Simba Mzigoni Leo VPL
LEO Jumatano, Desemba 9, Namungo FC ina kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Biashara United, Uwanja wa Majaliwa saa 10:00. Simba pia itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Polisi Tanzania, saa 1:00 usiku Uwanja wa Mkapa.…
