×

Global TV Online

Filamu ya #NotiFeki Yatoa Tahadhari kwa Mawakala wa Miamala – Video

 Wafanyabiashara wa huduma za miamala ya simu nchini, maarufu kama mawakala, wameendelea kuwa miongoni mwa waathirika wakubwa wa matukio...

READ MORE

Mbunge Shigongo Aibua Kilio cha Wananchi Wanaoshambuliwa na Mamba – Video

Mbunge wa Buchosa Eric Shigongo ameibua tena bungeni changamoto ya wananchi wa jimbo lake kushambuliwa na mamba wanapokuwa wakifanya shughuli...

READ MORE

Video: Mjumbe, Majirani wa Mganga Wafunguka Kupatikana Kichwa cha Marehemu James Temba Kitunda

Global TV imefika eneo la Kitunda Kibeberu, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, ambako kichwa cha marehemu James Temba...

READ MORE

Video: Fahamu Ushahidi Uliomtia Hatiani ‘Mr Blue’ Na Kuhukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Ezenia (Part 1&2)

Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa Abdalah Mussa maarufu Mr. Bluu, baada ya kupatikana...

READ MORE

AFCON 2027: Sasa Ni Kasi Tu! RC Chalamila Atoa Maelekezo Mazito Kinondoni – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amefanya ziara ya kutembelea ujenzi wa viwanja vya farasi na leaders...

READ MORE

Video: Simanzi Yatanda Baada ya Mwili wa Mollel Kukutwa Muriet, Arusha

Simanzi imetanda katika familia ya mfanyabiashara Sifaeli Mollel baada ya mwili wake kukutwa ukiwa umeharibika ndani ya nyumba inayodaiwa kutumiwa...

READ MORE

Polisi Wamkamata Mganga Baada ya Kupatikana Kichwa cha James Temba – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kupatikana kwa kichwa cha marehemu James Temba, mwanafunzi wa Chuo...

READ MORE

Kichwa cha Marehemu James Temba Chapatikana Kitunda Kibeberu Ilala, Dar – Video

Kichwa cha marehemu James Temba ambaye alifariki kwa mazingira ya kutatanisha na kukuza simanzi kwa familia na jamii, kimepatikana siku...

READ MORE

Rais Samia Ahudhuria Sherehe za Kuapishwa kwa Museveni Uganda (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan, ameshiriki sherehe za uapisho wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, uliofanyika leo, Mei 12, 2026 jijini...

READ MORE

Mbunge wa Buchosa Apongeza Maendeleo ya Huduma za Afya Nchini – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameipongeza Serikali akisema kuwa sekta ya afya nchini imepiga hatua kubwa tangu Tanzania ipate uhuru....

READ MORE

TLS Yataka Ufafanuzi wa Kisheria Kuhusu Agizo la Polisi 2025 – Video

Tanganyika Law Society (TLS) imesema moja ya mambo ambayo Watanzania walitarajia kupata ufafanuzi katika ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa...

READ MORE

Watu Wawili Wafariki, 12 Wajeruhiwa Ajali ya Basi Iringa – Video

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 13 kujeruhiwa, wakiwemo raia wanane wa Zimbabwe na raia wanne wa Zambia, kufuatia ajali...

READ MORE

A – Z: Biashara Ya Mafuta Ya Magendo Inavyofanyika Tanzania, Bandari Bubu Hatari Zatajwa – Video

Uchunguzi uliofanywa na Global TV kupitia makala yake maalum umeweka wazi ukweli unaoshtua kuhusu biashara ya mafuta ya kula ya...

READ MORE

DStv Yazindua Kampeni Kubwa ya Kombe la Dunia 2026 Tanzania – Video

KAMPUNI ya MultiChoice Tanzania kupitia huduma yake ya DStv leo Mei 11, 2026 imezindua rasmi kampeni maalum kuelekea mashindano ya...

READ MORE

Rais Samia Atembelea Gereza la Ukonga, Akutana na Wafungwa (Picha + Video)

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Mei 9, 2026 ametembelea Gereza la Ukonga lililopo...

READ MORE

Godbless Lema: Maridhiano ya Kweli Si Kumtoa Tundu Lissu Gerezani Pekee – Video

Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema amesema kuwa maridhiano...

READ MORE

Boniface Jacob: Chadema Ndicho Chama Kinachobeba Kilio cha Watanzania – Video

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Boniface Jacob ‘Boni Yai’, amesema kuwa uwepo wa Chadema ni muhimu katika kuhakikisha wananchi...

READ MORE

Wahukumiwa Kwenda Jela Kwa Kuuza Chipsi na Baga Bila Kutoa Risiti za EFD – Video

Raia wa China Xu Fuyu mwenye umri wa miaka 39 na mfanyakazi wake wa mgahawa wa Kibonge uliopo Kariakoo Dar...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Kikao cha CCM Shina Namba 1 Chamwino – Video

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni...

READ MORE

Iran na Marekani Zarushiana Makombora Hormuz, Trump Afunguka Mapya – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump leo Mei 8, 2026 amesema kuwa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Marekani na Iran...

READ MORE

Mwili wa James Temba Wasili Moshi kwa Maziko Baada ya Mauaji ya Kikatili – Video

Mwili wa marehemu James Temba umefika leo Alhamisi Mei 7, 2026 katika Kijiji cha Mande, Kata ya Old Moshi Magharibi,...

