Browsing Category
Makala
Hizi Hapa Mbinu Za Kukabiliana Na Maumivu Ya Mapenzi
KARIBU jamvini mdau. Ni Jumatatu nyingine tumekutana kupeana maujanja ya mapenzi na maisha kwa jumla. Unachopaswa kujua ni kwamba kila kitu kinastahili kulindwa na penzi lako linahitaji zaidi ya ulinzi. Hata kama unaona mambo ni…
Utamjuaje Mpenzi Ambaye Anakusaliti? Soma Hapa
USALITI ni jambo baya katika uhusiano. Usaliti si ujanja, japo wengi wanaowaza kusaliti huwa wanajiona wajanja. Wanajiona wamewini pale ambapo wanasaliti na wenzi wao kutogundua kama wanasalitiwa. Siku zote anayesaliti huwa…
Aina 10 Za Wanawake Wanaopendwa Na Wanaume
KARIBU jamvini mdau, ni siku nyingine tunakutana tena hapa kupeana elimu ya uhusiano wa kimapenzi na maisha kwa jumla. Nimekwishaeleza mara kadhaa kwamba wote tumezaliwa tukiwa safi kabisa. Mambo mengine hujitokeza huko katikati kadiri…
Ukisikiliza wanasema nini juu yako, huwezi kufanikiwa kamwe!
Ni wiki nyingine tulivu kabisa tunakutana kupitia safu hii nikiamini kwamba umzima na unaendelea kupambana kuhakikisha maisha yako yanakuwa mazuri.
Mimi namshukuru Mungu kwa kuwa amenipa afya njema na maarifa ambayo nayatumia katika…
Usimuache kwa udhaifu wake, utampata wapi mkamilifu?
WATU wengi ambao wana matatizo katika ndoa au uhusiano wao wa kimapenzi, wanapokuja kwangu kwa lengo la kutaka ushauri, huwa nina desturi ya kuwapa kwanza nafasi ya kujieleza kwa uhuru na uwazi tena katika mazingira tulivu. …
Kuna Wakati Penzi Linakufa Jiandae Kwa Maamuzi Magumu!
KUNA wakati unafika, moyo huwa unakinahi. Hautaki tena kusikia kitu kinachoitwa mapenzi, hicho ni kipindi ambacho kinasababisha maumivu makubwa kwa wapendanao.
Mapenzi ni hisia. Unapokuwa umempenda mtu, ukawa na malengo naye halafu…
Ukiwa Kwenye Ndoa, Mazoea Na Watu Wa Nje Ni Sumu Hatari
“MIMI nipo kwenye ndoa, huu ni mwaka wa tatu sasa. Tatizo lililonifanya niombe ushauri, mume wangu ana kawaida ya kuwa anachati na wafanyakazi wenzake wa jinsia ya kike kwenye simu yake, na wakati mwingine hata mbele yangu. “Nimegombana…
Jinsi Ya Kumpata Mwenza Katika Dunia Iliyojaa Wajeruhiwa
ULIMWENGU wa sasa, wapendanao wengi wanaishi kwa machale. Ni staili ile ya mguu pande, mguu sawa. Kwamba ukimzingua, anakuzingua. Mwaga mboga amwage ugali. Hataki kuona inakula kwake kama vijana wa sasa wanavyosema.
Kila mtu…
Suluhisho Kwa Wapenzi Wanaogombana Kila Mara, Soma Hapa
SIKU hizi ugomvi kwenye mahusiano imekuwa kama ni jambo la kawaida. Watu wanagombana kwelikweli. Utakuta mtu haipiti mwezi mmoja bila kugombana na mpenzi wake. Anampenda, hayupo tayari kumpoteza lakini maisha yao kila siku ni ugomvi.…
Ifahamu figo yako inavyoweza kuharibika
LEO tutakuelimisha kuhusu chanzo cha maradhi ya figo na tutakueleza dalili zake ili ufahamu jinsi ya kujikinga. Figo ni sehemu ya kiungo cha mwilini (ogani) inayoshirikiana na moyo, kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na…
Amekuvunja Moyo Wako Na Kukuacha Na Majonzi Soma Hapa
MAUMIVU katika mapenzi huwa hayazoeleki. Hata kama unajifanya wewe ni shujaa kiasi gani, inapotokea yule unayempendaye akakuumiza, akauvunja moyo wako, akaondoka na kwenda mbali na wewe, lazima utaumia sana!
