The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Category

Jamvi

Wangapi Wanataka Katiba Mpya?

  DESEMBA 31, 2010 aliyekuwa Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete alitangaza nia ya Serikali ya kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya. Pita huku nipite kule, mchakato wa kupata Katiba…

Mtazamo Kifungo cha Sabaya Jela

ALIPOAMBIWA ajitete; aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya aliiomba mahakama impunguzie adhabu kwa sababu yuko kwenye mipango ya kuoa na kwamba tayari ameshamtolea mahari mchumba wake. Hata hivyo, mahakama…

Mende Avuruga Hotuba ya Rais

WAKATI Kampeni za uchaguzi nchini Ufilipino zikikaribia kufika tamati na mgeni ambaye alikuwa hajaalikwa aliamua kumtembelea rais wa nchi hiyo pasi na kualikwa. Rais Rodrigo Duterte alikuwa katika harakati za…

Tuwatimue Wamachinga?

TANZANIA bado ina uchumi legelege, asilimia kubwa ya wananchi wake ni masikini. Ajira limekuwa jambo la bahati; kwa mwaka vijana wanaopata ajira ni 40,000 kati ya Milioni Moja wanaohitimu masomo kutosha shule na vyuo mbalimbali. …

Ukweli ni Upi Kuhusu Oscar Kambona?

Marehemu Oscar Kambona alizaliwa mwaka 1925 katika kijiji cha Kwambe kilichopo mwambao mwa ziwa Nyasa, karibu na Mbamba-bay, wilaya ya Mbinga, Mkoa wa Ruvuma. Alikuwa mtoto wa marehemu Rev. David Kambona na Bibi Miriam Kambona.…

Mtazamo wa Makamba Kuteuliwa Kuwa Waziri

MBUNGE wa Bumbuli kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), January Makamba ameteuliwa kuwa Waziri wa Nishati. Enzi za uongozi ya Hayati Rais John Magufuli, Makamba alionekana “mtukutu”, Fasta Julai 2019,…