Dayna Nyange Aanika ‘Ugonjwa’ Wake Kwa Mwanaume
MAMBO vipi msomaji wa safu yako pendwa ya My Style, kama ilivyo kawaida huwa tunakutana hapa na kupiga stori mbili tatu na mastaa wa Bongo, ili kujua life style yao mbali na kazi wanazofanya ipoje.
Leo tupo na mwanamama…
Dayna Nyange Afichua Siri ya Wasanii wa Kike Kubuma
SEXLADY kunako anga la muziki mtamu wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’ amesema changamoto kubwa zinazowafanya wasanii wa kike kurudi nyuma kimuzuki ni rushwa ya ngono.
Akizungumza na AMANI, Dayna…
Dayna Nyange Wivu Umeniponza
MWANAMAMA anayefanya poa kunako gemu ya muziki wa Bongo Fleva; Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’ amesema kuwa kinachomfanya aachane na wapenzi wake mara kwa mara ni wivu uliokisiri.
Akipiga stori mbili tatu na gazeti hili…
Zawadi Nyingine Ya Sikukuu Toka Kwa Dayna Nyange, ‘Jiba’ Wimbo Mpya
Msanii wa kike wa Bongo Fleva Dayna Nyange ametubless na wimbo mpya 'Jiba' wa kufungulia sikukuu ya Krismas.
Audio imetengenezwa na Mr T Touch pamoja na Davy Machord.
Chini kabisa unaweza ku download…
Wimbo Mpya wa Dayna Nyange – Salama (Official Video)
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Dyna Nyange ameachia video ya wimbo wake uitwao Salama.
Kutazama video hiyo, Ingia Global App na kama huja install, nimekuwekea link hapa chini:
Android ===>GooglePlay
iOS ===>AppStore
Baada ya…
Video Mpya: Dayna Nyange – Sale Sale (Official Video)
MWANADADA mkali wa Bongo Fleva, Dayna Nyange ameachia video ya wimbo wake mpya uitwayo ‘Sale Sale’, ambapo audio ya ngoma hiyo imefanywa na Bear kutoka Kili Records na video imeongozwa na Director Ivan. Icheki hapa.
Unaweza kuitazama…
Dayna Nyange Amtolea Povu Nas B
MWANADADA ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wa Chovya, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’, hivi karibuni amemtolea povu mkali aliyewahi kutamba na Wimbo wa Dua la Kuku, Nas B kuwa asitafute kiki kupitie yeye.
Akichonga na…
Dayna Nyange: Nina Tuzo Kibao Kutoka Nchini Nigeria
STORI: SAMSON JEREMIAH / GPL
MSANII Dayna Nyanga aka Binti Nyange aliyehiti na ngoma ya Komela aliyomshirikisha Billnass amesema yeye ni mmoja wa wasanii maarufu nchini wanaomiliki tuzo kibao.
Akiongea na East African Radio…
Kwa Mara ya Kwanza, Dayna Nyange Anyakua Tuzo za Kimataifa
MWANADADA matata kwenye game ya Bongo Fleva, Dayna Nyange amekuwa Mtanzania pekee kuibuka mshindi wa Tuzo mbili za BAE Awards 2017zilizofanyika nchini Nigeria.
Dayna Nyange ameshibnda vipengele viwili ambavyo ni BEST AFRICAN ACT…
Dayna Nyange Alia ‘Njaa’ Kwenye Muziki
Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA UWAZI| SHOWBIZ
MWANAMUZIKI wa kike anayefanya poa Bongo na Wimbo wa Komela, Mwanaisha Saidi ‘Dayna Nyange’ amefunguka kuwa kwa sasa mambo yamekuwa magumu kwenye Tasnia ya Muziki Bongo kiasi kwamba shoo…
Dayna Nyange Nalitamani Penzi La Idris
Staa wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’.Makala: Boniphace NgumijeNAAM ni siku nyingine tena tumekutana katika kona yetu hii ya Mtu Kati. Baada ya wiki iliyopita katika kona hii kuwaletea msanii kutoka Bongo Muvi, Ester Kiama leo…
Dayna Nyange: Sina wowowo lakini najikubali
Na Andrew Carlos
Msanii wa muziki Bongo anayetamba na wimbo wake wa Komela, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema kuwa anajijua hana figa ya kufungashia lakini anajikubali kwani amejaaliwa vitu vingine vinavyomfanya awe na mvuto.…
Dayna nyange: Ni kigogo gani wa kuniweka mjini?
