The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Nay

Nay wa Mitego, Imemuwakia

MWENYEWE anajiita Rais wa Kitaa pengine ndiyo maana wimbo wake mpya ameupa jina hilo. Lakini zaidi anafahamika kama Nay wa Mitego ambaye hivi karibuni aliachia wimbo huo ulijaa nondo za  kuikosoa serikali wengine kwa mambo ya tozo,…

Nay: Mondi Akizingua Namchana

MSANII wa Bongo Fleva Elibariki Daniel ‘Nay wa mitego’ ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake cha ‘Mungu anakuona’ amesema kuwa hana bifu na msanii mwenzake Nasibu Abdul ‘Diamond’ ila akileta mambo ya kipuuzi anamchana. …

Nay Aopoa Kiboko ya Siwema

  MAMBO hadharani! Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ameopoa mrembo ambaye ni kiboko wa mzazi mwenzake, Siwema Edson kwa kile kinachosemekana ni mkali balaa, Risasi Mchanganyiko linakupa habari kamili.…

Utajiri wa Nay Kwisha!

VYUMA vimekaza! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya utajiri wa staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kudaiwa kwisha baada ya magari ya thamani aliyokuwa akiyamiliki kupukutika, Risasi Jumamosi linakupa mkanda kamili.…

Nay wa Mitego Adaiwa Kufumaniwa

DAR ES SALAAM: MKALI wa Hip Hop Bongo anayesumbua na Wimbo wa Acheze, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amedaiwa kukwaa skendo ya kufumaniwa na mpenzi wake aliyefahamika kwa jina moja la Tina. Tukio lililokusanya ‘nzi’ wa kutosha,…

Siwema Anangwa Kumpotezea Mwanaye

Na MUSSA MATEJA| GAZETI LA IJUMAA| STAR MIX MREMBO Siwema Edson aliyezaa na msanii wa muziki Bongo, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego   ’ amenagwa na watu wake wa karibu baada ya kutua Bongo kisha kutotaka kumuona mwanaye.…

Diamond, Nay Wafanyiziwa

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Stori: Mayasa Mariwata na Musa Mateja, Wikienda Dar es Salaam: Majanga! Wiki iliyopita mambo hayakuwaendea poa mafahari wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Emmanuel…