The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

polepole

Polepole Agoma Kukata Rufaa

MBUNGE wa Kuteuliwa Humphrey Polepole ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kwamba hata kata rufaa ikiwa ni Masaa machache tangu Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kutangaza kuifunga programu yake ya “Shule ya Uongozi”…

Polepole: Siondoki CCM – Video

MBUNGE wa kuteuliwa, Humphrey Polepole amesema hataondoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kama ambavyo watu waekuwa wakimsema kwani anaamini anachokifanya (mafunzo yake ya cha Shule ya Uongozi) kiko sahihi kwa mujibu wa sheria.…

Polepole: Sina Mpango na Ubunge

MBUNGE wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole ameweka wazi kwamba hana mpango wa kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo ifikapo 2025 kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakimhoji kwa kile alichoeleza kuwa ni kazi ambayo hana utume nayo…

Ndugai Awaapisha Polepole, Lulida

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, leo Novemba 30, 2020,  amewaapisha wabunge wawili walioteuliwa na   Rais John Magufuli, ambao ni Humphrey Polepole na Bi Riziki Lulida   kwenye viwanja vya bunge…