×

Habari

Kachero Adai Alikataa Hongo Kesi Dawa za Kulevya

  SHAHIDI wa tano wa upande wa mashtaka katika kesi ya ulimaji wa dawa za kulevya aina ya bangi na...

READ MORE

Waislamu Watangaziwa Mfungo Siku 3

  KATIBU wa Baraza la Maulamaa, Sheikh Hassan Chizenga, ametaka waumini wa dini ya Kiislamu nchini  kufunga kwa siku tatu...

READ MORE

Mwanafunzi Mbaroni Akidaiwa Kumlawiti Mwenzake

MWANAFUNZI (13) wa darasa la sita wa Shule ya Msingi Maguja anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi mwenzake...

READ MORE

Askofu Mwamakula Akamatwa na Polisi

POLISI Mkoa wa Dar es Salaam imemkamata Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula wa Kanisa la Uamsho la Moravian kwa kosa la...

READ MORE

Ulega Asisitiza Matumizi ya Kiswahili Bidhaa za Ndani na Nje

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Abdallah Ulega amewataka wazalishaji wa bidhaa za ndani kuandika kwa Kiswahili...

READ MORE

DED Korogwe Afariki Dunia

MKURUGENZI wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe, Kwame Daftari, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Februari 16, 2021, Hospitalini jijini Dar...

READ MORE

Ukatili! Anayedaiwa Kuuwa Wanawake Akamatwa Arusha – Video

JESHI la Polisi Mkoani Arusha linawashikilia watuhumiwa wa mauaji ya wanawake tisa waliouwawa kikatili maeneo ya Kisongo nje kidogo ya...

READ MORE

60 Waishia Mikononi Mwa Polisi Kilimanjaro

Watu 60 wakazi wa wilaya ya Rombo wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Kilimanajaro kwa tuhuma za utengenezaji wa pombe...

READ MORE

Bad News: Fisi Waua Watoto Wawili Geita

WATOTO wawili wamefariki dunia na watu wanne kunusurika kifo baada ya kuvamiwa na kushambuliwa na kundi la fisi ambao wamekuwa...

READ MORE

Kilichowakuta Mdee na Wenzake Kortini Leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar-es-saalam, imewasomea maelezo ya awali wanachama wa chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) wakiwemo...

READ MORE

Watumishi wa Serikali Kizimbani kwa Tuhuma za Wizi

Ofisi ya TAKUKURU Mkoa wa Songwe leo tarehe 15/02/2021 imewafikisha watumishi wa umma wawili(02) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa...

READ MORE

Ofisa Mauzo Kortini Akidaiwa Kuiba Mil 89 – Video

OFISA Mauzo wa Kampuni ya Amsons Industries Tanzania Limited, John Joseph (40),  mkazi wa Kimara Michungwani jijini Dar es Salaam...

READ MORE

Exclusive: Siku za Ndoa ya Lulu Zatimia, Maandalizi Yanoga

HAYAWI hayawi, sasa ni rasmi yamekuwa! Ndivyo kilivyoanza kunyetisha chanzo chetu cha uhakika juu ya kufungwa kwa ndoa ya Malkia...

READ MORE

Wananchi Rwanda Waanza Kuchoma Chanjo ya Corona

CHANJO dhidi ya Covid-19 imeanza kutolewa nchini Rwanda kwa wahudumu wa afya, wizara ya afya imetangaza.   Afisa wa wizara...

READ MORE

Seneta Haji Afariki

SENETA wa Garissa, Mohamed Yusuf Haji amefariki, familia yake imethibitisha.   Haji ambaye hadi mwaka 2020 alihudumu kama Mwenyekiti wa...

READ MORE

Pigo: Wanne Familia Moja Wafariki Katika Mazingira Tofauti

FAMILIA ya Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Profesa Delphina Mamiro, imepata pigo ndani siku 28 kwa kupoteza...

READ MORE

KCMC Yafungukia Mgomo wa Madaktari

HOSPITALI  ya KCMC ya mkoani Kilimanjaro, kupitia kwa msemaji wake, Gabriel Chiseo, imeweka wazi kuwa hakuna mpango wa kugoma kwa...

READ MORE

Huawei Yasisitiza Kuendelea Kuimarisha Utandawazi

  Kampuni ya Huawei imeahidi kuzingatia mkakati wake wa utandawazi licha ya shinikizo la nje. Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...

READ MORE

Mapinduzi ya Myanmar: Jeshi Latanda Mitaani, Intaneti Yazimwa

  Magari ya kivita yametanda katika mitaa ya miji kadhaa nchini Myanmar huku kukiwa na ishara kwamba wanajeshi wanaandaa msako...

READ MORE

Seif Khatib Afariki Dunia

MWENYEKITI wa Baraza la Kiswahili Zanzibar (BAKIZA) Dkt. Mohammed Seif Khatib, amefariki dunia leo asubuhi Jumatatu Februari 15, 2021.  ...

