Uwanja Mpya Wa Afcon Waanza Kujengwa jijini Arusha
Serikali kupitia Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo, leo Machi 19, 2024 imesaini mkataba wa ujenzi wa uwanja wa michezo utakaopewa jina La Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Uwanja huo utakaojengwa jijini Arusha utagharimu shilingi bilion…