The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

soka

Serikali Kuibeba Taifa Stars

Katibu Mkuu wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Serikali imejipanga kuisaidia Timu ya Taifa kwa kuipatia fedha ili kuongeza ufanisi wa timu hiyo ndani na nje ya nchi. Dkt. Abbasi amesema hayo…

Dunia Yamlilia Maradona

GWIJI  wa zamani wa kandanda, Diego Maradona, amefariki dunia jana akiwa na umri wa miaka 60 kwao Argentina ambapo mapema mwezi huu, Novemba, alifanyiwa upasuaji wa ubongo ambao madaktari walimwambia ulifanikiwa. Baada ya…

Kocha Simba Atimuliwa Sauz

PATRICK Aussems, kocha wa zamani wa Simba maarufu kama Uchebe, ameripotiwa kufutwa kazi na timu yake mpya ya Black Leopards ambayo alikuwa akiifundisha katika Ligi Kuu ya Afrika Kusini. Aussems aliibukia ndani ya…

Neymar Aumia, Azua Hofu PSG

KUFUATIA nyota wa PSG ya Ufaransa, Neymar Jr kuumia wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Ufaransa kati ya timu yake dhidi ya Marseille, jana usiku, kipa wa PSG, Alphonse Areola amesema anawasiwasi na kuumia kwa mshambuliaji…

Serengeti Boys Kuivaa Mali Leo

STORI: Ibrahim Mressy | CHAMPIONI| Dar es Salaam TIMU ya Taifa ya vijana chini ya umri wa Miaka 17, Serengeti Boys, leo Jumatatu inafungua pazia lake katika mashindano ya Kombe la Afrika kwa Vijana, kwa kumenyana na Mali katika…