Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuf Kilungi maarufu kama Mbosso amefunguka kuhusu tatizo la ugonjwa wa moyo ambalo limemwandama tangu akiwa mtoto.
Akizungumza katika mahojiano maalum Mbosso ambaye ni msanii wa lebo ya Wasafi…
MBOSSO Khan; ni staa mkubwa wa Bongo Fleva ambaye amefichua kuhusu bifu lake la moto na memba mwenzake wa zamani wa Yamoto Band, Aslay huku akitupilia mbali madai kuwa chanzo cha tatizo lao ni wanawawake.
Mbosso…
MKALI wa Bongo Fleva mwenye kupendelea mahadhi ya pwani, Mbosso amefunguka kuhusu uhusiano wake na wasanii waliokuwa wenzake kunako yamoto band hasa aslay. Mbosso anasema kwamba, kwamba bado huwa anawasiliana mara kwa mara na Enock…
STAA wa muziki wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya Wasafi, Mbosso amefunguka kuhusu uhusiano wake na wasanii waliokuwa wenzake katika Bendi ya Yamoto.
Akiwa kwenye mahojiano na wanahabari jijini Mombasa, Mbosso aliweka wazi…
MSANII maarufu kutoka 254 nchini Kenya, Otile Brown amedai kuchukuliwa melody zake za wimbo wa 'baby love' kutumika kwenye wimbo mpya wa Mbosso na Zuchu uitwao '#ForYourLove'.
Otile Brown ameweka taarifa hiyo kwenye page…
NI miaka kadhaa sasa tangu mwamba huyu asajiliwe kwenye Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), lakini mambo anayoyafanya kimyakimya ni ya kutisha. Mwamba anajua, anajua na anajua tena, kiukweli anayejitahidi na apewe sifa zake.Hapa…
STAA wa muziki wa Bongo Fleva anayekiwasha chini ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf ‘Mbosso’ Aprili 9, 2021 ameachia video ya 'Baikoko' amemshirikika Mkurugenzi wa Lebo hiyo, Diamond Platnumz.
⚫️ Kwa…
Mkurugenzi wa Lebo ya WCB, Diamond Platnumz ametangaza uzinduzi wa Albamu ya msanii wake, Mbosso iitwayo 'Definition of Love' ambapo amesema tayari imeshatoka na itazinduliwa katika Ukumbi wa Mlimani City, Jumamosi, Machi 2021.…
BADO upepo unazidi kutikisa ndani ya lebo kubwa ya muziki wa Bongo Fleva, Wasafi Classic Baby (WCB), baada ya Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ kuanzisha lebo yake, joto la Mbwana Yusuph Kilungi ‘Mbosso’ naye kuanzisha lebo yake linatajwa…
STAA wa muziki wa Bongo Fleva anayekiwasha chini ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf ‘Mbosso’ ameachia video ya Yalah kutoka kwenye album yake.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️…
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Gazet la Risasi linapatikana BURE kupitia App ya Global APP inayopatikana hapa
iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx…
STAA wa muziki wa Bongo Fleva anayekiwasha chini ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf ‘Mbosso’ ameachia rasmi album yake ya kwanza mara baada ya jana kuachia orodha ya nyimbo zinazopatikana kwenye album hiyo
"Definition…
MSANII wa Bongo Fleva, kutoka Lebo wa WCB, Lava Lava leo Februari 12, 2021 meiachia rasmi EP yake "Promise" ambayo mara ya kwanza alitangaza kuwa ingetoka February 14, 2021.
WANAMUZIKI kutoka Wasafi Classic Baby (WCB) wakiongozwa na CEO, Diamond Platnumz, wamewasili salama Kahama mkoani Shinyanga usiku wa kuamkia Novemba 27, 2020, kwa ajili ya kufanya shoo katika Uwanja wa Taifa wa Kahama siku ya Jumamosi.…
MUZIKI wa Bongo Fleva una wasanii wengi waimbaji; kazi yao ni moja tu, kutoa burudani kwa mashabiki wao ambao ndio wanunuzi wa bidhaa zao.
Kwa mwaka 2020 wasanii wengi wamefanya kazi nzuri kila mmoja kwa kiwango chake kutokana na malengo…
STAA wa muziki wa Bongo Fleva anayekiwasha chini ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf ‘Mbosso’ amesimulia msoto aliopitia kwenye maisha yake baada ya kuvunjika kwa Yamoto Band.
Akizungumza na Risasi Vibes, Mbosso…
STAA wa muziki wa Bongo Fleva na memba wa lebo kubwa ya muziki Bongo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf Kilungi ‘Mbosso Khan’, amevunja ukimya juu ya vita yake na msanii mwenzake, Aslay Isihaka.