Maumivu ya kimapenzi…
Mbinu Sahihi Kwa Anayetaka Kuolewa!
Maisha yanaenda kasi sana huku suala la ndoa likiwa ni kipaumbele cha kwanza na kigumu kwa wanawake. Matokeo yake wengi wamejikuta wakichanganyikiwa pindi tu wanapotangaziwa ndoa. Mwanamke akiambiwa ninakuoa, akili yote inamruka. Hana…
Njia Tano Za Kudumisha Uhusiano Kimapenzi
UKWELI ni kwamba mapenzi hayana njia moja ya kufuatwa lakini kuna vitu ambavyo vinajulikana kuchangia katika kuboresha uhusiano baina ya wapenzi. Mahusiano ya mapenzi yenye kudumu ni sharti yapandwe katika udongo wenye rutuba kama…
Fahamu Tatizo la Vidonda vya Tumbo kwa Mjamzito
MJAMZITO anaweza kupata vidonda vya tumbo kabla au baada ya ujauzito. Umakini unahitajika sana katika kumchunguza mama mjamzito ili kuelewa nini kitakuwa ndiyo chanzo cha vidonda vya tumbo kwake. Mwanamke ambaye ulikuwa unaumwa vidonda…
Tabia 5 Zinazokufanya Usikubalike Katika Jamii!
KUNA watu ambao wamejikuta hawakubaliki kwenye jamii zao. Jambo hilo ni baya na husababisha tatizo kubwa la kisaikolojia kwa mhusika. Hakuna mtu ambaye hapendi kukubalika, kupendwa na kushirikishwa kwa watu wanaomzunguka.
Bahati…
Utafiti Unaonesha Binadamu Anapoteza Siku 26 Kila Mwaka Kwa Kutofanya Lolote
JE umeshawahi kujiuliza kwa mwaka ni muda kiasi gani unaoupoteza kutokana na kutofanya chochote? Mathalani, mtu anakusubirisha tu sehemu halafu mwisho wa siku hatokei. kimsingi unakuwa umepoteza muda wako bure.
Matukio ya aina hiyo…
Kuna Wakati Mapenzi Yanafika Mwisho, Usilazimishe!
NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo nikiwa mzima wa afya. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu uko poa kabisa, karibu kwenye ukurasa huu tubadilishane mawazo na kujadili mambo mbalimbali…
Haolewi? Hujui Sababu? SOMA HAPA!
KUOLEWA au kutoolewa ni majaaliwa ya Mungu lakini zipo sababu ambazo zinaweza kumfanya mwanamke akawa anatanga na njia kila siku bila kupata mtu wa kumuoa. Kila mwanaume anashindwa kumuoa kutokana na mwenendo wa maisha yake.…
Ijue Hatari Ya Kumchunga Na Kumfuatilia Sana Mpenzi Wako
MPENZI msomaji wangu, kilio cha wengi walio kwenye uhusiano ni kuhisi wanasalitiwa na wapenzi wao waliotokea kuwaamini sana. Wapo ambao si tu kwamba wanahisi bali wanawafumania kila kukicha wapenzi wao licha ya imani waliyokuwa…
Hizi Hapa Siri za Wapendanao Kuishi Hadi Kuzeeka Pamoja!
