Lulu Diva Alivyozichapa Kavukavu na Njemba
HIT Maker wa ngoma ya Usimwache, Lulu Abasi ‘Lulu Diva’ amefunguka kuwa katika maisha yake, kitu cha kijinga ambacho kamwe hawezi kukisahau maishani ni kitendo cha kuzichapa kavukavu na jamaa mmoja baada ya kupishana kauli.
Akipiga…
Kitanda Changu Ndani ya Kaburi la Kanumba!
USIKU mtulivu. Kelele za mbu nje ya chandarua walionigasi kabla sijapitiwa na usingizi mnono, sizikumbuki na sasa niko kwenye ulimwengu mwingine kabisa. Niko dunia ambayo ni vigumu kuieleza, lakini ninachokumbuka ni kwamba pembeni yangu…
Jay Moe: Msiba wa Ngwair Sikulia Kama wa Langa
MKONGWE asiyechuja kwenye muziki wa Hip Hop Bongo, Juma Mchopanga ‘Jay Moe’ amefunguka kuwa alipofariki msanii mwenzake Ngwair alijikaza na akafanikiwa kutolia lakini alipofariki Langa, alimwaga machozi.
Akipiga stori na Showbiz…
Arusha: Moto Wateketeza Nyumba za Familia 13 za Polisi
FAMILIA 13 zenye watu 44 zimeathiriwa kwa moto ulioibuka kwenye nyumba wanazoishi askari polisi katika Kata ya Sekei mkoani Arusha usiku wa kuamkia leo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ambaye pia aliwahi kufika eneo la tukio…
Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Septemba 28, 2017
Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Septemba 28, 2017. Ni yale ya Hardnews, Udaku na Michezo.
Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App
Hatari yYa Kuishi Ili Mradi Siku Zinakwenda!
WIKI hii nataka kuzungumzia suala zima la kusaka mafanikio huku nikikuuliza wewe msomaji wangu kwamba, umeamua kufanikiwa katika maisha yako kwa kufanya nini hasa?
Wakati nasoma sekondari nilitamani sana kufanya kazi ya ndishi licha ya…
Safisha Figo Kwa Kutumia Nanaa
LEO kwenye safu hii ya tiba kwa chakula tutaona jinsi Nanaa zinavyosaidia kusafisha figo kwani tatizo hili limekuwa kubwa katika miaka ya hivi karibuni.
Nanaa inauzwa katika masoko mbalimbali nchini, ni mmea ambao unatumika sana kwenye…
Nyumba za Polisi Arusha Zateketea Kwa Moto
Habari ziliyonifikia kutoka Arusha usiku huu ni kuwa moto umezuka na kuteketeza nyumba za Polisi zilizopo Kata ya Sekei, Arusha, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.
Haji Manara Amfungukia Kocha Omog Kuondoka Simba – Video
MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Haji Sunday Manara amefunguka kwa kina kuhusu tetesi zinazosambaa mitandaoni kwenye vyombo vya habari kuwa klabu hiyo inataka kuachana na kocha wake mkuu, Joseph Omog kwa kile kinachodaiwa kuwa ana kikosi…
A-Z Ya Mshindi wa Shinda Nyumba Alivyopatikana (Video)
Hatimaye Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba iliyokuwa ikiendeshwa kwa zaidi ya miezi 6 na Kampuni ya Global Publishers ikiwa ni sehemu ya kurudisha fadhila kwa wasomaji wake,…
Matukio Kuelekea Droo Kubwa Shinda Nyumba ya leo (Video)
Burudani zikiendelea.
Wasomaji mbalimbali wakielekezwa namna ya kujaza kuponi na Mr Shinda Nyumba.
Mr Shinda Nyumba akiendelea kutoa maelekezo.