READ MORE

Mbwa Arithi Tsh Bilioni 1.1

  MBWA mmoja amerithi fedha dola milioni 5 (sawa na Tsh bilioni 1.1) kutoka na mmiliki wake aliyefariki katika jimbo...

READ MORE

Ajali Basi la Coast Line, Watano Walazwa, 16 Waruhusiwa

WATU watano waliokuwa wamelazwa katika Hospitali ya Nyerere, jana kutokana na ajali ya basi la kampuni ya Coast Line lililokuwa...

READ MORE

Wawili Wafariki kwa Kufukiwa Kifusi Kahama

WATU  wawili wamefariki dunia baada ya kuangukiwa kifusi  kwenye machimbo ya kijiji cha Mwime duara namba 11C kata ya Zongomela...

READ MORE

Yajue Majeshi Yenye Nguvu Zaidi Duniani

JARIDA la kimataifa la ‘Firepower’ ambalo huwa linalinganisha uwezo wa vikosi vya majeshi duniani kila mwaka , limetoa orodha ya...

READ MORE

China Yagoma Kutoa Data za Covid-19 kwa WHO

  CHINA imekataa kutoa data muhimu kwa timu ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) inayochunguza asili ya Covid-19, ambapo mmoja...

READ MORE

Watumishi Waliohodhi Vizimba Soko Kuu Moro Yawakuta

WAFANYABIASHARA katika Soko la Chifu Kingalu wamelalamika kwa Rais John Magufuli kuwa wanauziwa vizimba kwa bei isiyo ya manispaa na...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza Yazindua Tuzo za ‘Mwanamke Shujaa Excellence In Leadership 2021

Coca-Cola Kwanza Ltd, ambayo ni kampuni tanzu ya Coca-Cola Beverages Africa leo imetangaza kuzindua msimu mpya wa kampeni ya Mwanamke...

READ MORE

Serikali Yasaka Tril 1.029 Kodi ya Ardhi Moro

  OFISI ya Ardhi Mkoa wa Morogoro imeanza kuwabana wadaiwa wa kodi ya pango la ardhi kwa kuwafikisha wadaiwa sugu...

READ MORE

Ndugulile Atoa Maagizo Shirika la Posta

WAZIRI wa‌ ‌Mawasiliano‌ ‌na‌ ‌Teknolojia‌ ‌ya‌ ‌Habari‌ ‌‌ ‌Dkt.‌ ‌Faustine‌ ‌Ndugulile‌ ‌ameliagiza‌ ‌Shirika‌ ‌la‌ ‌Posta‌ ‌Tanzania‌ ‌(TPC)‌ ‌kuangalia‌ ‌upya‌ ‌muundo‌...

READ MORE

Rais wa Marekani Joe Biden Kulifunga Gereza la Guantanamo

Rais wa Marekani Joe Biden anataka kulifunga gereza la Guantanamo Bay linalotumiwa kuwashikilia washukiwa wa ugaidi. Biden antaka kulifunga gereza...

READ MORE

Baraza la Seneti Lashindwa Kumtia Hatiani Trump

Baraza la seneti nchini Marekani limemuondolea mashataka rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump, ya kuchochea shambulio baya dhidi...

READ MORE

Mechi ya Namungo na Waangola Yafutwa

  SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limeufuta mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya CD de Agosto ya Angola dhidi...

READ MORE

Waziri Mkuu Aahirisha Bunge

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, ameahirisha vikao vya Bunge hadi Machi 30, 2021, na kusema kuwa serikali ipo kwenye utekelezaji wa...

READ MORE

Majaliwa Afungukia Namungo Kuzuiwa na Jeshi Angola

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameipongeza klabu ya Simba kwa kupata ushindi wa kwanza wa bao 1-0 katika mchezo wa Ligi...

READ MORE

Simba Kuifunga AS Vita ni Uchumi wa Kati

Waziri wa Katiba na Sheria Mwigulu Nchemba, amewaambia Watanzania kwamba wanayo bahati sana kuwa na Rais ambaye usiku na mchana...

READ MORE

Samia Atoa Maagizo Serikali za Mitaa – Video

  MAKAMU  wa Rais, Samia Suluhu, ametoa wito kwa serikali za mitaa kuhakikisha kamati zake za maji zinalinda miundombinu ya...

READ MORE

TAMISEMI Kusaka Kodi Nyumba kwa Nyumba

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo amesema kuanzia tarehe 15...

READ MORE

DC Gondwe Atoa Siku 14 Mzabuni Kituo cha Afya Buza

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Godwin Gondwe ametoa siku 14 kwa Mzabuni wa vifaa tiba Bahari Phamacy kuhakikisha vifaa hivyo...

READ MORE

Wahamihaji Haramu Wanaswa Juu ya Dari Mwanza

KINARA wa usafirishaji wa wahamiaji haramu David Kapangala (31) na wenzake watatu wamekamatwa mkoani Mwanza na Idara ya Uhamiaji kwa...

READ MORE