Katika mahojiano…
DAR: Memba mwingine wa Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf ‘Mbosso Khan’ ameingia kwenye tuhuma nzito ya wizi wa mashairi kama ilivyotokea kwa msanii Zuhura Othman ‘Zuchu’.
Mbosso anatuhumiwa kukopi mistari ya…
MWANAMUZIKI maarufu wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya Wasafi (WCB), Mbwana Yusuph Kilungi maarufu kwa jina la Mbosso, ametangazwa kuwa Balozi wa Kampuni ya Tanga Fresh inayojihusisha na utengenezaji wa maziwa, kwa mkataba wa mwaka mmoja.…
Staa mwingine wa Bongo Fleva anayetumikia Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuph Kilungi ‘Mbosso Khan’ amekiri kuteswa na gonjwa baya la kutetemeka. Mbosso amesema kuwa, ugonjwa huo umekuwa ukimsumbua tangu akiwa mtoto mdogo.…
MWANAMUZIKI pendwa wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuf Kilungi ‘Mbosso Khan’ anayetumikia Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), ameeleza namna alivyokosa mamilioni kutokana na shoo zake kufutwa.
Mbosso ameliambia Gazeti la IJUMAA…
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Bonyeza hapa kununua >> CHAMPIONI <<
Bonyeza hapa kununua >> IJUMAA <<
…
KWENYE playlist yako ya wakali wa Bongo Fleva, huwezi kuacha jina la dogo anayetumikia Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) iliyo chini ya mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Mondi’.
Huyu ni Mbwana Yusuph Kilungi ‘Mbosso’ ambaye mbali…
MAMBO ni mengi sana mjini. Unaambiwa wananzengo wamepiga kelele sana huko Instagram kwamba gari analotamba nalo staa wa Bongo Fleva, Yusuph Mbwana ‘Mbosso’ si mali yake, bali amepewa na bosi wake Nasibu Abdul ‘Diamond’ na ni lile…
Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Bonyeza hapa kununua >> SpotiXtra <<
Bonyeza hapa kununua >> AMANI …
DAR: Kama ulikuwa unatarajia kolabo kati ya mafahali wengine wawili wa Bongo Fleva; Aslay Isihaka Nassoro na Mbwana Yusuph Kilungi ‘Mbosso Khan’, sahau jambo hilo kwa sasa, IJUMAA linafichua siri.
NI ZAO LA YAMOTO…
Jipatie nakala ya Gazeti la CHAMPIONI na Gazeti la IJUMAA kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
Bonyeza hapa kununua >> CHAMPIONI <<
Bonyeza hapa kununua >> IJUMAA <<
HABARI zinazosambaa kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii zinadai kwamba msanii wa Bongo Fleva, Mbosso, ameachana na mzazi mwenzake aitwaye Rukia ambaye miezi michache iliyopita walibahatika kupata mtoto.
Kwa…
MSANII wa Bongo Fleva, kutoka Label ya WCB Wasafi, Mbwana Yusuph Kilungi maarufu kama Mbosso Khan amefunguka kufanya maajabu ya burudani kwa mashabiki wake usiku ya Christmasi, Desemba 25, 2019 katika Uwanja wa Taifa wa…
MKALI anayekimbiza kwenye Bongo Fleva akitokea Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Mbwana Yusuf Kilungi ‘Mbosso Khan’, amefungukia shoo yake atakayoifanya Sikukuu ya Krismasi ndani ya Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar,…
IKIWA umepita mwezi tangu asherehekee na mpenzi wake 40 ya mwanaye, mrembo mmoja kutoka Mombasa, Kenya aliyejulikana kwa jina moja la Munira ameibuka na kumwambia staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Mbwana Kilungi ‘Mbosso’ kuwa akimkataa, basi…
DAR ES SLAAM: Bado upepo siyo mzuri ndani ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB)! Siku chache baada ya mwanamuziki wake, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ kujitoa kwenye lebo hiyo, imebainika pia meneja wa mwanamuziki Mbwana Yusuph Kilungi…
WAKATI memba mwenzao wa Wasafi Classic Baby ‘WCB’, Harmonize akidaiwa kuondoka lebo hiyo, mkali wa Bongo Fleva, Mbosso ametoboa siri ya yeye kubaki.
Akipiga stori mbili tatu na Showbiz, Mbosso alisema kitu kinachomfanya…
DADA wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’ hivi karibuni alimfanyia kufuru msanii mwenzake, Yusuf Mbwana Kilungi ‘Mbosso’ kwa kummwagia minoti kama yote.
Tukio hilo lilitokea Jumatano…
MSANII wa Bongo Fleva kutoka Lebo ya WCB, Mbosso, ameamua kuweka wazi siri ya muda mrefu iliyokuwepo kati yake na marehemu Martha ambaye ni msanii wa vichekesho aliyefariki mapema wiki hii.
Akionekana kuguswa na msiba huo,…