×

Habari

Mharusi Wavalia ‘Mask’ Wafunga Ndoa Kuhofia Corona

Maharusi nchini Ufilipino wamelazimika kuvaa barakao (mask) wakati wa sherehe ya ndoa yao kutokana na hofu ya kusambaa kwa virusi...

READ MORE

Kili Canvas Ndio Habari Ya Mjini Moshi Kilimanjaro

Kili Canvas iliyozinduliwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager hivi karibuni jijini Dar...

READ MORE

TTCL, TPRI Kuzindua Huduma ya Kuhakiki Viuatilifu Kielektroniki

  Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), na Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu Ukanda wa Tropiki (TPRI) zimeingia makubaliano ya...

READ MORE

Breaking: Katibu Bavicha Aondoka Chadema – Video

ALIYEWAHI kuwa Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Simbeye,  ametangaza kuachana na...

READ MORE

Netanyahu Atishia Vita Baada ya Palestina Kurusha Roketi Israeli

Wanamgambo katika Ukanda wa Gaza wameendeleza mashambulizi kusini mwa Israel kwa makombora ya roketi yaliyopenya katika mfumo wa ulinzi wa...

READ MORE

Algeria Yathibitisha Kuwa na Mgonjwa wa Corona

Algeria imethibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona, ambapo mgonjwa ni raia wa Italia aliyewasili nchini humo Februari 17....

READ MORE

Shirikisho la Filamu Tanzania Lakabidhi Rasimu ya Katiba Mpya

Shirikisho la filamu Tanzania limekabidhi rasimu mpya ya katiba kwa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ambayo itakwenda kumaliza changamoto mbalimbali...

READ MORE

Magufuli, Mkewe Washiriki Ibada ya Majivu Dar

RAIS   John  Magufuli  na mkewe, Janeth Magufuli, leo Februari 26, 2020, wameshiriki Misa ya Jumatano ya Majivu iliyofanyika katika Kanisa...

READ MORE

Amuua Mkewe kwa Mkuki Akiwa Amelala

HAWA JUMA (35) mkazi wa Kijiji cha Isikizya, Wilayani Uyui, ameuawa alipokuwa amelala kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali...

READ MORE

Mwalimu Jela Kumsababishia Mwanafunzi Ulemavu

MAHAKAMA ya Wilaya ya Njombe imemhukumu mwalimu Focus Mbilinyi aliyekuwa akifundisha shule ya msingi Madeke  kifungo cha miaka mitatu jela ...

READ MORE

Mchungaji Anaswa na Silaha, Sare za Jeshi

MCHUNGAJI Florence Lanyero, wa kanisa la Rest Arena lilipo Gulu, Uganda, amekamatwa nyumbani kwake Februari 23, 2020,  kwa kumiliki sare...

READ MORE

Video: RC Mghwira Afichua Upigaji Wa Mil 300, Aliyekua DED Atajwa

 Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt.Anna Mghwira amebaini upotevu wa shilling mil.300 katika ujenzi wa hospital ya wilaya ya...

READ MORE

Nyama ya Punda Yazua Balaa

WAZIRI wa Kilimo nchini Uganda, Peter Munya, ameagiza kufungwa kwa machinjio yote ya punda nchini humo na akawataka wamiliki kuchinja...

READ MORE

Naibu Waziri wa Afya Aambukizwa Virusi vya Corona

NAIBU Waziri wa Afya nchini Iran, Iraj Harirchi,  ambaye amekuwa mstari wa mbele nchini humo katika kupambana na  Corona Virus...

READ MORE

Wachina Wanaswa Wakitaka Kumpa Kamishna Mkuu TRA Mil. 11

JUZI Jumatatu, Feb. 24, 2020, mida ya saa 6 mchana, Kamishna Mkuu wa TRA, Dkt. Edwin Mhede, akiwa ofisini kwake ...

READ MORE

Wanafunzi 47 Wapewa Ujauzito Dodoma

WANAFUNZI wa kike 47 katika shule mbalimbali za sekondari wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wameachishwa masomo kwa kupata ujauzito  kipindi cha...

READ MORE

TBL Yashinda Tuzo ya Kimataifa ya Kizibo Cha Dhahabu

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imepata Tuzo ya kimataifa ya Kizibo Cha Dhahabu (IGCA) inayomaanisha Ubora wa Kimataifa kutokana na...

READ MORE

Wanaoiua Yanga Hawa Hapa

YANGA imetoka sare ya 0-0 dhidi ya Coastal Union na kuandika sare yake ya nane kati ya mechi 22 za...

READ MORE

RC Mtwara Kukutana na Watengeneza Gongo

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amesema bado nia yake ya kukutana na Watengenezaji wa pombe aina ya gongo...

READ MORE

Makonda: Nitapambana na Zitto Kabwe

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuwa hana mashaka na kuwa Rais Magufuli ataendelea kushikilia nafasi...

READ MORE

BREAKING: Rais Hosni Mubarak Afariki Dunia

RAIS wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, amefariki dunia hospitalini jijini Cairo akiwa na miaka 91. Mubarak alidumu madarakani kwa...

READ MORE

Majambazi Sugu Wauawa, Askari 8 Wanaswa Wakiiba Mabilioni ya Benki – Video

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUKAMATWA WATUHUMIWA WANNE WA WIZI WA MABILIONI YA BENKI YA NBC JIJINI DSM​ Jeshi la...

READ MORE

Wanandoa Wadai Fidia Mil 376 Baada ya Kanisa Kuifuta

MUHWEZI BENSON na Akankwasa Sophie wamedai fidia ya Tsh milioni 376 kwa kanisa la ‘Church of Uganda’ baada ya kufuta...

READ MORE

Mke wa Kobe Awashtaki Waliosababisha Kifo cha Mumewe

VANESSA BRYANT ameishtaki Kampuni ya Island Express na rubani wa helikopta iliyopata ajali na kusababisha kifo cha mumewe, bintiye na...

READ MORE

Mbunge Chadema Atiwa Mbaroni

  Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Katavi (CHADEMA) ambaye pia ndio Mwenyekiti wa Chama mkoani hapo, Rhoda Kunchela anashikiliwa na...

READ MORE

Yanga Ndio Nini….

LICHA ya kuanza na mastaa wazawa sita ambao wanaweza kukipiga kwenye viwanja vya mkoani bado haikuwa msaada kwa Yanga jana...

READ MORE

Biashara Kufanyika kwa Saa 24 Kariakoo – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam kushikamana na kufanya...

READ MORE

Hukumu ya Kesi Inayowakabili Viongozi Chadema Kutolewa Machi 10

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Machi 10, 2020 kutoa hukumu ya kesi ya uchochezi dhudi ya viongozi nane wa...

READ MORE

TECNO Yawakumbuka Watoto Yatima

Tukiwa katika mwanzo wa muhula wa kwanza  wa masomo, kampuni ya simu za mkononi  ya TECNO, imetoa  msaada wa vitu...

READ MORE

Zola kuzawadia vifaa vya umeme kwa wanafunzi bora wilayani kisarawe

ZOLA kuzawadia vifaa vya umeme wanafunzi watakaofanya vizuri katika mitihani yao wilayani Kisarawe Kampuni ya kuzalisha vifaa vya umeme wa...

READ MORE

Kwa Majonzi, Kabendera Amlilia Mama Yake, Asimulia Jela Kulivyo – Video

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imemuhukumu Mwandishi wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera kulipa faini na...

READ MORE

Tuhuma za Kutaka Kuuawa, Muroto Amuita Musiba kwa Mahojiano

JESHI la Polisi mkoani Dodoma limemuita kwa mahojiano mwanaharakati huru Cyprian Musiba baada ya kutoa tuhuma mbalimbali za kutishiwa kuuawa....

READ MORE

Dk Bashiru Aanika Hatima ya Kinana , Makamba na Membe CCM – Video

RIPOTI kuhusu tuhuma zinazowakabili makatibu wakuu wastaafu wawili (Adbulrahman Kinana na Yusuph Makamba) akiwemo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje,...

READ MORE

Prof Lumumba Akutana na Magufuli “Tutachinjwa” – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 24 Februari, 2020 amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Madiwani 11 wa Chadema Mbeya na Meya Wao Watimkia CCM

Madiwani 11 wa Chadema Halmashauri ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu...

READ MORE

Breaking: Hatimaye Erick Kabendera Aachiwa Huru

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imemwachia huru Mwandishi wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera na kuamuru...

READ MORE

National Public Speaking Competition, Mchujo wa Pili Vipaji Kama Vyote

SHINDANO la National Public Speaking Competition limeendelea kupasua anga baada ya jana Jumapili kukamilisha hatua ya mchujo wa pili kwa...

READ MORE

Eliuter Mpepo: Yupo Msumbiji, Akili Ipo Ureno

ELIUTER Mpepo ni mmoja wa washambuliaji wazawa wanaofanya vizuri nje ya nchi, anakipiga kwa mkopo katika timu ya CD Costa...

READ MORE

Hatima ya Ubunge wa Tundu Lissu

MAHAKAMA Kuu kesho itaanza kusikiliza maombi ya aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kumruhusu kwenda Mahakama ya Rufani kupinga...

READ MORE

Halima Mdee Agoma Kumpa Mkono Dkt. Mashinji – Video

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dkt Vincent Mashinji, amefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo...

READ MORE