The House of Favourite Newspapers
Browsing Category

Makala

Ifahamu figo yako inavyoweza kuharibika

 LEO tutakuelimisha kuhusu chanzo cha maradhi ya figo na tutakueleza dalili zake ili ufahamu jinsi ya kujikinga.  Figo ni sehemu ya kiungo cha mwilini (ogani) inayoshirikiana na moyo, kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na…

Mbinu Sahihi Kwa Anayetaka Kuolewa!

Maisha yanaenda kasi sana huku suala la ndoa likiwa ni kipaumbele cha kwanza na kigumu kwa wanawake. Matokeo yake wengi wamejikuta wakichanganyikiwa pindi tu wanapotangaziwa ndoa. Mwanamke akiambiwa ninakuoa, akili yote inamruka. Hana…

Haolewi? Hujui Sababu? SOMA HAPA!

KUOLEWA au kutoolewa ni majaaliwa ya Mungu lakini zipo sababu ambazo zinaweza kumfanya mwanamke akawa anatanga na njia kila siku bila kupata mtu wa kumuoa. Kila mwanaume anashindwa kumuoa kutokana na mwenendo wa maisha yake.…

WAOGOPE WANAWAKE WA AINA HII !

KATIKA kuangalia tabia za wanawake, ni vyema ukawa chonjo kwani ukiingia chaka wanaweza kuyafanya maisha yako ya uhusiano kuwa balaa. Labda saa hizi uko katika uhusiano wa muda mrefu na mpenzi wako au sasa hizi uko mbioni unatafuta,…

Matumizi yako yanavyoweza kukukwamisha!

WAPO watu ambao kila siku wanalalamika maisha kwao ni magumu, kila kitu hakiendi n.k. Lakini pia kuna wale ambao ni mabingwa wa kulalamika kuwa hawana bahati au mambo yao hayawakalii vizuri.

Unampenda Halafu Hakuelewi!

ASIKWAMBIE mtu, maumivu ya kumpenda mtu halafu yeye akawa hakuelewi huwa yanauma sana. Unateseka kisaikolojia, unafanya kila unalotakiwa kufanya ili aweze kukuelewa lakini mwenzako wapi. Ni kama vile unampigia mbuzi gitaa, hachezi…

Jinsi Ya Kumtambua Tapeli Wa Mapenzi

KWENYE ulimwengu wa mahaba, wengi wanaumizwa. Wengi hufikia hatua ya kukata tamaa na kusema hawatapenda tena. Hawaoni umuhimu, wameambulia karaha za kutosha. Yote hayo hutokea kwa sababu gani? Kuingia kwenye uhusiano na mtu ambaye si…

Ukiwa na Sifa Hizi Lazima Uolewe!

MOJA kati ya kilio kikubwa cha mabinti ni kupata wanaume sahihi wa kuwaoa. Ishu si tu kuolewa lakini kupata mume sahihi ni jambo lingine. Wengi wanaishia kukutana na wanaume ‘wasanii’ ambao hawana mpango wa ndoa. Wao wanafurahia…