The House of Favourite Newspapers

TGNP Yawanoa Kinamama Waliotwaa Udiwani

MTANDAO wa Jinsia wa TGNP leo Alhamisi umeanza warsha ya kuwanoa kiungozi kinamama kutoka mikoa mbalimbali waliotwaa udiwani na nyadhifa nyinginezo katika uchaguzi mkuu uliopita. Warsha hiyo iliyofunguliwa na Mkurugenzi Mtendaji…

Zijue sababu za mimba kuharibika

MIMBA yenye wiki 28 au chini ya hapo uharibika au kutoka, hali hii kitaalamu inajulikana kama ‘miscarriage’ na kwa kawaida mtoto aliye tumboni katika umri huu, hataweza kuishi nje ya tumbo la mama.  Zaidi ya asilimia 80 ya mimba…

Athari za vidonge vya uzazi wa mpango

VIDONGE vya uzazi wa mpango, ni moja ya njia inayopendekezwa na wataalamu wa mpango wa uzazi katika kuzuia mimba.  Hadi sasa kuna aina kuu mbili tu za vidonge vya uzazi vinavyotumiwa na wanawake katika mpango huo, ingawa aina zote hizo…

Daktari Achambua Ugonjwa wa Mbowe

BAADA ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa saa 24, madaktari waliozungumza na gazeti hili juzi (Jumatano) wamechambua hali za kiafya alizozielezea kiongozi huyo kuwa zilichangia kuugua kwake.…

Fahamu Chanzo Cha Magonjwa Ya Moyo

LEO tutaelezea kwa kina chanzo cha magonjwa ya moyo ambayo husumbua watu wengi. Chanzo kikubwa ni watu kutozingatia kanuni za ulaji bora, ni moja ya mambo yanayoongeza uwezekano wa mtu kupata magonjwa ya moyo. Kwa mfano, ulaji wa…

Elewa Undani wa Ugonjwa wa Kifua Kikuu

Na DR. MARISE RICHARD| RISASI MCHANGANYIKO| MAKALA KIFUA kikuu ambacho ni maarufu kwa kuitwa TB, ni ugonjwa unaosababishwa na kiumbehai. Bakteria wa Mycobacterium Tuberculosis (TB) anaweza kushambulia sehemu yoyote ya mwili, lakini…

Vipimo Kwa Wasioshika Mimba

BAADA ya kusoma sababu za wanawake na wanaume kushindwa kushika mimba, leo tutaangazia vipimo vya kubaini tatizo. Lengo la kufanya vipimo ni kujua sababu zinazoweza kumfanya mwanamke asishike mimba na mwanaume ashindwe kutungisha mimba.…

Kushindwa Kupata Mimba (Infetility)

Moja ya matatizo yaliyoko katika jamii zetu na yamesababisha wanandoa wengi au wanawake wengi kukosa furaha ni baada ya mama kushindwa kupata ujauzito kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja ndani ya ndoa licha ya kuingiliana, hili huitwa…

Kwa nini mimba hutoka mara kwa mara?

KWA nini baadhi ya wanawake mimba zao hutoka mara kwa mara? Hili ni swali linaloulizwa na wanawake wengi wanaponipigia simu. Jibu ni kwamba, mimba kutoka mara kwa mara ni tatizo linalotokea kwa wajawazito ambao mara zote wanakumbwa wakiwa…