Xavi kusalia kama kocha wa Barcelona hadi Juni 2025
Kocha wa Barcelona Xavi atasalia katika klabu hiyo hadi mwisho wa mkataba wake mnamo Juni 2025 baada ya kubadilisha mawazo kwamba huu ungekuwa msimu wake wa mwisho.
Kocha huyo mwenye umri wa miaka 44 alitangaza Januari kwamba…