Jack Pemba: Sasa Hivi Nina Utajiri wa Ukweli, Nakuja Tanzania
MFANYABIASHARA maarufu Afrika Mashariki, Jackson Kim Pemba ‘Jack Pemba’ ambaye kwa sasa yupo nchini Uganda, amefungukia ishu iliyomkimbiza nchini Tanzania na kuamua kwenda kuwekeza biashara zake huko na kujikita kwenye nyanja za michezo…