The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

Vifo

Waliokufa Unyagoni Waongezeka

MTU mmoja miongoni mwa majeruhi wanane waliolazwa katika Hospitali ya Ndanda kwa ajali ya gari waliokuwa kwenye ngoma ya unyago mkoani Mtwara, amefariki dunia na kufanya idadi ya waliopoteza maisha kufikia 15. Ajali hiyo…

Ajali ya Treni Yaua Watu 11

Watu 11 wamefariki dunia na wengine 98 wamejeruhiwa katika ajali ya treni iliyotokea karibu na mji mkuu wa Misri, Cairo.   Mamlaka ya Reli nchini Misri imesema kuwa, treni hiyo iliyokuwa na mabehewa manne ilikuwa ikisafiri…

Vifo vya Vigogo Vyatikisa

DAR: Licha ya kwamba kila mwanadamu ataonja umauti kama maandiko ya vitabu vya dini yanavyoeleza, katika kipindi cha mwaka 2019 na kuanzia Januari hadi Mei mwaka huu, idadi kubwa ya vifo vya watu maarufu wa kada mbalimbali imeshika kasi…