Hata Dk Shein Kaona Jipu la Zanzibar, ZFA Tupeni Majibu
SIKU kadhaa zilizopita Watanzania upande wa Visiwani walikuwa bize wakifurahia mafanikio ya timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes ambayo ilifanikiwa kushika nafasi ya pili katika michuano ya Kombe la Chalenji iliyofanyika nchini…