JINI MTU-16
Katika kipindi kipya cha maisha yangu katika jiji la Dar es salam sikuwa na ndugu wala jamaa katika mji huu wenye hali nzito ya hewa na joto kali.
Rafiki yangu mkubwa alikuwa ni Lody Kenzy, aliye kuwa akinitembelea mara kwa mara…