Eymael Ampa Morrison Majukumu Mapya Yanga
LICHA ya kuwa mzuri katika kusaidia kupika mabao, Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amempa majukumu mapya winga wake Mghana, Bernard Morrison kuhakikisha kuwa anahusika katika ufungaji kutokana na kikosi hicho kutokuwa na umaliziaji…