Baba Levo Amchana Harmonize Kumuiba Poshy, amerusha dongo kwa Mwijaku – Video
Mtangazaji na staa wa mitandaoni, Baba Levo amerusha dongo kwa mtangazaji mwenzake, Mwijaku kufuatia kuonesha nyumba yake na kueleza kwamba kuna uongo mwingi mitaani.
Baba Levo ameyasema hayo wakati akisaini dili la ubalozi wa duka la…