MKALI anayekimbiza kwenye gemu la Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ametinga ndani ya Mjengo wa Global Group kutambulisho ujio wake mpya wa Kizunguzungu akiwa na Frank Ferdick ‘Foby’ huku akisimulia kuumizwa na watu waliomfutia nyimbo…
Kuwa wa kwanza kuangalia video wa wimbo wa msanii wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’
unaoitwa Yeyo ingia Global App na kama huja install, nimekuwekea link hapa chini:
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Baada ya kuingia…
MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ameamua kugeukia muziki wa singeli ameachia wimbo wake wa singeli ambao amemshirikisha Msaga Sumu unaoitwa umepenya.
Global Publishers App imekurahisishia sana jinsi ya kuitazama video…
SIKU chache baada ya staa wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ kufungiwa na Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza kutofanya sanaa miezi sita kutokana na wimbo wake wa Kibamia kukosa maadili, msanii…
MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ameamua kugeukia muziki wa singeli na kuahidi kuliteka soko hilo, kwa kuwa anaamini muziki huo bado haujapata mwanamke anayeumudu.
Akipiga stori na Risasi Vibes, Pam D alisema yupo…
MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amejikuta kwenye wakati mgumu wa kumfariji ndugu yake ambaye pia ni msanii mwenzake, Mesen Selekta kutokana na kufiwa na mama yake ambaye alimfia mikononi mwake.
Akistorisha na Mikito…
MWANADADA ambaye anafanya vizuri kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’, amefunguka juu ya skendo ya kujichimbia na mwanamuziki Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' hotelini wakiwa kwenye ziara ya kimuziki katika mikoa…
MSANII wa Bongo Fleva Pamela Daffa ‘Pam D’ amekiri kutamani kuvaa magauni kama wanawake wengine ila bado anapata shida kwa mazoea ya kuvaa nguo za kiume.
Pam D akichonga na Full Shangwe alisema kuwa, anapata wakati mgumu kuanza…
KING Of The Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ kwa mara ya kwanza baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu amefunguka kuwa anatarajia kuachia ngoma mpya Septemba 3, mwaka huu ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo…
MSANII wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefunguka kuwa, ukaribu alionao na staa wa Muziki wa Dansi, Christian Bella ‘Obama’ umembeba kwa kiasi kikubwa.
Akistorisha na Over Ze Weekend, Pam D anayebamba na Wimbo wa Ngoma Droo…
MKALI wa ngoma za Saresare pamoja na Zogo, Diana Exavery ‘Malaika’ amefunguka kuwa mashabiki wa muziki wamekuwa wakimfananisha staili yake ya uimbaji na mwanamuziki mwenzake Pamela Daffa ‘Pam D’ kutokana na wote kufanya kazi…
STORI: BONIPHACE NGUMIJE, RISASI JUMAMOSI, MKITO NUSUNUSU
MWANADADA anayefanya vyema kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefunguka kuwa anahofia kumwanika mpenzi wake ili kuepuka watu kuwaachanisha kama ilivyo kwa…
WAKATI mambo yakizidi kuwa moto kuelekea Mei 6 (kesho) katika mpambano wa kuimba kati ya Pamela Daffa ‘Pam D’ na Gift Stanford ‘Gigy Money’ ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo MbagalaZakhem jijini Dar, refa wao ambaye…
GAZETI LA AMANI | SHOWBIZ EXTRA | DAR LIVE
WAKATI ikiwa imesalia siku moja kufikia Mei 6, King of The Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuwa refa katika mpambano wa kukalishana kwa kuimba kati ya Pamela…
WAKATI zikiwa zimesalia siku mbili kufikia Mei 6, King of The Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuwa refa katika mpambano wa nani mkali wa kuimba kati ya Pamela Daffa ‘Pam D’ na Gift Stanford ‘Gigy Money’…
MKALI wa masauti, Mwanamuziki Christian Bella, Mei 6, mwaka huu anatarajia kumtunuku ‘Krauni’ msanii Pamela Daffa ‘Pam D’ au Gift Stanfod ‘Gigy Money’ kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala, Dar kwa kudodosha bonge ya shoo.
Bella ambaye…
DAR ES SALAAM: Imevuja! Mbunge wa jimbo moja lililopo katikati ya nchi ya Tanzania akikiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) anadaiwa kuzaa na Miss Shinyanga, 2014 aliyeingia Top 5 ya Miss Tanzania mwaka huo ambaye pia ni Mwanamuziki wa…
Stori: MAYASA MARIWATA
MKALI wa Ngoma ya Nimempata, Pamela Daffa ‘Pam D’ ambaye hivi karibuni alipata pigo la kuondokewa na baba yake, Shedrack Nyato amesema kifo hicho kimemyumbisha kimuziki kwani alipanga kuachia ngoma mpya siku baba…
Shedrack Nyato enzi za uhai wake.
Staa wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amefiwa na baba yake, Shedrack Nyato nyumbani kwake Mbagala jijini Dar jana.
Mtandao huu ukiongea na dada wa Pam D aitwaye Rehema Nyato, amesema chanzo cha…
MAYASA MARIWATA
WASANII wa Muziki wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ na Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ hivi karibuni walizua utata baada ya kuonekana wakiwa wamegandana kwa mapozi ya kimahaba kwenye mashine ya kuweka na kutolea fedha…
Na Gladnness Mallya
MKALI wa Kibao cha Nipe Nono, Pamela Daffa ‘Pam D’ ameeleza kuwa ubonge nyanya alionao kwa sasa unamtesa kwani amefanya kila juhudi kuuondoa bila mafanikio.
Akiteta na Risasi Mchanganyiko, Pam D alisema amekuwa…
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ na muuza nyago maarufu, Lulu Abbasi ‘Lulu la Diva’ wamefumwa ‘live’ wakidendeka bila kujali macho ya watu, wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama jijini…
Pamela Daffa ‘Pam D
Na Mayasa Mariwata
MKALI wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ amesema kuwa, hali aliyonayo Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ kwa sasa kutokana na matumizi ya madawa ya kulevya imekuwa ikimnyima usingizi kwa kuwa ni moja ya…
Msanii wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ akitoka langoni kwa Tabibu JJ Mwaka.
Na mayasa Mariwata,
Dar es Salaam: Laivu! Kitengo cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) cha Global Publishers, kimemnasa msanii wa Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam…
Stori: Mayasa Mariwata | RISASI MCHANGANYIKO |Risasi Vibes
SEXY lady anayetamba na Ngoma ya Daffa, Pamela Daffah ‘Pam D’ Amelia kutengwa na wasanii wenzake kutokana na kuwa mpweke akidai wamemsusia shughuli ya arobaini ya baba yake…
Staa wa filamu Koletha akiwa kwenye Bajaj.
DAR ES SALAAM: Mastaa wa sinema za Kibongo wamedai wanashindwa kusonga mbele kimaisha kutokana na kutumia fedha nyingi kwenye usafiri wa Bajaj kwa kutunza hadhi zao kutopanda daladala.
Ishu…