The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

ZAHERA

Zahera Amesinya Gwambina FC

ALIYEWAHI kuwa Kocha Mkuu wa Yanga SC, Mwinyi Zahera kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) amejiunga na klabu ya Gwambina FC ya Misungwi mkoani Mwanza iliyopanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu.

Safu Mpya Yanga Balaa!

KAMATI ya Utendaji ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Dk. Mshindo Msolla imeunda kamati mpya ya Mashindano yenye wajumbe 13 chini ya Mwenyekiti, Rodgers Gumbo na bosi wa Kampuni ya GSM Injinia Hersi Said. Hiyo yote katika…

Zahera Awaingiza Chaka Waarabu

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera, amesema kuwa hahofii kutazamwa na wapinzani wake Pyramids FC ya nchini Misri mara atakaposhuka uwanjani kucheza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbao FC. Yanga inatarajiwa…

Zahera Achafuliwa Uso Mwanza

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, juzi Jumamosi alikutana na balaa kutoka kwa wachezaji wa kikosi hicho baada ya kumpaka keki usoni na kummwagia maji ikiwa ni siku ya kumbukumbu yake ya kuzaliwa.   Zahera ambaye kesho Jumanne…

Zahera: Waleteni hao Waarab Caf

DROO ya makundi ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika pamoja na hatua ya mtoano ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, inatarajiwa kufanyika keshokutwa Jumatano huku Kocha Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera akitamba hana hofu…

Zahera ajilaumu mwenyewe

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera, amesema kuwa lawama zote anazibeba yeye huku akiitaja sababu ya kipigo cha mabao 2-1 walichokipata walipocheza na Zesco United ya Zambia. Kipigo hicho kimewaondoa kwenye Ligi ya…

Yanaga Yamkatia Rufaa Zahera

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umemkatia rufaa kocha wake Mwinyi Zahera kupinga kufungiwa kutokana na madai ya kutoa lugha chafu kwa Bodi ya Ligi. Bodi ya Ligi ilimfungia Zahera kutoitumikia timu yake kwa mechi tatu na kupigwa faini…

Zahera Aenda Kula Bata

BAADA ya timu yake kutokuwa na uhakika wa kuendelea na michuano ya Kombe la Afrika ‘Afcon’, Kocha Msaidizi wa DR Congo, Mwinyi Zahera amegoma kurejea mapema kwenye klabu yake ya Yanga ambapo yeye ni kocha mkuu. DR Congo hawana…

Zahera aweka hadharani mastaa 8

YANGA ikimaliza mechi na Azam tu kwenye Uwanja wa Uhuru Jumanne ijayo, Kocha Mwinyi Zahera ataweka hadharani mastaa wote wapya nane kabla ya kutimkia Hispania. Kauli hiyo, aliitoa jana wakati timu hiyo ikiwa inajiandaa na…