Joseph Omog: Simba Wakinitimua Fresh Tu
LICHA ya kuwepo kwa tetesi nyingi zikimhusisha Kocha Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog, kutaka kutimuliwa kikosini hapo, mwenyewe ameibuka na kusema kuwa, ikitokea hivyo wala hatashtuka.
Hivi karibuni, kumekuwa na…