Nuh Mziwanda Amuomba Radhi Mume wa Shilole
IKIWA ni siku chache tangu msanii wa Bongo Fleva, Nuh Mziwanda kudai kuwa bado anampenda aliyekuwa mpenzi wake, Shilole ijapokuwa ana mme tayari na kuibua mijadala mitandaoni na kwenye vyombo vya habari, staa huyo ameibuka na kuomba…