The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

CHADEMA

Kigogo wa Chadema Akamatwa Tena

MKURUGENZI wa Mashitaka nchini Tanzania (DPP), Sylvester Mwakitalu leo amemuomdolea mashitaka ya uchochezi Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema, Hashimu Juma, yaliyokuwa yanamkabili ya uchochezi kupitia kifungu cha 90 (1), katika…

CHADEMA Yatoa Tamko Kesi ya Mbowe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema uamuzi wa jana na Jaji Kiongozi Mustapha Siyani, pamoja na kuitwa uamuzi mdogo kwenye shauri dogo madhara yake hayapo tu kwenye haki ya Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe na wenzake, bali…

Chadema Wafungua Kesi Kudai Dhamana

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimefungua kesi kudai kuachiliwa kwa dhamana kwa kiongozi wa Baraza la Wazee la chama hicho, Hashim Issa Juma (63) ambaye anashilikiwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa siku…

Chadema Wasusa Kwenda Ikulu

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema haitashiriki hafla ya kukabidhi taarifa ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 itakayofanyika kesho Jumamosi, Agosti 21, 2021, Ikulu jijini Dar es Salaam na badala yake itaendelea…