The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

TRA

Shigella Awasimamisha Kazi Watumishi TRA,TBS

MKUU wa mkoa wa Tanga, Martine Shigella, amewasimamisha kazi maofisa wanane wa taasisi tatu tofauti, ikiwemo TRA, TBS na idara ya mifugo katika kituo cha forodha kilichopo mpaka wa Horohoro kwa madai ya kujihusisha na rushwa  na…

Watumishi Wasio na TIN Namba Hatarini Kukosa Mshahara

MKURUGENZI wa Elimu kwa Mlipa Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Richard Kayombo, amesema serikali imetangaza kuwa mfanyakazi ambaye hatawasilisha namba ya mlipa kodi (TIN number) hadi Desemba 31, mwaka huu hatalipwa mshahara wa…