Yanga kutangazwa Mabingwa wa Ligi Kuu kwa mara ya 30 Wakiwafunga Mtibwa Leo
Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Mei 13, 2024 huku macho na masikio yakielekezwa katika dimba la Manungu Complex, Turiani Morogoro ambapo Wananchi wanatarajiwa kutangazwa kuwa Mabingwa wa Ligi Kuu kwa mara ya 30…