READ MORE

Albert Chalamila Amaliza Mgogoro wa Nyumba Mikocheni, Amtaka Bi Everlin Chiomba Kuondoka – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amehitimisha mgogoro wa nyumba uliopo eneo la Mikocheni, kiwanja namba 317...

READ MORE

Polisi Arusha Waanza Uchunguzi wa Kupotea kwa Wasichana Wawili

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linaendelea kufanya uchunguzi wa kina ikiwa ni pamoja na kuwahoji watu mbalimbali kuhusiana...

READ MORE

Polisi Wakamata Watuhumiwa 4 Mauaji ya Mwanafunzi wa IFM Aliyekatwa Kichwa – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa tukio la mauaji ya kikatili ya mwanafunzi...

READ MORE

Trump Asitisha “Project Freedom” Katika Mlango Bahari wa Hormuz, Atoa Nafasi ya Mazungumzo – Video

Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kusitisha operesheni ya kijeshi ya Marekani ya kusindikiza meli katika Mlango Bahari wa Hormuz,...

READ MORE

Mwili wa James Temba Kusafirishwa Kwenda Moshi kwa Mazishi – Video

 Baba wa kijana James Temba ambaye inadaiwa aliuawa kisha mwili wake kukatwa kichwa, amesema mwili wa marehemu mwanaye utasafirishwa...

READ MORE

Hotuba ya Ruto Yazua Gumzo: Atoa Ujumbe Mzito kwa Watanzania na Wakenya – Video

Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa wananchi wa Kenya na Tanzania si maadui, bali wanakabiliwa na changamoto zinazofanana ambazo...

READ MORE

Siri Nzito Arusha: Wasichana Wawili Wapotea Kwa Zaidi ya Mwaka – Video

Wasiwasi umeendelea kuongezeka kufuatia kupotea kwa wasichana wawili wa jijini Arusha, Karen Mark Didas (23) na Nakivona Toroka (22), ambao...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mapokezi ya Kihistoria Kumkaribisha Rais Ruto Ikulu (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempokea mgeni wake rasmi, Rais wa Jamhuri ya Kenya, William...

READ MORE

Trump Azindua “Project Freedom” Kusaidia Meli Hormuz, Iran Yapinga Vikali – Video

Mwanasiasa mkuu wa Iran, Ebrahim Azizi, ameonya kuwa iwapo Marekani itaingilia mfumo mpya wa usimamizi wa baharini katika Mlango wa...

READ MORE

Polisi Wachunguza Kifo cha Mtu Aliyekutwa Bila Kichwa Mto Msimbazi – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam linaendelea na uchunguzi wa kifo cha mtu ambaye mwili wake ulikutwa ukielea...

READ MORE

Rais Samia Aeleza Mafanikio ya Ushirikiano na Rwanda Baada ya Mazungumzo na Kagame (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ushirikiano wa kiuchumi kati ya Tanzania na...

READ MORE

Trump Atangaza Kumalizika kwa Vita na Iran Bungeni Marekani – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza mbele ya Bunge la Marekani kuwa vita na Iran ‘vimekwisha’, huku akisisitiza kuwa hana...

READ MORE

Video: Waziri Mkuu Atoa Onyo Kali kwa Watendaji wa Sekta ya Ardhi Nchini

Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kali kwa watendaji wa sekta ya ardhi nchini, akiwataka kuacha mara moja tabia...

READ MORE

Polisi Dar Yamkamata Mtu kwa Kusambaza Taarifa za Uongo Mtandaoni – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Aprili 30, 2026, limemkamata mkazi wa Salasala, Kinondoni, Mocine Julius maarufu...

READ MORE

Marekani Kuondoa Wanajeshi 5,000 Ujerumani Baada ya Mvutano Kansela Merz – Video

Serikali ya Marekani imetangaza mpango wa kuondoa takribani wanajeshi 5,000 walioko nchini Ujerumani, hatua ambayo inatajwa kuibua mjadala mpya kuhusu...

READ MORE

Viongozi Wakuu Iran Wagawanyika Kuhusu Hatma ya Waziri wa Mambo ya Nje – Video

Mvutano wa kisiasa umeibuka ndani ya serikali ya Iran, ambapo Rais Masoud Pezeshkian na Spika wa Bunge Mohammad Bagher Ghalibaf...

READ MORE

Shigongo Aibua Maswali Vifurushi vya Internet na Simu Vinavyoisha Bila Kutumika – Video

Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo amehoji hatma ya vifurushi vya huduma za mawasiliano ambavyo havijatumika, akiuliza vinaelekea wapi baada ya...

READ MORE

Mahakama Yakataa Ombi la Lissu Kuunganishwa Kesi ya Mgawanyo wa Mali – Video

Mahakama Kuu, Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi ya Mwenyekiti wa Tundu Lissu ya kutaka kuunganishwa katika...

READ MORE

Wabunge wa Marekani Wambana Waziri wa Ulinzi Kuhusu Vita dhidi ya Iran na Bajeti ya Jeshi – Video

Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Pete Hegseth, anatarajiwa kukabiliwa na siku ya pili ya maswali makali kutoka kwa wabunge, hasa...

READ MORE