Mikasa na Thamani ya Kombe la Dunia Kutoka Kutengenezwa Hadi Kuibiwa
MNAMO tarehe 20 mwezi Machi 1966 ulikuwa ni mwaka ambao michuano ya kombe la dunia ilifanyika huko nchini Uingereza, lakini kabla ya michuano hiyo kufanyika kulitokea tukio ambalo liliwaacha wengi midomo wazi baada ya kombe la dunia…
