataongea na Mungu wake kama ataweza kwenda kumuona muigizaji Elizabeth Michael 'Lulu', ambaye yuko gerezani kwa sasa kufuatia hukumu ya…
WAKATI msanii Elizabeth Michael ‘Lulu’ akianza kutumikia kifungo chake cha miaka miwili jela kwa kosa la kuua bila kukusudia, wadau mbalimbali wanaonekana kumgeuzia kibao mama mzazi wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa kufuatia…
INASIKITISHA! Hakuna neno lingine unaloweza kusemwa mbali na hilo. Wakati muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiendelea kuhudhuria Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ambapo kesi yake anayotuhumiwa kumuua bila kukusudia, Steven…
KESI inayomkabili mwigizaji maarufu wa Bongo Muvi, Elizabeth Michael 'Lulu' kuhusishwa na kifo cha aliyekuwa staa wa filamu nchini, Steven Kanumba imeanza kuunguruma tena leo Alhamisi, Oktoba 19 katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es…
Na MWANDISHI WETU/GPL
DAR ES SALAAM: Mama mzazi wa aliyekuwa nyota wa filamu bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa siku ya kumbukumbu ya mwanaye makaburini Kinondoni, alimfyatukia msanii wa filamu nchini, Vincent Kigosi…
MSANII wa filamu za kibongo Tumaini Bigirimana ‘Aunt Fifii’ ameongoza ibada mbele ya mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa ‘Mama Kanumba’ leo kwenye maadhimisha ya miaka 5 ya kufariki dunia ya mwanaye kwenye makaburi ya kinondoni…
SIKU chache baada ya mama wa marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa kumtambulisha mrithi wa mwanaye kuwa ni Fredy Swai, wametibuana na sasa kila mmoja yuko kivyake chanzo kikidaiwa kuwa ni masuala ya fedha.
Chanzo kilicho karibu…