Flaviana Matata Atoa Vifaa vya Masomo Shule ya Msinune, Pwani
TAASISI ya Mwanamitindo wa Kimataifa Flaviana Matata imetoa vifaa vya masomo ikiwemo mabegi pampja na kalamu kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Msinune iliyopo Msata Katika Wilaya ya Chalinze Mkoani Pwani.
Mkurugenzi huyo ambaye…