The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

MVUA

Mvua Yakosesha Makazi Kaya 65

ZAIDI ya kaya 65 katika Kijiji cha Imbilili Kata ya Signo wilayani Babati mkoani Manyara, zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua kubwa. Wakizungumza na HabariLEO jana mjini hapa, wananchi…

TMA Yatabiri Mvua, Upepo Mkali

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imesema kesho Mei 4 kuna uwezekano wa uwepo wa upepo mkali unaokadiriwa kufikia kilometa 40 kwa saa, uwepo wa mawimbi makubwa yanayofikia mita 2 katika baadhi ya maeneo ya ukanda wa Pwani wa Bahari ya…

Mvua Yasababisha Maafa Songea

Mvua mkubwa iliyoambatana na upepo imesababisha maafa ya kuezuliwa paa katika madarasa matano, ofisi mbili na stoo moja kwenye shule ya msingi ya Mfaranyaki iliyopo manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. Akizungumzia tukio hilo…

Breaking: Mvua Kubwa Yaua Watu 12 Dar – Video

MKUU  wa Mkoa wa Dar es Salaam, Aboubakary Kunenge, amesema kuwa mvua kubwa zilizonyesha juzi Jumanne, Oktoba 13, 2020 jijini humo zimesababisha athari kubwa ikiwemo vifo vya watu 12, ambapo wilaya ya Ilala ina vifo nane na Kinondoni…

TMA Yatoa Tahadhari ya Mvua Kubwa

MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini  (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, Kaskazini na Kanda ya Kati kukumbwa na mvua kubwa kwa siku tano mfululizo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana…

Mvua yaharibu Nyumba 360 Songwe

MVUA iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha jana jioni Mkoani Songwe imesababisha uharibifu wa nyumba Zaidi ya 360 Katika Wilaya za Mbozi na Momba pamoja na kujeruhi watoto wawili. Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen Nicodemus…

BAD NEWS: MAFURIKO YAUA 28

IDADI ya watu waliokufa kutokana na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko Kusini mwa Malawi imefikia watu 28. Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi hiyo iliyotolewa Jumamosi imesema kuwa wakati huohuo idadi ya walioathirika inakadiriwa…

Mvua Yazidi Kuleta Maafa Dodoma

MTU mmoja mkazi wa Kijiji cha Mwakisebe Kata ya Kimaha wilayani Chemba mkoani Dodoma amefariki dunia, huku watu wengine zaidi ya 2000 wakiwa hawana mahali pa kuishi baada ya nyumba zao kubomoka na nyingine kuzingirwa na…