×

Habari

Gambo Agawa Bure Sukari Iliyokamatwa Namanga – Video

MKUUwa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amegawa bure sukari kiasi cha kilo 5,000 iliyokamatwa katika mpaka wa Namanga unaotenganisha Tanzania...

READ MORE

Wakili Msando: Corona Hali ni Mbaya, Semeni Ukweli – Video

WAKILI maarufu wa kujitegemea, Alberto Msando, ametoa msaada wa barakoa 100 pamoja na vitakasa mikono 100 kwa waandishi wa habari...

READ MORE

Waliopandisha Bei ya Sukari Waiona Shughuli ya DC Sabaya – Video

  Ikiwa ni siku chache zimepita tangu serikali kutangaza Bei elekezi ya Sukari kwa kila mkoa bado Baadhi ya Wafanyabiashara...

READ MORE

Corona: Ndege za Abiria za ATCL Kubeba Mizigo

KATIKA kukabiliana na changamoto za kibiashara zinazosababishwa na mlipuko wa virusi vya corona, Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) inatarajia...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Kenya Wafikia 374

WIZARA ya Afya Kenya imesema wagonjwa wengine 11 wa corona wameongezeka jana na kufanya jumla ya visa vya corona kufikia...

READ MORE

Moro: Kisa Dalili za Corona, Mazishi ya Naibu Meya Yasitishwa

MAZIKO ya aliyekuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro na diwani wa Kata ya Kiwanja cha Ndege, Isihaha Sengo, yamesitishwa...

READ MORE

Mhandisi wa maji Ajinyonga, Serikali Kusimamia Mzishi Yake

MKUU wa wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, John Palingo (55) amesema kuwa Serikali itasimamia taratibu za mazishi ya mtumishi wa...

READ MORE

Trump Aitishia China Kulipa FIDIA Kisa Corona

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema huenda nchi hiyo ikaitaka China kuilipa fidia kutokana na janga la maambukizi ya Corona...

READ MORE

Mbaroni kwa Kusema ‘Nguo za Marehemu wa Corona China Zinaletwa Afrika’

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia JOYCE KEPHAS AKYOO MANKA (31) mfanyabiashara na mkazi wa Stereo, Jijini Mbeya kwa...

READ MORE

Utata Aliyemkata Kichwa Bibi Yake

 DUNIANI si mahali salama tena kwa maisha ya binadamu! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia utata mkubwa ambao umeibuka baada ya Eliakim...

READ MORE

Mtwara: Mazishi ya DC Mmanda – Pichaz

MAZIKO ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Evod Mmanda,  yamefanyika asubuhi ya leo, Aprili 28, 2020,  eneo la Pemba...

READ MORE

Marekani: Wananchi Waandamana Kupinga Karantini

WANANCHI wa jiji la Washington DC nchini Marekani wameandamana kupinga amri ya kubaki ndani kufuatia kasi kubwa ya maambukizi ya...

READ MORE

Waziri Bashungwa Avitaka Viwanda Kutengeneza Barakoa Kwa wingi

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa (Mb) ameutaka umoja wa Viwanda vya Nguo Nchini (TEGAMAT) kuangalia uwezekano wa...

READ MORE

Wizara ya Afya: Toboa Barakoa Kabla Hujaitupa

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imetoa wito kwa wananchi kuteketeza barakoa baada ya kumaliza matumizi...

READ MORE

INFINIX KUJA NA BIGI MAKINI – INFINIX NOTE 7

Kampuni pendwa ya simu Tanzania, Infinix Mobility iko mbioni kuleta simu yenye hadhi ya juu-NOTE 7 na kupewa jina la...

READ MORE

Wakili Gaudiosus Ishengoma Afariki Dunia

WAKILI msomi wa FB Attorneys, Gaudiosus Ishengoma,  amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne, Aprili 28, 2020, katika Hospitali ya...

READ MORE

Trump: Najua Hali ya Kim Jong-un

RAIS Donald Trump wa Marekani amesema kwamba anajua hali ya Kim Joing un kufuatia madai kuhusu afya ya kiongozi huyo...

READ MORE

Rais Magufuli Amlilia Jaji Augustino Ramadhani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli Ameeleza Kusitikishwa na Kifo cha Jaji Mstaafu Augustino Ramadhan,...

READ MORE

Mbuge Koka Aikabidhi Jumuiya ya Wazazi Kibaha Mizinga Ya Nyuki

Mbunge wa Kibaha Mjini, Slyvestry Koka (kulia) akijiandaa kunawa mikono ili kujikinga na ugonjwa hatari wa Corona (COVID-19)  kabla ya...

READ MORE

GGML Yatoa Sh Bilioni 1.6 Kuunga Mkono Mapambano Dhidi Ya Corona

Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)  imetoa Sh bilioni 1.6 kuunga mkono juhudi za Serikali kudhibiti maambukizi ya Virusi...