Afisa Masoko wa Global Publishers, Jimmy Haroub…
Nassari, Lema Wakubali Kuipelekea Ushahidi TAKUKURU
WABUNGE wa Chadema, Godbless Lema (Arusha Mjini) na Joshua Nassari (Arumeru Mashariki) wamesema watapeleka kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ushahidi kuhusu madiwani saba waliojiuzulu katika majimbo yao wanaowatuhumu…
Madereva, Waethiopia Kortini Kwa Makosa ya Uhamiaji
MADEREVA wa kampuni ya Dangote Cement inayomilikiwa na mfanyabiashara tajiri Afrika, Aliko Dangote, ambao ni Hussein Hassan na Juma Mtambo na Sadick, ambao wote ni raia wa Tanzania, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Kisutu leo…
WATEJA WA CBA BENKI WAENDELEA KUNUFAIKA NA PROMOSHENI YA “WEKA AMANA USHINDE”
MSHINDI wa droo ya tatu ya promosheni ya akiba inayojulikana kama ‘Weka Amana Ushinde’, mkazi wa Arusha amejishindia Sh. milioni moja ambapo zaidi ya Sh. milioni 20 zinaendelea kushindaniwa na wateja wa benki ya…
Breaking News: George Majaba Ashinda Nyumba Ya Global Awamu ya Pili
Droo kubwa ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, imechezeshwa leo Uwanja wa Las Vegas Mabibo, Dar mshindi ni George Majaba wa Dodoma
PLO Lumumba Aukacha Ukurugenzi wa Kenya School of Law
MWANASHERIA maarufu nchini Kenya, Patrick Loch Otieno Lumumba, ajulikanaye kama PLO Lumumba, ameamua kutowania kipindi kingine akiwa Mkurugenzi wa Shule ya Sheria ya Kenya (Kenya School of Law - KSL) kwa vile anakwenda kufanya shughuli…
Rais Magufuli Aendesha Kikao Cha Kamati Kuu Ya CCM Ikulu Jijini Dar
RAIS na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo ameongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Ikulu jijini Dar es Salaam ambacho kimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama hicho.
Mambosasa Asema Miili Iliyokutwa Kwenye Viroba Hajui Ilikotoka
KAMANDA wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema miili ya wanaume watatu iliyokutwa pembezoni mwa Bahari ya Hindi eneo la Coco Beach hawajui imetoka wapi hivyo wanaendelea na uchunguzi kubaini ilipotoka.…
Patcho Amtimua Mwanamuziki Wake
PREZIDAA wa Bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’, Patcho Mwamba ‘Tajiri’ amemtimua mwanamuziki Redock Mauzo baada ya ‘kuzinguana’ kuhusiana na maslahi.
Redock Ijumaa iliyopita alionekana akikamua kwenye jukwaa la BMM Sound…
Nuh Mziwanda Atoboa Kilichovunja Ndoa Yake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya maarufu kama Nuh Mziwanda ambaye jina lake la kuzaliwa ni Naftal Mlawa, ni mmoja kati ya vijana wanaofanya vizuri katika ulimwengu wa Bongo Fleva kwa sasa.
Miaka michache iliyopita, jina lake lilikuwa…
LULU DIVA AWEKA WAZI ‘WEUPE’ WAKE
MSANII wa kike wa muziki wa Bongo Fleva nchini Lulu Diva, ameweka bayana siri ya weupe wake.
Mwanamuziki huyo kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa ‘Give To Me’ na anaendelea kupambana na muziki wa kisasa.
…
Ben Pol: Napenda Mwanamke Mwenye Tabia Nzuri
MSANII wa muziki nchini Ben Pol amesema kitu pekee anachokiangalia kwa mwanamke ambaye ataweza kumzimikia na kuwa naye kimapenzi ni lazima awe anajiamini pindi wakiwa wanaongea au hata wakiwa wanachati.
Ben Pol amefunguka…
Askofu Niwemugizi Aamua Kukubali Kuitwa Mchochezi
ASKOFU wa Kanisa Katoliki Ngara, Severin Niwemugizi amesema yuko tayari kuitwa mchochezi endapo kundi la watetezi wa haki za binadamu watachukuliwa kama wachochezi.
Askofu Niwemugiza amesema yeye kama kiongozi wa dini anaongozwa na…
Kubenea Aitaka Serikali Kulifungulia MwanaHalisi Ndani ya Siku 2 – Video
WAHARIRI wa Gazeti la MwanaHalisi linalomilikiwa na Mbunge, Saed Kubenea lililofungiwa na serikali wamekanusha taarifa ya serikali kuwa gazeti hilo linaandika habari za uongo, wamedai kuwa wao hawajawahi kuandika uongo na badala yake…
Ngoma akifunga, Yanga Wana Pointi Moja
LICHA ya mshambuliaji wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma kuonekana siyo lolote mbele ya mashabiki wa timu hiyo kutokana na kushindwa kuonyesha makeke yake, lakini mabao mawili aliyofunga mpaka sasa yanambeba.
Mshambuliaji huyo…
Unafiki Ndiyo Utamfukuzisha Kazi Omog
‘OMOG afukuzwe’, ‘Omog abaki’, ‘Omog hatufai’, ‘Omog ni tatizo’, ‘timu hazichezi vizuri tatizo ni Omog’.
