Fainali ya Muungano Cup; Simba Kuivaa Azam FC Bila Chama Wala Inonga
Fainali ya Kombe la Muungano inatarajiwa kuchezwa kwa mara ya kwanza leo baada ya miaka 20 kupita, wakati Simba itakapokwaana na Azam FC kwenye Uwanja wa New Amani Complex, mjini Zanzibar.
Simba iliingia fainali kwa kuichapa KVZ…