Kuwakuta wapendanao wanaishi miaka nenda rudi kwa amani na furaha, si kazi ndogo. maisha ya uhusiano yana changamoto nyingi. mnaweza kuivuka hii, inakuja nyingine kali zaidi ambayo kimsingi mkizubaa tu inawasambaratisha. Ndiyo maana…
Mapenzi Huwa Yanafika Mwisho, Kubaliana Na Ukweli
NIANZE kwa kumshukuru Maulana kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo nikiwa mzima wa afya. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu uko poa kabisa, karibu kwenye ukurasa huu tubadilishane mawazo na kujadili mambo mbalimbali yanayohusu…
Hizi Hapa Sababu za Kwa Nini Mpenzi Wako Hakuonei Wivu?
MAPENZI yananoga wivu unapokuwa ndani yake. Ukitathimini kwa harakaharaka, unaweza kusema kama hakuna wivu, hakuna mapenzi. Inapotokea mpenzi wako, hata ufanye nini hakuonei wivu, bila shaka hata wewe utahisi kuna tatizo.
…
Usipojiangalia, haya yataivunja ndoa yako!
KILA kukicha napata ujumbe kutoka kwa wanandoa ambao hulalamika kuwa hawawaelewi wenza wao kwani wamebadilika lakini malalamiko mengi yanaelekezwa kwenye tabia hizi ambazo nitakueleza hapa na kama zinakuhusu, kabla ndoa yako…
WAOGOPE WANAWAKE WA AINA HII !
KATIKA kuangalia tabia za wanawake, ni vyema ukawa chonjo kwani ukiingia chaka wanaweza kuyafanya maisha yako ya uhusiano kuwa balaa. Labda saa hizi uko katika uhusiano wa muda mrefu na mpenzi wako au sasa hizi uko mbioni unatafuta,…
Unavyoweza Kutumia Simu Kuboresha Penzi
TUNAISHI katika dunia ya utandawazi ambapo sasa karibu kila mtu anamiliki simu, hata wale wenye uwezo wa chini kabisa. Ukijaribu kufuatilia, matatizo mengi yanayotokea katika uhusiano wa kimapenzi, yanachangiwa sana na hizi simu za…
Matumizi yako yanavyoweza kukukwamisha!
WAPO watu ambao kila siku wanalalamika maisha kwao ni magumu, kila kitu hakiendi n.k. Lakini pia kuna wale ambao ni mabingwa wa kulalamika kuwa hawana bahati au mambo yao hayawakalii vizuri.
Amekutumia Halafu Anakuacha? Usiumie, Fanya Haya!
MUNGU ni mwema sana. Tunakutana katika eneo letu la kuweza kupeana darasa la masuala ya uhusiano. Tunajifunza, tunatafakari kwa pamoja kuhusu maisha yetu.
Hakuna aliye mkamilifu, kila mtu anajifunza kila siku.
Unaweza kujiona unajua…
Ukiona Dalili Hizi, Tambua Wewe Siyo Chaguo Lake
SAFARI ya mapenzi kati ya watu wawili wanaopendana, huanza kwa mmoja kati yao, hasa mwanaume kumtamkia nia yake yule anayempenda ingawa katika wakati huu tulionao, si ajabu pia kwa mwanamke kumtamkia mwanaume kwamba anampenda. Mara…
Kataa Kudharaulika, Zingatia Haya Jamii Ikuheshimu!
NINA kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa mema ambayo amekuwa akinitendea katika kila siku ya maisha yangu. Kikubwa nimshukuru kwa kunijaalia uzima kiasi cha kuniwezesha kuendelea kuwa hai na kukutana nanyi tena kupitia ukurasa huu.…
Unampenda Halafu Hakuelewi!
ASIKWAMBIE mtu, maumivu ya kumpenda mtu halafu yeye akawa hakuelewi huwa yanauma sana. Unateseka kisaikolojia, unafanya kila unalotakiwa kufanya ili aweze kukuelewa lakini mwenzako wapi. Ni kama vile unampigia mbuzi gitaa, hachezi…
Jinsi Ya Kumtambua Tapeli Wa Mapenzi
KWENYE ulimwengu wa mahaba, wengi wanaumizwa. Wengi hufikia hatua ya kukata tamaa na kusema hawatapenda tena. Hawaoni umuhimu, wameambulia karaha za kutosha. Yote hayo hutokea kwa sababu gani? Kuingia kwenye uhusiano na mtu ambaye si…
Jinsi ya Kumtambua Mwanaume wa Kukuoa!
