The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Makonda

Makonda Kusakwa

MWANAHABARI mkongwe nchini Tanzania, Saed Kubenea, anakusudia kuiomba Mahakama ya Kinondoni, itoe wito mpya kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ili ahudhurie katika kesi aliyoifungua dhidi yake na Serikali. …

Makonda: Sio Lazima Kuteuliwa

ALIYEKUWA mkuu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kwa sasa sio lazima ateuliwe au apigiwe kura kuwa kiongozi, anaweza kuongoza hata familia yake. Ameyasema hayo jana Jumanne Aprili 20, 2021…

Vijana Hawa Watapata Tabu

MCHAKATO wa uteuzi wa wagombea ubunge ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), umefikia tamati Agosti 20 mwaka huu kwa kushuhudia baadhi ya sura mpya za vijana zikichanua, huku wimbi kubwa la wengine machachari wa chama hicho, wakipewa…