The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

mo dewji

Mo Aongeza Wawili Wapya Simba

KATIKA kuhakikisha wanafanikisha kukamilisha mfumo wa mabadiliko ndani ya klabu ya Simba, Bodi ya Wakurugenzi chini ya Mohammed Dewji ‘Mo’ imetangaza wawili wapya ndani ya uongozi. Akizungumza na Spoti Xtra, Katibu Mkuu wa…

Kesi ya Mo Dewji Kutekwa Ilipofikia

UPANDE  wa Jamhuri katika kesi inayomkabili dereva wa teksi mkazi wa Tegeta, Mousa Twaleb (46),  ya uhujumu uchumi ikiwamo kusaidia kutendeka uhalifu, kutakatisha Sh. milioni nane na kumteka Mohamed Dewji maarufu kama ‘Mo’ umedai kuwa bado…

Magori: Ishu ya Mo iko hivi…

BAADA ya kuzuka ghafla kwa taarifa kuwa ndani ya uongozi wa Klabu ya Simba hakuna maelewano huku ikidaiwa mwekezaji klabuni hapo, Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa mbioni kung’atuka, Crescentius Magori amefunguka kila kitu. Taarifa za…

KISA UBINGWA, MO AFANYA KUFURU

MWEKEZAJI wa Simba, bilionea, Mohamed Dewji ‘Mo’ ameahidi kuwapa bonsai ya shilingi milioni tano wachezaji wa timu hiyo wagawane kwa kila mechi watakayoshinda kati ya mechi nne walizobakiza, ikiwemo ya jana dhidi ya Ndanda.   Mo…

Zahera amkwepa Mo Dewji

Mwinyi Zahera KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, amepiga hesabu za mbali na kuamua kufanya usajili wake mapema kwa ajili ya kuwakwepa vigogo wa kamati ya usajili ya Simba ambao wanaongozwa na mwekezaji bilionea Mohammed Dewji ‘Mo’.…

Mo avunja benki

WANANUKA fedha! Ndiyo utakavyoweza kusema kwa wachezaji wa Simba baada ya kupewa shilingi milioni 300 na mwekezaji wao bilionea, Mohammed Dewji ‘Mo’ kufuatia kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Hiyo, ikiwa…

Mo amwaga mamilioni Simba SC

BILIONEA na mwekezaji mkuu wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameendelea kufanya kufuru ya fedha kwenye timu hiyo baada ya kutoa ahadi ya milioni 40. Mo amewaambia Simba kuwa anachotaka ni kuwaona wakitinga kwenye hatua inayofuata ya Ligi ya…

Bodi ya Mo, Matola kimeeleweka Simba

BODI ya Udhamini ya Simba Sports Club Limited iliyo chini ya mfadhili wao bilionea, Mohammed Dewji ‘MO’ ipo kwenye hatua za mwisho za kumtangaza Selemani Matola kuwa mbadala wa Mrundi, Masoud Djuma. Hiyo, ikiwa ni siku chache tangu bodi…

Mipango ya Mo, Okwi tishio CAF

LICHA ya mbwembwe zake na uzoefu wake, Kocha wa Mbabane Swallows ya Swaziland, Thabo ‘Koki’ Vilakati akisikia jina la Mohammed Dewji ‘Mo’ na Emmanuel Okwi wa Simba anashtuka paap! Kocha huyo mzawa anayesi­fika kwa staili ya…

Mo aanza na uwanja Simba SC

BAADA ya afya yake kuimarika, mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ ameanza na ishu ya maendeleo ya uwanja wa timu hiyo unaojengwa Bunju jijini Dar es Salaam na akatoa maagizo. Licha ya kwamba maagizo hayo yanashtusha lakini…