WANAWAKE wengi wanateseka penzini kwa kutowatambua vizuri wanaume wenye mapenzi ya dhati.
Wengi hujikuta kwenye maumivu makali kwa sababu ya kuingia kwenye uhusiano na watu wasiokuwa na mapenzi ya dhati.
Wanaingia kwenye uhusiano…
Jinsi ya Kuepuka Penzi la Machale Machale
ULIMWENGU wa sasa, wapendanao wengi wanaishi kwa machale. Ni staili ile ya mguu pande, mguu sawa. Kwamba ukimzingua, anakuzingua. Mwaga mboga amwage ugali. Hataki kuona inakula kwake kama vijana wa sasa wanavyosema. Kila mtu ameshaumizwa.…
Jinsi Ya Kumfanya Mwenza Wako Afurahie Penzi Lenu
NI IJUMAA nyingine ambayo Mwenyezi Mungu ametukirimia na mimi ninawakaribisha hapa jamvini, mahali ambapo tunajadili mapenzi na maisha kwa jumla. Watu wengi wamekuwa wakiniuliza ni nini siri na kuwa na penzi la kudumu lenye furaha hasa…
Unatamani Uhusiano wa Wenzako, Wako Majanga? Soma Hapa!
VUTA picha ni watu wangapi sasa hivi hawafurahii uhusiano wao. Wanatamani uhusiano wa wengine kwa jinsi wanavyoutazama, wengi sana wapo hivyo na wao wenyewe hawajijui kama wapo hivyo. Utasikia;
“Jamani natamani na mimi mtu wangu…
Ukiwa na Sifa Hizi Lazima Uolewe!
MOJA kati ya kilio kikubwa cha mabinti ni kupata wanaume sahihi wa kuwaoa. Ishu si tu kuolewa lakini kupata mume sahihi ni jambo lingine.
Wengi wanaishia kukutana na wanaume ‘wasanii’ ambao hawana mpango wa ndoa. Wao wanafurahia…
Faida Ya Kutafuna Mhogo, Nazi Kwa Wanaume! Soma Hapa
MIHOGO na nazi mbata ambavyo huuzwa kwa wingi na kinamama jijini Dar es Salaam, vina uwezo mkubwa wa kurejesha uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Uwezo wa mihogo na nazi mbata au kwa kuchanganya na karanga katika kuwasaidia wanaume…
Ni Kweli Wanawake Wazuri Hawaoleki? Soma Hapa
TUNAFAHAMUkwamba hakuna mwanamke mbaya. Ila katika mazingira ya kawaida wapo ambao wanakuwa na umbo fulani la kuvutia zaidi. Wanawake ambao wana mwonekano wa kuwa kama vile pambo.
Kwa kawaida, wanawake wa aina hii huwa wanakuwa na…
Unategemea Akufurahishe Lakini Unaishia Kulia? Soma Hapa!
UHUSIANO wa kimapenzi una changamoto nyingi sana, idadi ya wanaolizwa na mapenzi inazidi kuongezeka kila kukicha, visa vya mapenzi vya kuumiza na kutoa machozi vinazidi kutokea kila kukicha kwa hiyo kuna umuhimu wa kutafuta elimu sahihi…
Tabia 8 Za Wapenzi Wenye Pendo La Dhati
MAPENZI ni hisia. Unapompata mtu akakupenda kwa dhati, ni vigumu sana kuyatambua mateso ya wengine wanayopitia kwenye mahusiano yao. Wapendanao wanajiona wapo kwenye dunia yao, wanapokuwa pamoja wanajihisi matajiri hata kama ni kapuku.…