Hatimaye Barrick Yaanza Kulipa Deni la Acacia
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. Bilioni 231, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya…