Maharusi nchini Ufilipino wamelazimika kuvaa barakao (mask) wakati wa sherehe ya ndoa yao kutokana na hofu ya kusambaa kwa virusi...
READ MOREKili Canvas iliyozinduliwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro Premium Lager hivi karibuni jijini Dar...
READ MOREShirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), na Taasisi ya Utafiti wa Viuatilifu Ukanda wa Tropiki (TPRI) zimeingia makubaliano ya...
READ MOREALIYEWAHI kuwa Katibu Mwenezi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Simbeye, ametangaza kuachana na...
READ MOREWanamgambo katika Ukanda wa Gaza wameendeleza mashambulizi kusini mwa Israel kwa makombora ya roketi yaliyopenya katika mfumo wa ulinzi wa...
READ MOREAlgeria imethibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona, ambapo mgonjwa ni raia wa Italia aliyewasili nchini humo Februari 17....
READ MOREShirikisho la filamu Tanzania limekabidhi rasimu mpya ya katiba kwa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) ambayo itakwenda kumaliza changamoto mbalimbali...
READ MORERAIS John Magufuli na mkewe, Janeth Magufuli, leo Februari 26, 2020, wameshiriki Misa ya Jumatano ya Majivu iliyofanyika katika Kanisa...
READ MOREHAWA JUMA (35) mkazi wa Kijiji cha Isikizya, Wilayani Uyui, ameuawa alipokuwa amelala kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali...
READ MOREMAHAKAMA ya Wilaya ya Njombe imemhukumu mwalimu Focus Mbilinyi aliyekuwa akifundisha shule ya msingi Madeke kifungo cha miaka mitatu jela ...
READ MOREMCHUNGAJI Florence Lanyero, wa kanisa la Rest Arena lilipo Gulu, Uganda, amekamatwa nyumbani kwake Februari 23, 2020, kwa kumiliki sare...
READ MORE Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Dkt.Anna Mghwira amebaini upotevu wa shilling mil.300 katika ujenzi wa hospital ya wilaya ya...
READ MOREWAZIRI wa Kilimo nchini Uganda, Peter Munya, ameagiza kufungwa kwa machinjio yote ya punda nchini humo na akawataka wamiliki kuchinja...
READ MORENAIBU Waziri wa Afya nchini Iran, Iraj Harirchi, ambaye amekuwa mstari wa mbele nchini humo katika kupambana na Corona Virus...
READ MOREJUZI Jumatatu, Feb. 24, 2020, mida ya saa 6 mchana, Kamishna Mkuu wa TRA, Dkt. Edwin Mhede, akiwa ofisini kwake ...
READ MOREWANAFUNZI wa kike 47 katika shule mbalimbali za sekondari wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wameachishwa masomo kwa kupata ujauzito kipindi cha...
READ MOREKAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imepata Tuzo ya kimataifa ya Kizibo Cha Dhahabu (IGCA) inayomaanisha Ubora wa Kimataifa kutokana na...
READ MOREYANGA imetoka sare ya 0-0 dhidi ya Coastal Union na kuandika sare yake ya nane kati ya mechi 22 za...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa amesema bado nia yake ya kukutana na Watengenezaji wa pombe aina ya gongo...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema kuwa hana mashaka na kuwa Rais Magufuli ataendelea kushikilia nafasi...
READ MORERAIS wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, amefariki dunia hospitalini jijini Cairo akiwa na miaka 91. Mubarak alidumu madarakani kwa...
READ MORETAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUKAMATWA WATUHUMIWA WANNE WA WIZI WA MABILIONI YA BENKI YA NBC JIJINI DSM Jeshi la...
READ MOREMUHWEZI BENSON na Akankwasa Sophie wamedai fidia ya Tsh milioni 376 kwa kanisa la ‘Church of Uganda’ baada ya kufuta...
READ MOREVANESSA BRYANT ameishtaki Kampuni ya Island Express na rubani wa helikopta iliyopata ajali na kusababisha kifo cha mumewe, bintiye na...
READ MOREMbunge Viti Maalum Mkoa wa Katavi (CHADEMA) ambaye pia ndio Mwenyekiti wa Chama mkoani hapo, Rhoda Kunchela anashikiliwa na...
READ MORELICHA ya kuanza na mastaa wazawa sita ambao wanaweza kukipiga kwenye viwanja vya mkoani bado haikuwa msaada kwa Yanga jana...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam kushikamana na kufanya...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Machi 10, 2020 kutoa hukumu ya kesi ya uchochezi dhudi ya viongozi nane wa...
READ MORETukiwa katika mwanzo wa muhula wa kwanza wa masomo, kampuni ya simu za mkononi ya TECNO, imetoa msaada wa vitu...
READ MOREZOLA kuzawadia vifaa vya umeme wanafunzi watakaofanya vizuri katika mitihani yao wilayani Kisarawe Kampuni ya kuzalisha vifaa vya umeme wa...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imemuhukumu Mwandishi wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera kulipa faini na...
READ MOREJESHI la Polisi mkoani Dodoma limemuita kwa mahojiano mwanaharakati huru Cyprian Musiba baada ya kutoa tuhuma mbalimbali za kutishiwa kuuawa....
READ MORERIPOTI kuhusu tuhuma zinazowakabili makatibu wakuu wastaafu wawili (Adbulrahman Kinana na Yusuph Makamba) akiwemo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje,...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 24 Februari, 2020 amekutana na kufanya mazungumzo...
READ MOREMadiwani 11 wa Chadema Halmashauri ya Jiji la Mbeya akiwemo Meya wa Jiji hilo wamejiuzulu na kuhamia CCM leo Jumatatu...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam imemwachia huru Mwandishi wa Habari za uchunguzi Erick Kabendera na kuamuru...
READ MORESHINDANO la National Public Speaking Competition limeendelea kupasua anga baada ya jana Jumapili kukamilisha hatua ya mchujo wa pili kwa...
READ MOREELIUTER Mpepo ni mmoja wa washambuliaji wazawa wanaofanya vizuri nje ya nchi, anakipiga kwa mkopo katika timu ya CD Costa...
READ MOREMAHAKAMA Kuu kesho itaanza kusikiliza maombi ya aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kumruhusu kwenda Mahakama ya Rufani kupinga...
READ MOREALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Dkt Vincent Mashinji, amefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo...
READ MORE