WIKI hii tunaye msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Dayna Nyange anayetamba na Wimbo wa Angejua. Yupo hapa kujibu maswali 10 aliyoulizwa na Mwandishi Wetu Gabriel Ng’osha. Fuatilia…
Ijumaa: Shabiki wako angependa kwanza kujua maisha yako ya…
Dayna Nyange amuonea wivu Roma
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’.
Stori: Boniphace Ngumije
MWANADADA anayefanya poa kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’ hivi karibuni amedai kuwa anamuona wivu staa wa Hip…
Dayna Nyange awachana mashabiki
Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’
Boniphace Ngumije
Staa wa Ngoma ya Angejua, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amewatolea uvivu watu wanaofuatilia maisha yake katika mitandao ya kijamii kuwa hakuna anayemsaidia kuyaendesha.
Akichonga na…
Exclusive… A-Z Dayna Alivyokutana na Davido
Kibongobongo mastaa wa kike kwa sasa ni wengi na karibia wote wanafanya vizuri. Hebu mtazame mtu kama Zuchu, Nandy, Anjela, Maua Sama, Lady Jaydee na wengineo. Wanajituma ile mbaya kuhakikisha wanafikisha ujumbe na kutoa burudani…
Dayna Ajipakulia Minyama ya Umalkia
SEXY lady kunako Bongo Flevani, Mwanaisha Nyange ‘Dayna’, amejipakulia minyama kama yote, akidai kuwa hata akikaa nje ya gemu, hakuna wa kukalia kiti chake cha umalkia.
Akizungumza na OVER ZE WEEKEND Dayna…
Dayna, Patoranking Uso kwa Uso Nigeria
MREMBO anayefanya poa kunako gemu la muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’, hivi karibuni ameibua gumzo baada ya kuonekana katika picha ya pamoja na msanii toka nchini Nigeria Patrick Nnaemeka Okorie ‘Patoranking’.…
Dayna, Patoranking Kuna Jambo Lao La Kibabe
MWANADADA mwenye kipaji kikubwa kunako gemu ya Bongo Fleva hapa nchini, Dayna Nyange amefunguka kuwa yuko kwenye maandalizi kabambe ya kudondosha ‘sapraizi’ kubwa kwa kushirikiana na staa wa muziki kutokea nchini Nigeria, Patrick…
Dayna: Siwezi ‘Kum-copy’ Zuchu
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna’, amefunguka kuwa hawezi kuiga style ya uimbaji wa Zuchu.
Akizungumza na Amani, Dayna amesema kuwa muziki wake anaouimba ni wa tangu zamani na si kucopy kama watu wanavyomsema baada…
Dyana Nyange: Nimerudi Kundini!
“NAJUA unanipenda nami nakupenda wewe...
Unajua nakupenda nangoja uanze wewe...
Moyo wangu wakupenda wewe pekee...
Nivute kwako, nitoe huu upweke...
Nivute kwako baby...
Nivute kwako nitoe huu upweke...’’
Haya ni…
Mtamuona Mume Wa Dayna Akishamuoa
MWANAMUZIKi anayefanya poa kunako uwanda wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna’, amefunguka sababu ya kuficha uhusiano wake na kwamba mumewe ataonekana akishamuoa.
Akistorisha na IJUMAA SHOWBIZ, Dayna amesema hapendi…
DAYNA AJUTA SAFARI ZA ULAYA
HITMAKER wa Ngoma ya Salama, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema kuwa, anajuta kusafiri Ulaya kwani kumemfanya kurudi upya kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva.
Akizungumza na Star Showbiz, Dayna alisema, alipata nafasi…
DAYNA AELEZA ALIVYOKUTANA NA WIZKID NIGERIA
WIKI chache baada ya kurejea Bongo akitokea Nigeria, mkali wa Ngoma ya Mafungu ya Nyanya akiwa na Marlow, Mwanaisha Said ‘Dayna’ ameeleza jinsi alivyokutana na mkali wa muziki nchini humo, Wizkid.
Akifunguka mbele ya Star…
DAYNA KUMTAMBULISHA BABA KIJACHO WAKE
KUTOKANA na gumzo ambalo linaendelea kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii, juu ya mtu aliyemtundika ujauzito mwanadada Dayna Nyange, kuzidi kushika kasi, mwenyewe ameibuka na kutoa la moyoni.
Akichonga na Full Shangwe, Dayna…
Dayna Akumbwa na Gonjwa la Kuweweseka
Na Boniphace Ngumije | Uwazi | Habari
STAA wa Bongo Fleva, Mwanaisha Saidi ‘Dayna Nyange’ amefunguka kuwa siku za hivi karibuni amekumbwa na gonjwa la kuweweseka linalomkosesha raha.