READ MORE

Video: Selasini Ajiondoa Chadema, Atimkia NCCR-Mageuzi

MBUNGE wa Rombo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joseph Selasini ametangaza kuachana na chama hicho na kurejea kwenye...

READ MORE

Tanzia: Mdogo wa Lowassa Afariki Dunia

MDOGO wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa anayefahamika kwa jina la Bernard Lowassa, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumanne,...

READ MORE

Tanzia: Jaji Augustino Ramadhani Afariki Dunia

Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Augustino Ramadhani, amefariki dunia leo Aprili 28, 2020, katika Hospitali ya Aga Khan, jijini Dar...

READ MORE

Ibrah wa Harmo Afuata Nyayo Za Zuchu

MDOGOMDOGO sasa vita inataka kuhama kutoka kwa mabosi kwenda kwa wasanii wao ambapo msanii wa Bongo Fleva aliyesainiwa kwenye Lebo...

READ MORE

Tulonge Afya Yazindua Kipindi Cha Uelimishaji Vijana Kwa njia ya Luninga

Ili kukabiliana na changamoto za COVID-19 ambazo zimeathiri shughuli mbali mbali Nchini Tanzania, Programu ya USAID Tulonge Afya imezindua kipindi...

READ MORE

Corona Yatibua Fumanizi la Mwaka!

MOROGORO: UKISIKIA Corona imetibua fumanizi, ndio hili lililotokea mkoani Morogoro na kuwanyima wakazi wa mji huo kushuhudia uhondo wa mshikemshike...

READ MORE

Kenya: Shule Kuendelea Kufungwa, Hoteli Kufunguliwa

KENYA imetangaza kuwa itaanza kufungua hoteli ila ni zile tu ambazo wahudumu wake watakuwa wamefanyiwa vipimo kubaini iwapo hawana Ugonjwa...

READ MORE

Mazishi ya DC Mtwara Kuhudhuriwa na Watu Wasiozidi 10

MAZISHI ya aliyekua mkuu wa wilaya wa Mtwara Evodi Mmanda yatahudhuriwa na watu 10, na serikali ndio itasimamia mazishi hayo....

READ MORE

Mrithi Mama Rwakatare ni Huyu!

DAR: Kile kitendawili cha mrithi wa usimamizi wa Makanisa ya Mlima wa Moto- Mikocheni B Assemblies Of God, yaliyokuwa chini...

READ MORE

Mama Rwakatare Aagwa Tena Kanisani, Waumini Vilio – Video

IKIWA ni siku chache tangu aliyekuwa askofu wa kanisa la Mlima wa Moto, Getrude Rwakatare, azikwe katika viwanja vya kanisa...

READ MORE

Walioambukizwa Corona Kenya Wafika 363

WAZIRI wa Afya nchini Kenya, Mutahi Kagwe ametangaza kwamba watu 8 zaidi wamethibitishwa kuambikizwa virusi vya corona. Idadi ya Walioambukizwa...

READ MORE

Korea Kusini: Kim Jong Un Yuko Fiti

KIONGOZI wa Korea Kaskazini Kim Jong Un yuko katika hali nzuri ya kiafya  kwa mujibu wa Moon Chung In, mmoja...

READ MORE

Watanzania Wengine 4 Wakutwa na Corona Uganda

  WIZARA  ya Afya nchini Uganda imesema Watanzania wengine wanne ambao ni madereva wa malori, wamethibitishwa kuwa na virusi vya...

READ MORE

Airtel Yatoa Msaada Mil700/=Mapambano Dhidi  Ya Corona

  Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel Tanzania leo imetoa kiasi cha Tzs 700,000,000 milioni (Milioni mia saba) kwa Wazira...

READ MORE

Tanzia: Naibu Meya Morogogoro Afariki Dunia

o Naibu Meya Manispaa ya Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Diwani wa Kata ya Kiwanja cha Ndege, Isihack...

READ MORE

Madaktari 200 wa Cuba Watua Sauz Kupambana na Corona

Timu ya madaktari zaidi ya 200 wa Cuba imewasili nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi...

READ MORE

Wafungwa Waliosamehewa na JPM Handeni Waachiwa – Video

BAADA ya Rais John Magufuli kutangaza msamaha kwa wafungwa 3,973 nchini, Wilaya ya Handeni imekuwa miongoni mwa wilaya za kwanza...

READ MORE

Tanzia: Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Afariki Dunia

MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wakili Evod Mmanda, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu, Aprili 27, 2020, katika Hospitali ya...

READ MORE

Baada ya Kuugua Covid 19, Hatimaye Boris Kurejea Ofisini Leo

WAZIRI mkuu wa Uingereza Boris Johnson atarejea ofisini leo Jumatatu baada ya kupona maambukizi ya virusi vya corona.Msemaji wa serikali...

READ MORE