Hizo ni baadhi ya kauli ambazo zimekuwa zikitawala kwenye vyombo vya habari, mitandaoni, kwenye vijiwe na kwingine kote…
Mtibwa: Bahati Iliwabeba Ruvu Shooting
TIMU ya Mtibwa Sugar kutoka mkoani Morogoro imedai kuwa bahati tu ndiyo iliyowaokoa Ruvu Shooting chini ya Msemaji wao, Masau Bwire wasipate kichapo kutoka kwao kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mabatini, juzi…
Shirika la Restless Lawataka Vijana Kuwa wabunifu wa Maendeleo
Shirika la Restless Development Limewataka Vijana Kuwa wabunifu wa MaendeleoKongamano katika maeneo mbalimbali yanayowazunguka ili kuwawezesha katika fursa za kimaendeleo.
Kongamano hilo limefanyika…
DROO KUBWA YA SHINDA NYUMBA…MWISHO WA UBISHI LEO LAS VEGAS MABIBO
DROO kubwa ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, itachezeshwa leo Jumatano katika Viwanja vya Las Vegas vilivyopo Mabibo mkabala na Soko la Ndizi jijini Dar es Salaam. Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers, Abdallah…
Basi La Tashriff Lateketea Kwa Moto Likitoka Tanga Kwenda Dar
Abiria waliokuwa wakisafiri kutoka Tanga kuelekea Jijini Dar es salaam wamenusurika kufa baada ya basi walilokuwa wamepanda la kampuni ya Tashriff kuteketea kwa moto.
Kwa mujibu habari ambazo zimepatikana na kuthibitishwa na…
Maalim Seif Amtembelea Tundu Lissu Nairobi Kenya
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Seif Sharif Hamad jana Septemba 26, 2017 ameingia jijini Nairobi Kenya kwenda kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Tundu Lissu…
Fahamu Chanzo Cha Magonjwa ya Moyo-2
Tunaendelea kuelezea magonjwa ya moyo.
MAGONJWA ya moyo yameshika kasi hapa nchini kiasi cha kutishia uhai wa watu wengi. Hata hivyo maradhi haya kwa asilimia 80 yanazuilika kama hatua za mapema zitachukuliwa. Ndiyo maana upo usemi…
Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano, Septemba 27, 2017
Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Septemba 27, 2017. Ni yale ya Hardnews, Udaku na Michezo.
Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App
Hivi Snura Huyo Chura Akipukutika Muziki Utaendelea
HABARI wadau wa Barua Nzito, niwashukuru nyote kwa maoni na ushauri wenu kila wiki kuhusu safu hii. Mwishoni mwa wiki iliyopita nilibahatika kuhudhuria uzinduzi wa video mpya ya msanii Snura Mushi iliyokwenda kwa jina la…
Hukumu ya Yusuf Manji Oktoba 6
MAHAKAMA ya Hakimu ya Mkazi Kisutu, imepanga Oktoba 6, mwaka huu kutoa hukumu katika kesi ya dawa za kulevya inayomkabili Yusuf Manji (41).
Uamuzi huo umetolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha, baada ya wakili…
Maimartha Kujifungua Live Instagram
MTANGAZAJI maarufu wa televisheni Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ambaye hivi sasa ni mjamzito, amesema atapenda siku yake ya kujifungua ikifi ka, awe mubashara katika Mtandao wa Kijamii wa Instagram.
Tofauti na alivyozoeleka…
Sekretari wa Manji Amtetea Bosi Wake Mahakamani
KESI ya dawa za kulevya inayomkabili mfanyabiashara na aliyekuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusuf Manji, imeendelea leo wakati wa kusikiliza ushahidi ambapo umetolewa na mtu wa tatu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu…
Vodacom Wazindua ‘Pinduapindua’ Kwa Wateja Wajanja (Video)
KAMPUNI ya Simu Vodacom leo wamezindua mpango mpya na wa kijanja kufurahia mawasiliano kutoka Vodacom, kuwa mteja kutumia uniti zake apendavyo akiwa na #PinduaPindua bando kutoka Vodacom pekee.…
PETIT MAN ALIA NA WALIOVUJISHA PICHA ZAKE ZA MAHABA NA MOBETO!
SIKU chache baada ya baba mzazi wa mtoto wa mwanamitindo, Hamisa Mobeto, kujitokeza hadharani na kukiri mtoto ni wake, ghafla, katika hali ya kushangaza zikasambaa picha mitandaoni zikimuonyesha mwanamitindo huyo akiwa katika pozi za…