Akipiga stori na Uwazi Showbiz, Dayna alieleza kuwa…
Dayna Abadilishwa na Tuzo
Na Boniphace Ngumije| UWAZI | SHOWBIZ
MWANADADA kiwango kwenye Tasnia ya Muziki Bongo, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema kuwa kubeba tuzo mbili za Bae kutoka nchini Nigeria katika kipengele cha Mwanamuziki Bora wa…
Dayna: Simchukii Baba Watoto Wangu
Na BONIPHACE NGUMIJE| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES
NYOTA wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema licha ya mambo mengi kutokea katika uhusiano wake na mwanaume aliyezaa naye mtoto wa kike, hawezi kumchukia hata…
Nyange Abanwa Afungukia Kujichubua, Mwanaye Pamoja na Mzazi Mwenzake
Na BONIPHACE NGUMIJE| GAZETI LA AMANI| MAKALA
MIONGONI mwa kiki kwa mastaa duniani kote huwa ni kuwaanika kwenye vyombo vya habari pamoja na mitandao ya kijamii watoto pamoja na familia zao, ili kuwapa nafasi mashabiki wao na watu…
Dayna: Nimehenya kutoa video
MWANADADA anayefanya vizuri kwenye gemu la muziki wa Bongo Fleva kwa sasa na video yake mpya iitwayo Komela aliyomshirikisha Bill Nas, Dayna Nyange amefunguka namna alivyohenya mpaka kuikamilisha.
Akichonga na Gazeti la Amani, Dayna…
Dayna Awalilia Watanzania Tuzo za Bae
Na Risasi Januari 18
MWANADADA anayefanya poa kwenye Muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amewalilia Watanzania kumsapoti kwa kumpigia kura katika Tuzo za Bae zitakazofanyika hivi karibuni nchini Nigeria, ambapo…
Dayna akana kutoka na Billnas
Stori: Uwazi Showbiz
STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amemfungukia staa wa Hip Hop Bongo, Billnas kuwa hakuna uhusiano wowote wa kimapenzi unaoendelea kati yao zaidi ya kazi ya kimuziki.
Akichonga na Uwazi…
Nay, Dayna Aibu Yao!
Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa katika pozi la nusu utupu na msanii wa Bongo Fleva, Aisha Nyange ‘Dayna’.
NA BONIPHACE NGUMIJE, Risasi Jumamosi
DAR ES SALAAM: Hii ni aibu yao! Picha zinazomuonesha staa wa Hip Hop anayetamba na…
Dayna na Kasimulizi ka’ rushwa ya Ngono
Dayna Nyange.
Stori: Andrew Carlos
Mdada anayefanya poa na ngoma yake ya Angejua, Dayna Nyange ametoa kasimulizi f’lani amaizing kuhusu jinsi wasanii wa kike wanapojikuta kwenye mtego wa kutakiwa kutoa rushwa ya ngono ili wapate…
Dyna Nyange: Tunaumizwa wasanii wa kike tunapodhalilishwa
7MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Dyna Nyange hivi karibuni ametoa dukuduku lake la moyoni kuwa anaumizwa na unyanyasaji wa kijinsia unaofanywa kwa wasanii wa kike na hivyo amewataka watu wanaofanya vitendo hivyo kuacha mara moja kwani bila…
Kulia kwa Ajili ya Mapenzi si Kutatua Tatizo
KARIBU mpenzi msomaji wa Sindano za Mastaa, wiki iliyopita ulikuwa na staa wa Bongo Fleva, Dayna Nyange lakini wiki hii upo na staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper ambaye anakupa tumaini jipya wewe ambaye umeumizwa na umelizwa…
Dyna Afunguka Ngoma Za Wabongo Zinazosikika Nigeria
Mwamamama anayefanya poa kwenye Bongo Fleva na ngoma yake ya Elo, Dayna Nyange amefunguka bila unafiki juu ya ngoma za wasanii wa Bongo zinazosikika nchini Nigeria.
Katika mahojiano maalum na +255 Global Radio, Dayna…
‘Kirusi’ Hatari Kinawamaliza!
KATIKA historia ya muziki nchini, tuliona wanaume ndiyo waliamka na kuitengeneza tasnia hii katika nyanja mbalimbali.Wanamuziki wakali wa kiume waliibuka enzi hizo na kuikuza sanaa ya burudani kwa kutoa kazi kali katika uwanda wa Bongo…
Lava Lava Amkataa Uwoya
“ANA shepu bufalo, mwendo kama hakanyagi chini (hakanyagi chini), njonjo kangaroo, kafungasha double kibini (double kibini), ana guu la bia tende, kifuani dodo embe, kipotabo Dayna Nyange, akitembea ndembe ndembe, yani kama mzembe,…