×

Global TV Online

Siri Nzito Arusha: Wasichana Wawili Wapotea Kwa Zaidi ya Mwaka – Video

Wasiwasi umeendelea kuongezeka kufuatia kupotea kwa wasichana wawili wa jijini Arusha, Karen Mark Didas (23) na Nakivona Toroka (22), ambao...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mapokezi ya Kihistoria Kumkaribisha Rais Ruto Ikulu (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempokea mgeni wake rasmi, Rais wa Jamhuri ya Kenya, William...

READ MORE

Trump Azindua “Project Freedom” Kusaidia Meli Hormuz, Iran Yapinga Vikali – Video

Mwanasiasa mkuu wa Iran, Ebrahim Azizi, ameonya kuwa iwapo Marekani itaingilia mfumo mpya wa usimamizi wa baharini katika Mlango wa...

READ MORE

Polisi Wachunguza Kifo cha Mtu Aliyekutwa Bila Kichwa Mto Msimbazi – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa kifo cha mtu ambaye mwili wake ulikutwa ukielea...

READ MORE

Rais Samia Aeleza Mafanikio ya Ushirikiano na Rwanda Baada ya Mazungumzo na Kagame (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na...

READ MORE

Trump Atangaza Kumalizika kwa Vita na Iran Bungeni Marekani – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza mbele ya Bunge la Marekani kuwa vita na Iran ‘vimekwisha’, huku akisisitiza kuwa hana...

READ MORE

Video: Waziri Mkuu Atoa Onyo Kali kwa Watendaji wa Sekta ya Ardhi Nchini

Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kali kwa watendaji wa sekta ya ardhi nchini, akiwataka kuacha mara moja tabia...

READ MORE

Polisi Dar Yamkamata Mtu kwa Kusambaza Taarifa za Uongo Mtandaoni – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Aprili 30, 2026, limemkamata mkazi wa Salasala, Kinondoni, Mocine Julius maarufu...

READ MORE

Marekani Kuondoa Wanajeshi 5,000 Ujerumani Baada ya Mvutano Kansela Merz – Video

Serikali ya Marekani imetangaza mpango wa kuondoa takribani wanajeshi 5,000 walioko nchini Ujerumani, hatua ambayo inatajwa kuibua mjadala mpya kuhusu...

READ MORE

Viongozi Wakuu Iran Wagawanyika Kuhusu Hatma ya Waziri wa Mambo ya Nje – Video

Mvutano wa kisiasa umeibuka ndani ya serikali ya Iran, ambapo Rais Masoud Pezeshkian na Spika wa Bunge Mohammad Bagher Ghalibaf...

READ MORE

Shigongo Aibua Maswali Vifurushi vya Internet na Simu Vinavyoisha Bila Kutumika – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amehoji hatma ya vifurushi vya huduma za mawasiliano ambavyo havijatumika, akiuliza vinaelekea wapi baada ya...

READ MORE

Mahakama Yakataa Ombi la Lissu Kuunganishwa Kesi ya Mgawanyo wa Mali – Video

Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Mwenyekiti wa Tundu Lissu ya kutaka kuunganishwa katika...

READ MORE

Wabunge wa Marekani Wambana Waziri wa Ulinzi Kuhusu Vita dhidi ya Iran na Bajeti ya Jeshi – Video

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, anatarajiwa kukabiliwa na siku ya pili ya maswali makali kutoka kwa wabunge, hasa...

READ MORE

Simba Yachekelea Ubingwa wa Muungano Cup 2026 – Video

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amesema kuwa kuna raha kubwa kupata ubingwa kwa kumfunga...

READ MORE

Aliyemuua Mpenzi Wake Kwa Kumkataka Vipande Ahukumiwa Kunyongwa – Video

MAHAKAMA Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imemuhukumu kunyongwa hadi kufa ‘Death by hanging’ Abdalah Mussa maarufu Mr. bluu,...

READ MORE

Anayedaiwa Kumuua Athumani Nyanza Na Kumfukia, Afikishwa Mahakamani – Video

Mfanyabiashara mkazi wa Kigamboni, Rehema Maulid Hassan (42), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka moja la...

READ MORE

Anna Komu wa Chadema Afariki Hospitali ya Lumumba visiwani Zanzibar – Video

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepatwa na pigo kutokana na kifo cha Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa...

READ MORE

Video: Mfanyabiashara Mjane Apoteza Milioni 40 kwa Kutapeliwa kwa Simu

Mfanyabiashara mjane, Fatuma Nassoro, mkazi wa Kaliua mkoani Tabora, amepoteza zaidi ya shilingi milioni 40 baada ya kutapeliwa kwa njia...

READ MORE

Jaji Chande: Tume Haikutegemea Ushahidi Kutoka Kwa Polisi – Video

Mwenyekiti wa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025,...

