The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Man United

Mastaa 17 Kuondoka Man United

Manchester United ipo katika wakati mgumu hasa kutokana na kudaiwa kuwa kuna wimbi kubwa la wachezaji wanataka kuondoka wakati huu wa Januari au mwishoni mwa msimu huu. Kwa ufupi ni kuwa kuna hali tete ndani ya Old…

Man United Yaichakaza Arsenal

Mashetani Wekundu, Manchester United wameibuka na ushindi wa 3-2 dhidi ya Arsenal katika mchezo wa Ligi Kuu ya England katika Uwanja wa Old Trafford. Mabao ya Manchester United yamefungwa na Wareno, Bruno Fernandes dakika…

Man United Yaibana Chelsea

Vinara kunako Ligi ya EPL, Chelsea wamepunguzwa kasi baada ya sare ya 1-1 na Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London usiku wa Jumapili. Katika mchezo huo ambao Chelsea…

Zidane:L Sina Mpango na Man united

IMEELEZWA kuwa Klabu ya Manchester United inamtaka Kocha Zinedine Zidane raia wa Ufaransa kutua klabu hapo kwa ajili ya kukinoa kikosi hicho kufuatia kufungashiwa virago kwa Ole Gunar Solskjaer lakini kwa mujibu wa vyanzo vya karibu na…

Mourinho Amsifu Smalling Akishinda

KOCHA wa AS Roma, Jose Mourinho, amesema kuwa ameridhishwa na kiwango cha staa wake Chris Smalling. Smalling alionyesha kiwango cha juu wakati Roma ilipopata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Zorya Luhansk kwenye michuano mipya ya Europa…

Manchester United Kuuza Nyota Saba

KLABU ya Manchester United imetajwa kuwa ina mpango wa kuuza nyota wake saba ifikapo Januari mwakani. Nyota hao saba wote wanatoka katika kikosi cha kwanza cha Man United sababu za ku­fan­ya hivyo ni kupunguza matumizi ikiwemo mishahara…