ZAMANI ‘HIT-SONG’, MSANII MKUBWA, SIKU HIZI KIKI KUBWA,‘HIT SONG’
ZAMA zinabadilika kwa kasi sana utadhani zinakimbizwa na mwanariadha mwenye heshima Bongo, Alphonce Simbu na walioushuhudia Muziki wa Bongo Fleva toka unaanza, kuna baadhi ya mambo ambayo wanayaona kwa sasa kwenye gemu wakawa wanacheka…