READ MORE

Watu 37 Wakamatwa Kwa Vitisho na Lugha Chafu Mtandaoni – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watu 37 kwa tuhuma za kujihusisha na makosa ya kimtandao, ikiwemo...

READ MORE

Simulizi ya Uchungu: Neema Anderson Atoroka Oman Kupitia Dirishani – Video

Mtanzania Neema Anderson aliyetoroka kupitia dirishani kwenye ghorofa ya pili nchini Oman amerejea nchini Tanzania na kuzungumza mengi na Global...

READ MORE

Video: Trump Aondolewa Ghafla Baada ya Milio ya Risasi Kusikika Washington

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameondolewa kwa haraka na maafisa wa Secret Service baada ya milio ya risasi kusikika wakati...

READ MORE

ACT Wazalendo na CHADEMA Wakutana, Wasisitiza Mshikamano wa Kisiasa

Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu, amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ndugu John...

READ MORE

Unahitaji Kushinda Kwa Haraka?. Cheza Stock Trade Leo

Ushindi wa haraka na papo kwa hapo upo kwenye Stock Trade kule Meridianbet siku ya leo. Hii ni burudani ambayo...

READ MORE

Video: Saba Wakamatwa kwa Tuhuma za Mauaji ya ‘Mungu Kuniyaa’ Mbarali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa saba kwa tuhuma za kumuua Mungu Kuniyaa Mamboleo (38), mkazi wa Ihanga...

READ MORE

Mfahamu Msemaji wa Jeshi la Iran Anayetikisa Mashariki ya Kati – Video

  Katika kipindi cha hivi karibuni cha mvutano wa kisiasa na kijeshi Mashariki ya Kati, jina la Ebrahim Zolfaghari limekuwa...

READ MORE

Video: Mfanyabiashara Akamatwa kwa Kuchimba Mahandaki Sita Bila Kibali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Evance Ndeka Bisesagu (47), mfanyabiashara na mkazi wa Bupumula, Kata ya Nyamhongolo, Wilaya...

READ MORE

Upendo Nkone Azawadiwa Gari na Mashabiki Wake Jijini Dar – Video

Msanii nyota wa muziki wa injili Upendo Nkone amepokea zawadi ya gari kutoka kwa mashabiki wake, katika hafla maalum iliyofanyika...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ripoti Ya Tume Ya Kuchunguza Matukio Ya Uvunjifu Wa Amani – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kuchunguza...

READ MORE

Tume Yafichua: Vijana Walirubuniwa kwa Fedha Kushiriki Maandamano, Milioni 5 Yatajwa – Video

Tume ya uchunguzi iliyoundwa kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...

READ MORE

Jaji Chande: Wanasiasa, Wanaharakati Walichochea Ghasia Oktoba 29 – Video

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu Amani Oktoba, 2025 imesema baadhi ya wanasiasa na wanaharakati walitumia changamoto za wananchi...

READ MORE

Tume Yafichua: Picha za AI Zilitumika Kupotosha Matukio ya Oktoba 29 – Video

Tume ya uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 imebaini matumizi...

READ MORE

Video ya CCTV Ikimuonesha Bodaboda Aliyeiba Mtoto Mwanza, Apatikana Akiwa Hai

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limefanikiwa kumpata mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitatu na miezi kumi aliyeripotiwa...

READ MORE

Amani Golugwa: Mazungumzo Yawe ya Kweli na Yenye Tija – Video

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Amani Golugwa, amesema chama hicho kinaamini katika mazungumzo kama njia...

READ MORE

Samia Awapa Nguvu Mama na Baba Lishe, Asema Wanastahili Heshima Kubwa (Picha +Video)

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesisitiza umuhimu wa kutambua na kuheshimu mchango wa Mama Lishe na Baba Lishe katika...

READ MORE

Spika Zungu Amuonya Mbunge Ado Shaibu

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mussa Zungu amemuonya Mbunge wa Tunduru Kaskazini Ado Shaibu Ado kwa...

READ MORE

Jesca Magufuli: Bila Misingi Imara, Mikopo Haitasaidia Vijana – Video

Mbunge wa Viti Maalum, Jesca Magufuli, ametoa mchango wake bungeni jijini Dodoma akizungumzia masuala ya vijana, ambapo amepongeza jitihada za...

READ MORE

Rangi Gallery Yaitangaza Tanzania Kimataifa Kupitia Sanaa

Jumba la sanaa la Rangi Gallery limeweka historia kwa kuwa la kwanza kutoka Tanzania kushiriki katika maonesho ya kimataifa ya...

READ MORE

Polisi Yamkaribisha Kamishna Mkama kwa Ushindi

Kikosi cha Polisi Tanzania kimeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Transit Camp ya Dar es Salaam katika mchezo...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Akagua Maendeleo Ujenzi wa Uwanja wa Mpira wa Miguu, Arusha

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba leo Aprili 17, 2026 amekagua maendeleo ya ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu unaojengwa mkoani...

READ MORE