×

Habari

Mashindano Ya Kuran Yaahirishwa jijini Dar

Kamati ya maandalizi ya mashindano maalum ya kusoma kuran Afrika yaliyotakiwa kufanyika jijini Dar Mei 10 mwaka huu imeyasitisha mashindano...

READ MORE

Mazishi ya Mzee wa Miaka 100 Aliyejengea Shule Watoto Wake – Video

MWILI wa marehemu Mzee Meshuko Ole Mapi, almaarufu Mzee Laibon, mkazi wa wilayani Monduli mkoani Arusha aliyekuwa na umri zaidi...

READ MORE

WHO Lamshutumu Trump Kulinyima Fedha

MKUU wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus, ameshutumu uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump wa kutopeleka...

READ MORE

Kenya: Wananchi Watishia Kutoka Karantini

MAKUMI ya watu waliokuwa katika karantini ya lazima nchini Kenya wamefanya mgomo na kutishia kutoroka katika kituo hicho katika mji...

READ MORE

Mwanza: Mahabusu 2, Mfungwa Wauawa Wakitoroka – Video

MAHABUSU wawili  na mfungwa mmoja wamefariki dunia wakati wakijaribu kutoroka katika gereza kuu la Butimba jijini Mwanza walipokuwa wakishikiliwa kwa...

READ MORE

Trump Kusitisha Fedha WHO, China na Ujerumani Zanena

 CHINAimeitaka Marekani kutotelekeleza jukumu lake kwa shirika la afya duniani (WHO) baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump, kusitisha...

READ MORE

Majaliwa: Marufuku Sunday Schools, Madrasa – Video

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema kuna taarifa kuwa baada ya masomo kusitishwa kwa sababu ya Covid 19 watoto...

READ MORE

Watanzania Wahimizwa Kushirikiana na Wasaidizi wa Sheria

Jamii imehimizwa kushirikiana kwa karibu na wasaidizi wa kisheria chini ili kuwalinda wasichana na ndoa za utotoni ambazo huchochea umaskini,...

READ MORE

Baba Mbaroni kwa Akidaiwa Kubaka Watoto Wake Wawili Mapacha – Video

JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya limashikilia mkazi wa mtaa wa Rebu Shuleni, mjini Tarime mkoani Mara, Marwa Mwita...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Wafikia 88 Tanzania

Wizara ya Afya imethibitisha uwepo wa wagonjwa wapya 29 wa COVID-19 nchini. Hadi sasa Tanzania idadi ya Wagonjwa imefikia 88...

READ MORE

Vifo vya Watu 3, Simbachawene Amtia Mhandisi Ndani – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene ameliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumtia ndani Mhandisi wa Kampuni...

READ MORE

IGP: Ukimamatwa Hujavaa Barakoa, Jela Miezi 6

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, IGP Hilary Mutyambai amewaagiza polisi kumkamata mtu yoyote atakayeonekana mitaani bila kuwa na...

READ MORE

Basi la Kamwana’s Lateketea kwa Moto – Video

AJALI mbaya imetokea mapema leo Jumatano, Aprili 15, 2020, baada ya basi la abiria mali ya Kampuni ya Kamwana’s Express...

READ MORE

Tanzia: Mwandishi Nguli Ken Walibora Afariki Dunia

Mwandishi wa habari na mtunzi wa vitabu maarufu nchini Kenya, Profesa Ken Walibora amefariki dunia. Prof Walibora aligongwa na gari...

READ MORE

M-Bet kuzindua Stimulated Reality League (SRL)

M-Bet imezindua michezo ya kubashiri inayojulikana kama Simulated Reality League (SRL) , Kupitia kampuni ya SportRadar inayotoa huduma za teknolojia ya odds...

READ MORE

Bahati Nasibu ya Shinda Gari Yaendelea Kuwa Gumzo Mtaani

BAHATI nasibu inayoendelea kupitia  magazeti ya Championi na Spoti Xtra imeendelea kuwa kivutio kikubwa baada ya wasomaji wa maeneo ya...

READ MORE

Corona: Wagonjwa 6 Waongezeka Zanzibar, Mmoja Afariki

WIZARA  ya Afya Zanzibar imetangaza wagonjwa wapya sita wa virusi vya Corona na kufikisha idadi ya wagonjwa 18 kutoka 12...

READ MORE

Mama: Polisi Wameuwa Mwanangu!

WAKATI familia mbalimbali za Kikristo duniani zikisherehekea sikukuu ya kufufuka kwa Yesu Kristo, familia ya Subira Rashid (43), mkazi wa...

READ MORE

Baada ya Pasaka Betika Mwendo Mdundo Kuwafikia Wadau

MAPEMA leo Jumatano, Aprili 15, 2020, timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Temeke mwembeyanga na maeneo...

READ MORE

Rais JPM Awalilia 18 Waliofariki kwa Ajali Kibiti

RAIS John Magufuli ametuma salam za rambirambi kwa ndugu, jamaa na marafiki wa watu takribani 18 waliopoteza maisha katika ajali...

