The House of Favourite Newspapers

Uwoya: Niko Sawa na Tessy!

Malkia wa Bongo Movies, Irene Uwoya, ameweka wazi kuwa yuko sawa na aliyekuwa hasimu wake mkubwa, Tessy Abdul ‘Tessy Chocolate’. Akizungumza na IJUMAA WIKIENDA juu ya ishu ya kupatana na Tessy, Uwoya amesema kuwa, yeye na…

Shilole Ayapa Kisogo Mapenzi!

Msanii na mmiliki wa Shishi Food anayefanya poa kwenye miondoko ya mduara Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefunguka kuwa, kwa sasa ameyapa kisogo mapenzi na badala yake, yuko bize na kazi ili heshima yake isitetereke. Katika…

Magari ya Mondi Yazua Jambo

WANANZENGO sio watu wazuri! Wakati ikiaminika ‘yadi’ ya msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ au Mondi imesheheni magari mengi ya kifahari, watu wamemzulia jambo kwamba, eti kuna siri nyuma ya pazia kuhusu kuyamiliki.…

ACT Wazalendo Waja na Vipaumbele 10

Chama cha ACT-Wazalendo leo Agosti 31, 2020 kimezindua Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu 2020 ikiwa na vipaumbele 10 vyenye majibu ya changamoto mbalimbali za Watanzania. Chama hicho kimezindua ilani hiyo itakayowawezesha wagombea urais,…