The House of Favourite Newspapers
Browsing Category

Kimataifa

Putin Ataka Ukraine Iwe Chini Ya UN

Rais Vladimir Putin amependekeza kuwa Ukraine inapaswa kuwekwa chini ya udhibiti wa Umoja wa Mataifa (UN) kwa muda ili kuchagua kile alichokiita serikali yenye uwezo zaidi. Ni jaribio la hivi punde la rais wa Urusi kupinga uhalali wa…

Safari 1,054 Za Futwa Kisa Mgomo Ujerumani

Mgomo mkubwa wa wafanyakazi wa viwanja vya ndege nchini Ujerumani umeendelea, ukisababisha kufutwa kwa maelfu ya safari za ndege za ndani na kimataifa. Viwanja 13, vikiwemo vikubwa vya Munich na Frankfurt, vimeathirika baada ya mgomo wa…

Watu 14 Wajeruhiwa Maandamano Ya Msumbiji

Watu 14, wakiwemo watoto wawili, wamejeruhiwa nchini Msumbiji baada ya polisi kutumia risasi za moto na gesi ya kutoa machozi kutawanya mkusanyiko wa wafuasi wa upinzani waliokuwa wakimsindikiza kiongozi Venancio Mondlane jijini Maputo.…

Trump Asitisha Misaada Ya Kijeshi Ukraine

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesitisha misaada yote ya kijeshi kwa Ukraine kufuatia kuvunjika kwa mkutano kati yake na Rais Volodymyr Zelensky katika Ikulu ya White House, jijini Washington. Hatua hiyo inakuja kufuatia msimamo wa…

Ujerumani Yatoa Onyo Dhidi Ya Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Annalena Baerbock amesema Ulaya haipaswi kusita kuweka shinikizo dhidi ya Marekani, iwapo nchi hiyo itashindwa kukumbatia demokrasia ya kiliberali. Waziri Annalena ameyasema hayo kufuatia…

Polisi Wadaiwa Kujiunga Na M23 Bukavu

Mamia ya askari wa Jeshi la Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanadaiwa kujiunga na waasi wa M23 katika Mji wa Bukavu baada ya kuuteka mji huo. Waasi wa M23 waliingia Bukavu wiki iliyopita na kufanikiwa kuuteka mji huo…