READ MORE

Breaking: Ajali Yaua 18 Kibiti Mkuranga

WATU 18 wamefariki na wengine 15 kujeruhiwa baada ya magari mawili kugongana katika kijiji cha Kilimahwewa Wilaya ya Mkuranga mkoani...

READ MORE

Rais Museveni Aongeza Siku Zingine 21 Karantini

RAIS Yoweri Museveni wa Uganda ametangaza siku nyingine 21 kuanzia kesho April 15 hadi April May 05,2020 za Watu kuendelea...

READ MORE

Corona: Wagonjwa Waongezeke? Mna Kikao na Mungu? – Mwigulu

MBUNGE wa Iramba (CCM), Dkt. Mwigulu Nchemba ameishauri serikali kuacha kutangaza visa vipya vya wagonjwa wanaogundulika kuwa #CoronaVirus, badala yake...

READ MORE

Maambukizi Corona Yafikia 53, JPM Asitisha Sherehe za Muungano

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya...

READ MORE

Ufaransa: Afrika Isamehewe Madeni Yote, Ikabiliane na Corona

Ufaransa na Ulaya wanatarajia kusaidia Afrika kupambana dhidi ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa “kuifutia kabisa madeni yake,” Rais wa...

READ MORE

Huku Corona! Sudan Kusini Yakumbwa na Homa ya Manjano

Shirika la Afya Dunia (WHO) limetangaza mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Manjano, Kusini mwa Sudan Kusini, katika eneo la...

READ MORE

Sakata la Ubaguzi, Mabalozi wa Afrika Wakutana na Serikali ya China

MABALOZI wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje China, Chen Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi...

READ MORE

PM Majaliwa Apokea Msaada wa Tsh 500M Kukabiliana na Corona

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea hundi ya mfano ya sh. milioni 500 kutoka kampuni ya Export Trading Group (ETG) zikiwa...

READ MORE

Uchaguzi Mkuu: Sanders Amkabidhi Rungu Biden Kumvaa Trump

Seneta wa jimbo la Vermont la Marekani, Bernie Sanders, Jumatatu alimuidhinisha aliyekuwa makamu wa rais Joe Biden kuwa mgombea wa...

READ MORE

Polisi Akutwa Kwenye Mtaro Akiwa Amefariki Dunia

POLISI katika kituo kidogo cha KIA Hai, Kilimanjaro, Sajent Juma Ango, anadaiwa kuuawa na watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa...

READ MORE

Marufuku ya Usafiri Kisa Corona, Mgonjwa Akiwahishwa Hospitali

MWANAMME mmoja akiwa anasukuma usafiri wa asili ili kumuwaisha hospitali mgonjwa katika Manispaa ya Arua, Uganda.   Mwanamke huyo mgonjwa...

READ MORE

#Corona: Uturuki Yapitisha Sheria Kuwaachia Wafungwa 100,00

BUNGE la nchi hiyo limepitisha sheria inayotoa kibali cha kuwaachia Wafungwa 100,000 kama mojawapo wa njia za kupambana na maambukizi...

READ MORE

Maelfu Waanza Kurejea Kazini Hispania

MAELFU ya watu nchini Hispania leo hii wameruhusiwa kurejea kazini, ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuibuka kwa mlipuko wa...

READ MORE

Wenye Corona Kenya Wafikia 208, Wamefariki 9

WATU wengine 11 wamegundulika kuwa na virusi vya Corona nchini Kenya na kufanya idadi ya maambukizo kufikia watu 208. Mtu...

READ MORE

Maiti 800 za Waliofariki kwa Corona na Kutelekezwa

Ecuador imesema polisi wameondoa karibu miili 800 katika wiki za karibuni kutoka katika makazi mjini Guayaquil, sehemu iliyoathiriwa kwa kiasi...

READ MORE

Ndugu wa Luis Aandaliwa Mkataba Yanga!

YANGA imethibitisha kuwepo katika mazungumzo ya mwisho na mshambuliaji wa UD Songo ya nchini Msumbiji, Jimmy Ukonde, atakayetua kuichezea timu...

READ MORE

Trump: Marekani Ichimbe Madini Mwezini, Rasilimali Zimekwisha Duniani

Rais wa Marekani, Donald Trump anataka Marekani kuanza kutafuta raslimali kwenye mwezi. Hivi karibuni rais huyo alisaini amri inayosema Marekani...

READ MORE

Corona: Serikali ya Zanzibar Yasitisha Mikutano na Wanahabari

Katika kujikinga dhidi ya virusi vya corona, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imetangaza kusitisha mikutano na waandishi wa habari na...

READ MORE

Matroni Aliyepiga Picha na Waziri Mkuu Afariki kwa Corona

MATRONI wa Hospitali moja nchini Uingereza ambaye ameonekana katika picha ya pamoja na Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Boris Johnson...

READ MORE

Mbaroni kwa Tuhuma za Mauaji ya Mwalimu

POLISI mkoani Dodoma inawashikilia watu watano kwa tuhuma za mauaji ya Mwalimu Eradius Lucas Mgaya wa Kijiji cha Chilungulu, Tarafa...

READ MORE